Nikisikiliza hii clip nazidi kuelewa kwanini hayati Magufuli na sasa Rais Ruto anakutana na ugumu katika kuongoza nchi

Nikisikiliza hii clip nazidi kuelewa kwanini hayati Magufuli na sasa Rais Ruto anakutana na ugumu katika kuongoza nchi

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari JF,

Hayati mwalimu Nyerere, JPM na sasa Ruto hawatofautiani sana mitazamo yao kuhusu Mabeberu.

Tazama hii clip kuna vitu vingi utajifunza vilivyo tokea na vinavyotokea sasa kama Msamaha wa bure wa Mbowe, Maridhiano, Operation ya gharama kubwa ya 255, maandamo nchini Kenya na mengine mengi sana.

Je, hatuwaelewi hawa viongozi au hawako sahihi?

 
Huwezi kumweka Mwendazake kundi moja na Mwl Nyerere.Muulize zile fedha alizowenda kuficha China zilikuwa kwaajili ya shughuli gani ?.
Mwendazake ni zaidi ya mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Mwalimu alitawala enzi za ujima na analog, low populations


Magufuli ametawala zama hizi za imperialism, digital+high populations.
 
Mwendazake ni zaidi ya mwalimu Julius Kambarage Nyerere,
Mwalimu alitawala enzi za ujima na analog, low populati...
Kwahyo Nyerere alitawala zama ambazo hazina matatizo Wala hiyo imperialism?

Kwenye histioria ya Africa kipindi kigumu kutawala ni kuanzia 1960s mpaka 1990s.
 
Huwezi kumweka Mwendazake kundi moja na Mwl Nyerere. Muulize zile fedha alizowenda kuficha China zilikuwa kwaajili ya shughuli gani ?.
Kawanyima wachina Bandari ya Bagamoyo halafu awapelekee wa mtunzie mapesa?

Alikuwa anawafunga wachina na China hajawahi kwenda, ni sawa na kusema Gadaffi alificha pesa Ulaya.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom