Nikitaka kuacha kumsaliti mke wangu linatokea jinamizi linanirudisha kwenye uzinzi

Nikitaka kuacha kumsaliti mke wangu linatokea jinamizi linanirudisha kwenye uzinzi

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
2,582
Reaction score
4,554
Kuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka

Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini nisivute pisi kadhaa nikazipanga nikawa najipimia kwa zamu. Mwanzo nilikuwa natoboka pesa ila imefika kipindi najipimia kwa hisani ya mioyo yao wenyewe kama kuna kibinti cha afu 2 kimeniganda Sana kila weekend lazima kinitafute

Issue inakuja kuwa kwa sasa wife katulia kwenye mkao yani nitakachotaka anafanya mambo zinaenda kama zinavyopangwa yani home ni burudani iwe mchana iwe usiku na kuhusu kuchepuka mke wangu na Mimi pia (japo nilikuwa) ni wafia dini yani swala tano na tupo vizuri kiimani pia

Sasa kila nikitaka kuiacha hii michepuko ni kama haiwezekani maana nishawahi kuiblock Mara kadhaa lakini wananitafuta kwa namba zingine na wanajua kuwa nipo na wife lakini wanasema kwani wakati nawatongoza sikujua kuwa Nina mke so nakosa hoja

Natamani kumshirikisha mke wangu hili swala tushauriane ila nahisi atalichukulia kwa mtazamo tofauti nifanyeje
 
Hakika, kweli nyie wafia dini mpo vizuri kiimani eh sawa
Hukumshirikisha wakati unaanza umshirikishe unapotaka kumaliza
🙂
Ndio maana tunasema kataa ndoa, mke anapima pima mbususu ona sasa hadi umbake tena, mambo ya kiwaki, si unaona michepuko inagawa tu bila hiyana na hamko kwenye ndoa.
#Kataa Ndoa
 
Kuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka

Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini nisivute pisi kadhaa nikazipanga nikawa najipimia kwa zamu. Mwanzo nilikuwa natoboka pesa ila imefika kipindi najipimia kwa hisani ya mioyo yao wenyewe kama kuna kibinti cha afu 2 kimeniganda Sana kila weekend lazima kinitafute

Issue inakuja kuwa kwa sasa wife katulia kwenye mkao yani nitakachotaka anafanya mambo zinaenda kama zinavyopangwa yani home ni burudani iwe mchana iwe usiku na kuhusu kuchepuka mke wangu na Mimi pia (japo nilikuwa) ni wafia dini yani swala tano na tupo vizuri kiimani pia

Sasa kila nikitaka kuiacha hii michepuko ni kama haiwezekani maana nishawahi kuiblock Mara kadhaa lakini wananitafuta kwa namba zingine na wanajua kuwa nipo na wife lakini wanasema kwani wakati nawatongoza sikujua kuwa Nina mke so nakosa hoja

Natamani kumshirikisha mke wangu hili swala tushauriane ila nahisi atalichukulia kwa mtazamo tofauti nifanyeje
UKo na jini marhaba mkuu HUYO sioyo mke chomoka. Ukikomaa yanakula na nguvu zako za kiume usahau uzazi
 
M nikishaenda polisi kwa kupiga nkaulizwa nkajibu nimempiga kweli siwezi ka na mwanamke kama dadayangu

hataki mapenzi kuguswa kama Niko na jini asepe..wakacheka aliwapanga waniweke ndani tukapelekwa ofisi Moja wakatuhojii wee wakianza kumweleza madhara anayofanya

Nikawambia hapa nilipo na namba za Malaya kama zote kwann anataka tufe mapema

Akaitwa keshoyake.... Na mm keshokutwa yake wakachukua 30000 yakaisha
 
Kuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka

Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini nisivute pisi kadhaa nikazipanga nikawa najipimia kwa zamu. Mwanzo nilikuwa natoboka pesa ila imefika kipindi najipimia kwa hisani ya mioyo yao wenyewe kama kuna kibinti cha afu 2 kimeniganda Sana kila weekend lazima kinitafute

Issue inakuja kuwa kwa sasa wife katulia kwenye mkao yani nitakachotaka anafanya mambo zinaenda kama zinavyopangwa yani home ni burudani iwe mchana iwe usiku na kuhusu kuchepuka mke wangu na Mimi pia (japo nilikuwa) ni wafia dini yani swala tano na tupo vizuri kiimani pia

Sasa kila nikitaka kuiacha hii michepuko ni kama haiwezekani maana nishawahi kuiblock Mara kadhaa lakini wananitafuta kwa namba zingine na wanajua kuwa nipo na wife lakini wanasema kwani wakati nawatongoza sikujua kuwa Nina mke so nakosa hoja

Natamani kumshirikisha mke wangu hili swala tushauriane ila nahisi atalichukulia kwa mtazamo tofauti nifanyeje
Yawezekana kipindi mkeo anakubania Kuna boya lilikuwa linajipimia
 
Back
Top Bottom