Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani katoka kupimiwa ila bado akili haisomi.Hakika, kweli nyie wafia dini mpo vizuri kiimani eh sawa
Hukumshirikisha wakati unaanza umshirikishe unapotaka kumaliza
🙂
Ndio maana tunasema kataa ndoa, mke anapima pima mbususu ona sasa hadi umbake tena, mambo ya kiwaki, si unaona michepuko inagawa tu bila hiyana na hamko kwenye ndoa.
#Kataa Ndoa
amerogwa huyu sio bure😀😀😀Unataka kumshirikisha mkeo kuhusu michepuko😃Kila la kheri utupe na mrejesho hapa😃
Umshirikishe mkeo tena!omba Mungu akuchomoe hapo,huyo ni shetani kakukamata kwa mikono yake miwili,kuchomoa hapo kwa kili zako mwenyewe ni ngumu sana...Kuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka
Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini nisivute pisi kadhaa nikazipanga nikawa najipimia kwa zamu. Mwanzo nilikuwa natoboka pesa ila imefika kipindi najipimia kwa hisani ya mioyo yao wenyewe kama kuna kibinti cha afu 2 kimeniganda Sana kila weekend lazima kinitafute
Issue inakuja kuwa kwa sasa wife katulia kwenye mkao yani nitakachotaka anafanya mambo zinaenda kama zinavyopangwa yani home ni burudani iwe mchana iwe usiku na kuhusu kuchepuka mke wangu na Mimi pia (japo nilikuwa) ni wafia dini yani swala tano na tupo vizuri kiimani pia
Sasa kila nikitaka kuiacha hii michepuko ni kama haiwezekani maana nishawahi kuiblock Mara kadhaa lakini wananitafuta kwa namba zingine na wanajua kuwa nipo na wife lakini wanasema kwani wakati nawatongoza sikujua kuwa Nina mke so nakosa hoja
Natamani kumshirikisha mke wangu hili swala tushauriane ila nahisi atalichukulia kwa mtazamo tofauti nifanyeje
Kwa Mzabzab iyo si changamoto, mzabzab hapo ange-organise foursome (fffm) ya mke, kitoto Cha afu 2 , na huyo pisi mwenye Tako mzabzab KazanazoNi changamoto mkuu japo Mimi sitongozi wapya ila hizi pisi mbili zimeniganda kuna moja Ina tako la kwenda ingine ni kitoto cha afu2 kipotable yani najitahidi kuwa mbali nazo ila haiwezekani mbaya zaidi wanajua kazini kwangu ukiwablock wanakuja
Mke ni package iliyokamili kamili mkuu oa uone📌📌📌kataa ndoa,kataa utumwa!!!
Sijarogwa mkuu nipo fit kabisaYaani katoka kupimiwa ila bado akili haisomi.
📌📌kataa ndoa,kataa utumwa!!!
Kuna piss moja inatishia kumwambia mke wangu kila nikiiblock yani nimeingia kwenye hii michezo kirahisi kutoka ni ngumu sanaUmshirikishe mkeo tena!omba Mungu akuchomoe hapo,huyo ni shetani kakukamata kwa mikono yake miwili,kuchomoa hapo kwa kili zako mwenyewe ni ngumu sana...
Anaweza pia kukuambia oa, ila inategemea na hali ilivyoKwa mke wangu kumwambia kuoa mke wa pili anaweza asilete taharuki kuliko akijua nachepuka
Kumwambia sio njia sahihi nimeiacha
Nahisi shetani kashanikaba kwa hii michepuko najaribu kila njia ila bado but nashukuru kwa ushauri mkuuAnaweza pia kukuambia oa, ila inategemea na hali ilivyo
Kama ameridhika uwe nae pekee ni kheri kubwa sana
Ila usikubali shetani akusogelee kabisa
Panga holiday mnaenda sehemu na iwe kila mwaka kama uwezo upo hata miezi 6.
Na Umra mnaweza kwenda kama Mungu akipenda
Ni hayo tu
All the best
Utafuzu tuNahisi shetani kashanikaba kwa hii michepuko najaribu kila njia ila bado but nashukuru kwa ushauri mkuu