Nikitaka kuacha kumsaliti mke wangu linatokea jinamizi linanirudisha kwenye uzinzi

Nikitaka kuacha kumsaliti mke wangu linatokea jinamizi linanirudisha kwenye uzinzi

Mimi pia nina changamoto hiyo najitahidi kuacha kuchepuka nashindwa nafikiri nina pepo la ngono nimekwenda mara kadha kwenye maombi nikidhani hilo pepo litalipuka ili likemewe liondoke lakini wapi, linapiga kimya tu na linaendelea kunitesa, mtu ambaye hana hili tatizo anaweza kusema ni kujiendekeza lakini ukweli kuna nguvu isiyo ya asili katika hili kwani nikisha zini huwa najuta sana na kumuonea hurumu mke wangu, lakini baada ya muda hayo majuto yanapotea na nikiona pisi nyingine hasa ikiwa nyeusi tii nachanganyikiwa nataka niipasue.
 
Kabisa mkuu ndio maana nahisi aliona kuwa alikosea kwahiyo kama kajirekebisha asaiv habanii tena ila sasa kosa lishatendeka na jinsi ya kusahihisha ndio shida
Ni kazi ngumu sana kuzia
Visingizio tu hivyo ili kupata justifications za madhambi yenu.
Tatizo ni kuwa wanaume tunajitahidi sana kumjua mwanamke japo ni kazi ngumu sana.. Lakini kwa wanawake Wala hawajihangaishi kumjua mwanaume na kudhani kuwa wanaume wote ni sawa..
 
Mimi pia nina changamoto hiyo najitahidi kuacha kuchepuka nashindwa nafikiri nina pepo la ngono nimekwenda mara kadha kwenye maombi nikidhani hilo pepo litalipuka ili likemewe liondoke lakini wapi, linapiga kimya tu na linaendelea kunitesa, mtu ambaye hana hili tatizo anaweza kusema ni kujiendekeza lakini ukweli kuna nguvu isiyo ya asili katika hili kwani nikisha zini huwa najuta sana na kumuonea hurumu mke wangu, lakini baada ya muda hayo majuto yanapotea na nikiona pisi nyingine hasa ikiwa nyeusi tii nachanganyikiwa nataka niipasue.
Una sababu yoyote inayokufanya uchepuke..??
 
Tatizo ukiwamwaga ratiba inarudi vile vile kupimiwa naelewa dilemma yako una mazito kunako nafsini.
Namimi nimewaza hivyo hivyo yani atazidisha kuliko mwanzo na hatoniamini tena hata kama nikiachana nao

Naweza kata hata miezi miwili au mmoja nimekauka kau michepuko ikinicheki siijibu wakiona nipo serious Sana wanakuja kazini(nauza duka) hapo kuchomoa ni majaliwa ya Mungu
 
Mimi pia nina changamoto hiyo najitahidi kuacha kuchepuka nashindwa nafikiri nina pepo la ngono nimekwenda mara kadha kwenye maombi nikidhani hilo pepo litalipuka ili likemewe liondoke lakini wapi, linapiga kimya tu na linaendelea kunitesa, mtu ambaye hana hili tatizo anaweza kusema ni kujiendekeza lakini ukweli kuna nguvu isiyo ya asili katika hili kwani nikisha zini huwa najuta sana na kumuonea hurumu mke wangu, lakini baada ya muda hayo majuto yanapotea na nikiona pisi nyingine hasa ikiwa nyeusi tii nachanganyikiwa nataka niipasue.
Ni changamoto mkuu japo Mimi sitongozi wapya ila hizi pisi mbili zimeniganda kuna moja Ina tako la kwenda ingine ni kitoto cha afu2 kipotable yani najitahidi kuwa mbali nazo ila haiwezekani mbaya zaidi wanajua kazini kwangu ukiwablock wanakuja
 
Ni changamoto mkuu japo Mimi sitongozi wapya ila hizi pisi mbili zimeniganda kuna moja Ina tako la kwenda ingine ni kitoto cha afu2 kipotable yani najitahidi kuwa mbali nazo ila haiwezekani mbaya zaidi wanajua kazini kwangu ukiwablock wanakuja
Haya mambo magumu sana, naamini ipo siku nitapata suluhisho tu maana nikashakamua tu naanza kujisikia hatia moyoni mwangu
 
Kuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka

Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini nisivute pisi kadhaa nikazipanga nikawa najipimia kwa zamu. Mwanzo nilikuwa natoboka pesa ila imefika kipindi najipimia kwa hisani ya mioyo yao wenyewe kama kuna kibinti cha afu 2 kimeniganda Sana kila weekend lazima kinitafute

Issue inakuja kuwa kwa sasa wife katulia kwenye mkao yani nitakachotaka anafanya mambo zinaenda kama zinavyopangwa yani home ni burudani iwe mchana iwe usiku na kuhusu kuchepuka mke wangu na Mimi pia (japo nilikuwa) ni wafia dini yani swala tano na tupo vizuri kiimani pia

Sasa kila nikitaka kuiacha hii michepuko ni kama haiwezekani maana nishawahi kuiblock Mara kadhaa lakini wananitafuta kwa namba zingine na wanajua kuwa nipo na wife lakini wanasema kwani wakati nawatongoza sikujua kuwa Nina mke so nakosa hoja

Natamani kumshirikisha mke wangu hili swala tushauriane ila nahisi atalichukulia kwa mtazamo tofauti nifanyeje
Najua hii nii 99.9 ni chai ila nakujibu kwa kuwa naona mawazo yako juu ya ndoa yako kiajabu. Kwanza kabisa, na hii ndio point muhimu sana ni kuwa kama hii stori ni kweli basi humpendi mkeo. Haiwezekani kabisa uwe unampenda mkeo na uwe unambaka. Utamdhalilishaje mkeo kwa kumrape kisha unakuja hapa kujisifia? Jambo la pili ni kuwa humuheshimu mkeo na wala huheshimu ndoa yako, sasa hata sijui ni kwa nini uliamua kuoa. Ulilazimishwa au uliona ni fashion kwa vile wenzako wote wameoa na wewe ukaona uoe? Ndoa ni commitment na unatakiwa usahau wanawake wengine kwa manufaa ya ndoa yako.

Kila ambae anajitafutia mchepuko anajitafutia kwa sababu haheshimu ndoa yake wala ahadi aloweka alipofunga ndoa. Kuwa na mchepuko sio jamboa la kijisifia au kujiona kuwa wewe ni kidume bali ni udhaifu na wa hali ya juu. Ikiwa mkeo hataki kufanya tendo la ndoa nawe solution ni rahisi tu mpe talaka na tafuta mke mwengine. Hakuna haja ya kumrape. Hivi jamani kuna raha gani ya kumtomba mwanamke kwa kutumia nguvu? Sex ni jambo la hiari na ni la kuenjoy sio kuumizana na kulazimishana.
 
Najua hii nii 99.9 ni chai ila nakujibu kwa kuwa naona mawazo yako juu ya ndoa yako kiajabu. Kwanza kabisa, na hii ndio point muhimu sana ni kuwa kama hii stori ni kweli basi humpendi mkeo. Haiwezekani kabisa uwe unampenda mkeo na uwe unambaka. Utamdhalilishaje mkeo kwa kumrape kisha unakuja hapa kujisifia? Jambo la pili ni kuwa humuheshimu mkeo na wala huheshimu ndoa yako, sasa hata sijui ni kwa nini uliamua kuoa. Ulilazimishwa au uliona ni fashion kwa vile wenzako wote wameoa na wewe ukaona uoe? Ndoa ni commitment na unatakiwa usahau wanawake wengine kwa manufaa ya ndoa yako.

Kila ambae anajitafutia mchepuko anajitafutia kwa sababu haheshimu ndoa yake wala ahadi aloweka alipofunga ndoa. Kuwa na mchepuko sio jamboa la kijisifia au kujiona kuwa wewe ni kidume bali ni udhaifu na wa hali ya juu. Ikiwa mkeo hataki kufanya tendo la ndoa nawe solution ni rahisi tu mpe talaka na tafuta mke mwengine. Hakuna haja ya kumrape. Hivi jamani kuna raha gani ya kumtomba mwanamke kwa kutumia nguvu? Sex ni jambo la hiari na ni la kuenjoy sio kuumizana na kulazimishana.
Umeongea vizuri Sana mkuu ila kuna kitu hujashauri vizuri

Yani ningempa taraka mke wangu kwa kukataa kunipa utamu kipindi kile ningekosa vingi sana tena sana

Taraka haitoki kisimple hivyo mkuu sasa nimekuja kujua kuwa kumbe alikuwa na mimba ndio iliyosababisha huoni ningejutia maisha kumuacha mke wangu?

Kwenye suala la kumbaka au kufanya kilazima hii haiepukiki hasa pale bakari kichwa akiwa kachachamaa na mke hana udhuru wowote mtu unajikuta umetumia nguvu japo sio lengo, na hiyo ndio iliyopelekea nijiongeze kuliko kutumia nguvu kwa mke wangu nikaona kuna kanakojimbendekeza kila siku ngoja nipunguzie stress

Kuhusu kumpenda nampenda sana mke wangu na ndio maana natafuta namna ya kuachana na michepuko baada ya kugundua kuwa ulikuwa changamoto ya kimfumo

Mkuu maagano ya ndoa ni yapo ila nafsi ya mwanadamu sio kama ruler huwa inakumbwa na changamoto za kusahau na kukengeuka hayo maagano na maagano mengine aliyoamrisha Muumba
 
Kuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka

Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini nisivute pisi kadhaa nikazipanga nikawa najipimia kwa zamu. Mwanzo nilikuwa natoboka pesa ila imefika kipindi najipimia kwa hisani ya mioyo yao wenyewe kama kuna kibinti cha afu 2 kimeniganda Sana kila weekend lazima kinitafute

Issue inakuja kuwa kwa sasa wife katulia kwenye mkao yani nitakachotaka anafanya mambo zinaenda kama zinavyopangwa yani home ni burudani iwe mchana iwe usiku na kuhusu kuchepuka mke wangu na Mimi pia (japo nilikuwa) ni wafia dini yani swala tano na tupo vizuri kiimani pia

Sasa kila nikitaka kuiacha hii michepuko ni kama haiwezekani maana nishawahi kuiblock Mara kadhaa lakini wananitafuta kwa namba zingine na wanajua kuwa nipo na wife lakini wanasema kwani wakati nawatongoza sikujua kuwa Nina mke so nakosa hoja

Natamani kumshirikisha mke wangu hili swala tushauriane ila nahisi atalichukulia kwa mtazamo tofauti nifanyeje
Mshukuru Mungu amekwisha jitambua achana na hao kamanyola wataharibu ndoa yako
 
M nikishaenda polisi kwa kupiga nkaulizwa nkajibu nimempiga kweli siwezi ka na mwanamke kama dadayangu

hataki mapenzi kuguswa kama Niko na jini asepe..wakacheka aliwapanga waniweke ndani tukapelekwa ofisi Moja wakatuhojii wee wakianza kumweleza madhara anayofanya

Nikawambia hapa nilipo na namba za Malaya kama zote kwann anataka tufe mapema

Akaitwa keshoyake.... Na mm keshokutwa yake wakachukua 30000 yakaisha
Ila malaya wanasaidia bas tu
 
Kwa ushauri HATA MKE WAKO ACHANA NAYE ARV zimeanza kutolewa kwa Pesa unaambiwa mgawo wa mkoa haujafika juzi kuna dada kafata kwa 50000 ameanza kukonda na vipere achana na mambo hayo
Oya ni kulipia 50k saiv?
 
Umeongea vizuri Sana mkuu ila kuna kitu hujashauri vizuri

Yani ningempa taraka mke wangu kwa kukataa kunipa utamu kipindi kile ningekosa vingi sana tena sana

Taraka haitoki kisimple hivyo mkuu sasa nimekuja kujua kuwa kumbe alikuwa na mimba ndio iliyosababisha huoni ningejutia maisha kumuacha mke wangu?

Kwenye suala la kumbaka au kufanya kilazima hii haiepukiki hasa pale bakari kichwa akiwa kachachamaa na mke hana udhuru wowote mtu unajikuta umetumia nguvu japo sio lengo, na hiyo ndio iliyopelekea nijiongeze kuliko kutumia nguvu kwa mke wangu nikaona kuna kanakojimbendekeza kila siku ngoja nipunguzie stress

Kuhusu kumpenda nampenda sana mke wangu na ndio maana natafuta namna ya kuachana na michepuko baada ya kugundua kuwa ulikuwa changamoto ya kimfumo

Mkuu maagano ya ndoa ni yapo ila nafsi ya mwanadamu sio kama ruler huwa inakumbwa na changamoto za kusahau na kukengeuka hayo maagano na maagano mengine aliyoamrisha Muumba
Asikwambie mtu kitu babu tu toto twa nje vinatafunwa sana na ndio walinzi wa ndoa zetu
 
Niliwaza hivyo kulingana na utiifu wake kwangu japo nimshirikishe Siri hii kubwa inayonitafuna ambayo chanzo ni yeye kunibania
Some people deserves to learn the hard way. Ur one., nenda mwambie maana amekua mtiifu🤣
 
Back
Top Bottom