Nikitaka kuacha kumsaliti mke wangu linatokea jinamizi linanirudisha kwenye uzinzi

Nikitaka kuacha kumsaliti mke wangu linatokea jinamizi linanirudisha kwenye uzinzi

Kuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka

Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini nisivute pisi kadhaa nikazipanga nikawa najipimia kwa zamu. Mwanzo nilikuwa natoboka pesa ila imefika kipindi najipimia kwa hisani ya mioyo yao wenyewe kama kuna kibinti cha afu 2 kimeniganda Sana kila weekend lazima kinitafute

Issue inakuja kuwa kwa sasa wife katulia kwenye mkao yani nitakachotaka anafanya mambo zinaenda kama zinavyopangwa yani home ni burudani iwe mchana iwe usiku na kuhusu kuchepuka mke wangu na Mimi pia (japo nilikuwa) ni wafia dini yani swala tano na tupo vizuri kiimani pia

Sasa kila nikitaka kuiacha hii michepuko ni kama haiwezekani maana nishawahi kuiblock Mara kadhaa lakini wananitafuta kwa namba zingine na wanajua kuwa nipo na wife lakini wanasema kwani wakati nawatongoza sikujua kuwa Nina mke so nakosa hoja

Natamani kumshirikisha mke wangu hili swala tushauriane ila nahisi atalichukulia kwa mtazamo tofauti nifanyeje
Lofa flani tu wewe. Najuta kupoteza mda wangu kusoma huu upuzi
 
Mke wangu hachepuki mimi mwenyewe ilinichukua muda mrefu hadi kufikia uamuzi wa kuchepuka ila pia najuta kwanini niliamua kuchepuka maana dhambi inanitafuna sasa hivi japo kipindi hicho sikuwa na namna
Mke wako anajua kama unachepuka?kama hajui na wewe Kwa nini unasema hachepuki?unatembea na kumaaa yake muda wote?
 
Naomba umshirikiane na wife jinsi ya kuwaacha hao michepuko wako,pia ulete mrejesho
Wife hana shida kabisaa ni mtu ambae hata nikichepuka nafsi inanisuta changamoto tu za mimba ndio zilizonifikisha hapa nilipo

Ila hilo la kumshirikisha upuuzi wa kuchepuka linahitaji mjadala na ni mbinu ya mwisho nikishindwa kabsa kuachana na hawa vimwana maana shetani yupo kazini hatari
 
Bado hauna nia thabiti ya kuacha nao,ukiwa na nia thabiti ni jambo jepesi mno
Uthubutu ninao ila wanawake wanashawishi mkuu hasa mkishakuwa kwenye mahusiano ni ngumu Sana kuchomoka mwanamke akikuhitaji kingono
 
Alikuwa anachepuka ndio maana alikubania,cha msingi usikae mbali na michepuko yako
 
Mke wako anajua kama unachepuka?kama hajui na wewe Kwa nini unasema hachepuki?unatembea na kumaaa yake muda wote?
Sina uhakika kama hajui au anajua ila kwa mazingira tunayokaa na tunavyoishi 💯 hachepuki
 
Hapa wanawake Wana kitu kikubwa Cha kujifunza.. Unapomnyima mumeo unyumba ndio unamfungulia mlango wa kuchepuka.. Mpe mumeo unyumba..
Kabisa mkuu ndio maana nahisi aliona kuwa alikosea kwahiyo kama kajirekebisha asaiv habanii tena ila sasa kosa lishatendeka na jinsi ya kusahihisha ndio shida
 
Visingizio tu hivyo ili kupata justifications za madhambi yenu.
Michepuko wanajua kubembeleza sana yani ukiwa na stress dakika 0 zote kwisha sasa ukinyimwa unyumba wiki moja huku mchepuko anakutamanisha ni ngumu kuchomoa
 
Tatizo ukiwamwaga ratiba inarudi vile vile kupimiwa naelewa dilemma yako una mazito kunako nafsini.
 
Back
Top Bottom