Nikitaka kuacha kumsaliti mke wangu linatokea jinamizi linanirudisha kwenye uzinzi

Nikitaka kuacha kumsaliti mke wangu linatokea jinamizi linanirudisha kwenye uzinzi

Usiache michepuko yako endelea nayo maana hata mke wako anayo ndio maana unaona amani na furaha imerudi kwenye ndoa yenu.
Kweli michepuko inaboresha ndoa.
Mke wangu hachepuki mimi mwenyewe ilinichukua muda mrefu hadi kufikia uamuzi wa kuchepuka ila pia najuta kwanini niliamua kuchepuka maana dhambi inanitafuna sasa hivi japo kipindi hicho sikuwa na namna
 
Kuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka

Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini nisivute pisi kadhaa nikazipanga nikawa najipimia kwa zamu. Mwanzo nilikuwa natoboka pesa ila imefika kipindi najipimia kwa hisani ya mioyo yao wenyewe kama kuna kibinti cha afu 2 kimeniganda Sana kila weekend lazima kinitafute

Issue inakuja kuwa kwa sasa wife katulia kwenye mkao yani nitakachotaka anafanya mambo zinaenda kama zinavyopangwa yani home ni burudani iwe mchana iwe usiku na kuhusu kuchepuka mke wangu na Mimi pia (japo nilikuwa) ni wafia dini yani swala tano na tupo vizuri kiimani pia

Sasa kila nikitaka kuiacha hii michepuko ni kama haiwezekani maana nishawahi kuiblock Mara kadhaa lakini wananitafuta kwa namba zingine na wanajua kuwa nipo na wife lakini wanasema kwani wakati nawatongoza sikujua kuwa Nina mke so nakosa hoja

Natamani kumshirikisha mke wangu hili swala tushauriane ila nahisi atalichukulia kwa mtazamo tofauti nifanyeje
Kwa ushauri HATA MKE WAKO ACHANA NAYE ARV zimeanza kutolewa kwa Pesa unaambiwa mgawo wa mkoa haujafika juzi kuna dada kafata kwa 50000 ameanza kukonda na vipere achana na mambo hayo
 
Yawezekana kipindi mkeo anakubania Kuna boya lilikuwa linajipimia
Zilikuwa changamoto za mimba nimekuja kujua baadae kumbe sababu ni mimba changa alikuwa our first born
 
M nikishaenda polisi kwa kupiga nkaulizwa nkajibu nimempiga kweli siwezi ka na mwanamke kama dadayangu

hataki mapenzi kuguswa kama Niko na jini asepe..wakacheka aliwapanga waniweke ndani tukapelekwa ofisi Moja wakatuhojii wee wakianza kumweleza madhara anayofanya

Nikawambia hapa nilipo na namba za Malaya kama zote kwann anataka tufe mapema

Akaitwa keshoyake.... Na mm keshokutwa yake wakachukua 30000 yakaisha
Mkuu hata Mimi najiona sina kosa yeye ndiye msababishaji wa yote haya ilinichukua miezi kadhaa kufikia uamuzi wa kutoka nje ya ndoa ila mwisho wa siku kunasuka pia ni kasheshe
 
Mke wangu hachepuki mimi mwenyewe ilinichukua muda mrefu hadi kufikia uamuzi wa kuchepuka ila pia najuta kwanini niliamua kuchepuka maana dhambi inanitafuna sasa hivi japo kipindi hicho sikuwa na namna
Unahakika gani kuwa mkeo hachepuki wewe ndo ulimtoa bikra?
 
Unahakika gani kuwa mkeo hachepuki wewe ndo ulimtoa bikra?
Kwa mila zetu ukimkuta hana bikra kuku na mahari vinarudishwa na ukiikuta unatozwa kitu cha thamani ya lak2 hadi tatu kama shukrani kwa wazazi
 
Unataka kumshirikisha mkeo kuhusu michepuko😃Kila la kheri utupe na mrejesho hapa😃
 
M nikishaenda polisi kwa kupiga nkaulizwa nkajibu nimempiga kweli siwezi ka na mwanamke kama dadayangu

hataki mapenzi kuguswa kama Niko na jini asepe..wakacheka aliwapanga waniweke ndani tukapelekwa ofisi Moja wakatuhojii wee wakianza kumweleza madhara anayofanya

Nikawambia hapa nilipo na namba za Malaya kama zote kwann anataka tufe mapema

Akaitwa keshoyake.... Na mm keshokutwa yake wakachukua 30000 yakaisha
Tatizo wewe una mpididy
 
Unataka kumshirikisha mkeo kuhusu michepuko😃Kila la kheri utupe na mrejesho hapa😃
Niliwaza hivyo kulingana na utiifu wake kwangu japo nimshirikishe Siri hii kubwa inayonitafuna ambayo chanzo ni yeye kunibania
 
Kuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka

Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini nisivute pisi kadhaa nikazipanga nikawa najipimia kwa zamu. Mwanzo nilikuwa natoboka pesa ila imefika kipindi najipimia kwa hisani ya mioyo yao wenyewe kama kuna kibinti cha afu 2 kimeniganda Sana kila weekend lazima kinitafute

Issue inakuja kuwa kwa sasa wife katulia kwenye mkao yani nitakachotaka anafanya mambo zinaenda kama zinavyopangwa yani home ni burudani iwe mchana iwe usiku na kuhusu kuchepuka mke wangu na Mimi pia (japo nilikuwa) ni wafia dini yani swala tano na tupo vizuri kiimani pia

Sasa kila nikitaka kuiacha hii michepuko ni kama haiwezekani maana nishawahi kuiblock Mara kadhaa lakini wananitafuta kwa namba zingine na wanajua kuwa nipo na wife lakini wanasema kwani wakati nawatongoza sikujua kuwa Nina mke so nakosa hoja

Natamani kumshirikisha mke wangu hili swala tushauriane ila nahisi atalichukulia kwa mtazamo tofauti nifanyeje
Pole sana
 
Back
Top Bottom