Mke wangu hachepuki mimi mwenyewe ilinichukua muda mrefu hadi kufikia uamuzi wa kuchepuka ila pia najuta kwanini niliamua kuchepuka maana dhambi inanitafuna sasa hivi japo kipindi hicho sikuwa na namnaUsiache michepuko yako endelea nayo maana hata mke wako anayo ndio maana unaona amani na furaha imerudi kwenye ndoa yenu.
Kweli michepuko inaboresha ndoa.
Kwa ushauri HATA MKE WAKO ACHANA NAYE ARV zimeanza kutolewa kwa Pesa unaambiwa mgawo wa mkoa haujafika juzi kuna dada kafata kwa 50000 ameanza kukonda na vipere achana na mambo hayoKuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka
Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini nisivute pisi kadhaa nikazipanga nikawa najipimia kwa zamu. Mwanzo nilikuwa natoboka pesa ila imefika kipindi najipimia kwa hisani ya mioyo yao wenyewe kama kuna kibinti cha afu 2 kimeniganda Sana kila weekend lazima kinitafute
Issue inakuja kuwa kwa sasa wife katulia kwenye mkao yani nitakachotaka anafanya mambo zinaenda kama zinavyopangwa yani home ni burudani iwe mchana iwe usiku na kuhusu kuchepuka mke wangu na Mimi pia (japo nilikuwa) ni wafia dini yani swala tano na tupo vizuri kiimani pia
Sasa kila nikitaka kuiacha hii michepuko ni kama haiwezekani maana nishawahi kuiblock Mara kadhaa lakini wananitafuta kwa namba zingine na wanajua kuwa nipo na wife lakini wanasema kwani wakati nawatongoza sikujua kuwa Nina mke so nakosa hoja
Natamani kumshirikisha mke wangu hili swala tushauriane ila nahisi atalichukulia kwa mtazamo tofauti nifanyeje
Mkuu hata Mimi najiona sina kosa yeye ndiye msababishaji wa yote haya ilinichukua miezi kadhaa kufikia uamuzi wa kutoka nje ya ndoa ila mwisho wa siku kunasuka pia ni kashesheM nikishaenda polisi kwa kupiga nkaulizwa nkajibu nimempiga kweli siwezi ka na mwanamke kama dadayangu
hataki mapenzi kuguswa kama Niko na jini asepe..wakacheka aliwapanga waniweke ndani tukapelekwa ofisi Moja wakatuhojii wee wakianza kumweleza madhara anayofanya
Nikawambia hapa nilipo na namba za Malaya kama zote kwann anataka tufe mapema
Akaitwa keshoyake.... Na mm keshokutwa yake wakachukua 30000 yakaisha
Unahakika gani kuwa mkeo hachepuki wewe ndo ulimtoa bikra?Mke wangu hachepuki mimi mwenyewe ilinichukua muda mrefu hadi kufikia uamuzi wa kuchepuka ila pia najuta kwanini niliamua kuchepuka maana dhambi inanitafuna sasa hivi japo kipindi hicho sikuwa na namna
Tatizo wewe una mpididyM nikishaenda polisi kwa kupiga nkaulizwa nkajibu nimempiga kweli siwezi ka na mwanamke kama dadayangu
hataki mapenzi kuguswa kama Niko na jini asepe..wakacheka aliwapanga waniweke ndani tukapelekwa ofisi Moja wakatuhojii wee wakianza kumweleza madhara anayofanya
Nikawambia hapa nilipo na namba za Malaya kama zote kwann anataka tufe mapema
Akaitwa keshoyake.... Na mm keshokutwa yake wakachukua 30000 yakaisha
Pole sanaKuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka
Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini nisivute pisi kadhaa nikazipanga nikawa najipimia kwa zamu. Mwanzo nilikuwa natoboka pesa ila imefika kipindi najipimia kwa hisani ya mioyo yao wenyewe kama kuna kibinti cha afu 2 kimeniganda Sana kila weekend lazima kinitafute
Issue inakuja kuwa kwa sasa wife katulia kwenye mkao yani nitakachotaka anafanya mambo zinaenda kama zinavyopangwa yani home ni burudani iwe mchana iwe usiku na kuhusu kuchepuka mke wangu na Mimi pia (japo nilikuwa) ni wafia dini yani swala tano na tupo vizuri kiimani pia
Sasa kila nikitaka kuiacha hii michepuko ni kama haiwezekani maana nishawahi kuiblock Mara kadhaa lakini wananitafuta kwa namba zingine na wanajua kuwa nipo na wife lakini wanasema kwani wakati nawatongoza sikujua kuwa Nina mke so nakosa hoja
Natamani kumshirikisha mke wangu hili swala tushauriane ila nahisi atalichukulia kwa mtazamo tofauti nifanyeje
Amka unaotaMke wangu hachepuki