Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Cheka tuu😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheka tuu😂😂😂😂
tumekupata mkuu! angalia kuna siku utatoa buku benk!Nilishatoa mpaka benki elfu 4000. Mara kibao tu
Kwa foleni au ATM?Nilishatoa mpaka benki elfu 4000. Mara kibao tu
Nimekumbuka kuishiwa maanake niniCheka tuu😂
Kuna atm inatoa 4000?Kwa foleni au ATM?
Benki gani ulitoa 4000? Nakumbuka tukiwa chuo tulikuwa tunafanya mchezo wa kijinga sana. Kwenye akaunti ikiwepo hela yaijafika 10,000 (ATM tulikuwa tunatoa mafungu ya 10,000 tu) mfano una 8000, tunaenda dirishani tunadeposit 13,000 then unaenda ATM unatoa 20,000[emoji23][emoji23]Nilishatoa mpaka benki elfu 4000. Mara kibao tu
Wewe ushawahi kuishiwa kwa levo kama hiyo yangu?,😎Nimekumbuka kuishiwa maanake nini
NMB zamani tulikuwa tunatoa hadi bukuKuna atm inatoa 4000?
Cheka tuu
Nishawahi....ilibidi nimuombe Mangi mkopo wa 100! Nilikuwa nataka niweke bundle 500 niingie jf ila nilikuwa na 400 tuWewe ushawahi kuishiwa kwa levo kama hiyo yangu?,😎
Aisee! Sikuwahi kujua. Fee je?NMB zamani tulikuwa tunatoa hadi buku
😂😂😂😂ain't sure!!!Nishawahi....ilibidi nimuombe Mangi mkopo wa 100! Nilikuwa nataka niweke bundle 500 niingie jf ila nilikuwa na 400 tu
Hata kutoa 2000 asubuhi, mchana unatoa tena na jioni tena ni matumizi mabaya ya rasilimali maana charges zitakuwa kubwa zaidiSasa hata kama akaunti ina milioni mbili,una shida ya 2000 chap, kwanini usitoe? ..sasa ukishaua utoe labda 30000...si matumizi mabaya ya rasikimali fedha?mi natoa kiasi chochote nachohitaji bila kujali nna akiba kiasi gani wala wakala ananionaje..kwani hata hiyo 2000 anajua nimeipata vipi?
Trust me it's true. Siwezi kusahau😂😂😂😂ain't sure!!!
Aisee! Sikuwahi kujua. Fee je?
Ha ha haa...kuna jambo lingine limenijia kichwani😂😂daah!!!Trust me it's true. Siwezi kusahau
Duh mimi nikajua 10,000 ndio minimumSikumbuki, tulikuwa hatuangalii hilo tulichokuwa tunajua utoe hela unayotaka basi
Lipi tena?Ha ha haa...kuna jambo lingine limenijia kichwani😂😂daah!!!