RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Huyo anataka nimfuate PM 😂 😂 😂Acha hizoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anataka nimfuate PM 😂 😂 😂Acha hizoo
kwa hiyo laki nne nayo pesa mkuu?
Kuna tatizo??🙄Acha hizoo
[emoji23][emoji23][emoji23] pacha una shida kweli weweHuyo anataka nimfuate PM [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HapanaKuna tatizo??[emoji849]
Lol 😂😂😂njoo tuu naweza pata nauli ya kesho mihangaikoni,.Huyo anataka nimfuate PM 😂 😂 😂
😊Hapana
Fungua mlangoLol 😂😂😂njoo tuu naweza pata nauli ya kesho mihangaikoni,.
Niahidi utanipa nauli kwanza😎Fungua mlango
NitakupaNiahidi utanipa nauli kwanza😎
Aww-yayy🏃🏃🏃nakujaaa...Nitakupa
Nakusalim shogaa,..naona unacheka nlivyochacha ka mchuzi wa jogoo...lol😅Hahhahaaha
wiheha hangi?Hahhahaaha
Ndio maana nikauliza mkuu[emoji23]Kuna atm inatoa 4000?
Mto uzi yeye anaona aibuUmenikumbusha pale posta mpya Benjamin tower ATM ya chini karibu na benki ilikuwa inatoa hadi buku, daah nimezitoa sana buku buku kipindi hicho.
kuna kitu nimejifunza mkuu. hela kama yangu nisimwonee mtu aibu wala nini!Hebu, hiyo aibu unamwonea nani sasa? Wakati wa machuo huko nilikua napanga foleni kubwa tu NMB nachomoa buku 5 tu natoka nimeishika na card huyoo