Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Cheers darlin' 🍻Najivunia busara zenu hapa JF, iam very proud of you girls/women!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheers darlin' 🍻Najivunia busara zenu hapa JF, iam very proud of you girls/women!
Najivunia busara zenu hapa JF, iam very proud of you girls/women!
Halafu mkuu, jina lako linanikumbusha Legend of the seeker, heard of such a thing?Cheers darlin' 🍻
Yeah yeah...legend of the seeker chini ya Richard Cipher😊Halafu mkuu, jina lako linanikumbusha Legend of the seeker, heard of such a thing?
Mi natoa hata buku moja, inategemea km naihitaji kwa muda huo, sasa pesa yangu mwenyewe nione aibu kuitoa wakati nimeiweka mwenyeweJaman huwa napata aibu nikitoa chini ya tsh.5,000. je wewe huwa unaona so ukitoa sh ngapi?
Tablet yangu sijui imepitwa na wakati au ina uwezo mdogo, emoji hazionekani, hata sijui umeniwekea emoji gani mpendwa, mweee![emoji120] [emoji120][emoji120] ahsante
Nimekuwekea emoj ya kushukuru mpendwaTablet yangu sijui imepitwa na wakati au ina uwezo mdogo, emoji hazionekani, hata sijui umeniwekea emoji gani mpendwa, mweee!
It was my favourite movie series back then, when i was in college, sijawahi ona muvi yenye waigizaji wenye uwezo kama huo..Yeah yeah...legend of the seeker chini ya Richard Cipher😊
Hahahaaa, pamoja.Nimekuwekea emoj ya kushukuru mpendwa
Oh yeah,..popote niendako nakuwa nayo nikihisi kuwa bored nairudia...haijawahi kunichosha aseeIt was my favourite movie series back then, when i was in college, sijawahi ona muvi yenye waigizaji wenye uwezo kama huo..
Especialy you mother confessor, Brigedie Regan..
Bos ishi your really life usiigizeKimbembe ni pale unapoenda kwa wakala unamkuta mtoto mrembooo! afu unatoa buku tatu, yani hata ukiomba namba ya simu haki ya nani hakupi!!!??
Sasa laki nne tuite nini...mwanza wa pesa ni tsh1 na kusonga mambele mm hadi 1100 nimetoa jana tu... Nilikwama mwana akanitumia na ya kutolea ndo ikatoka hiyo.... Halafu sina habari wala nnkwa hiyo laki nne nayo pesa mkuu?
Ilikuwa ni lini hii mkuu na ni mtandao gani, maana kwa sasa kutoa mwisho buku.. umeanza kutupiga fix mkuu..Nishatoa chini ya buku
Una matatizo ya kisaikolojia...kubaliana na hali yako.Jaman huwa napata aibu nikitoa chini ya tsh.5,000. je wewe huwa unaona so ukitoa sh ngapi?
[emoji1] Jf bwana!Maisha kuna wakati yanakubana unashindia miwa tu ili upate nguvu ya kutembea