Nikiwa Dar Waislamu na wasomi wengi huniagiza silaha zake za kiroho kama maji na mafuta ya upako

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Hawa manabii waliozuka na kujaa kama nzige wanajipatia waumini wa kuwapa utajiri.
Hao wasomi, waislamu na wanasiasa wanawapinga ovyo mtandaoni lakini pembeni utakuta wananunua maji, chumvi, mchanga na mafuta ya upako.
Hapa mtandaoni jamii forums sijawahi kuona mtu akisema wazi kama ni mfuasi wa nabii Fulani.

Nikiwa natoka Dar marafiki zangu wengi hunisisitiza na kunitumia pesa ili niwabebee maji na mafuta Kwa mwamposa na hao wengi ni waislamu, wasomi na ma balo balo wa mtaani.
Watanganyika tuwe wazi
 
Mambo ya imani waachie waamini wenyewe.

Hujui tu hao waislamu hawafanyi promo lakini waganga wengi ni Masheikh akiwemo Mufti mkuu.
 
Hamnaga muislamu mpuuzi anae weza kutegemea mshirikina amtegenezea njia ya mafanikio wakati washirikina ni najisi kwa imani ya uislamu, labda waislamu wa ngara wengi ni waislamu majina.
 
Glory glory to God hallelujah hallelujah hallelujah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…