Nikiwa Dodoma niliwahi kuchakata wanawake mtaa mzima kisa mboga za majani, waume zao wakashikwa wivu wakafyeka bustani yangu usiku

Nikiwa Dodoma niliwahi kuchakata wanawake mtaa mzima kisa mboga za majani, waume zao wakashikwa wivu wakafyeka bustani yangu usiku

Wakazi wa Dodoma wana asili ya uvivu,asante JPM kuhamisha serikali Dodoma ili kuwachangamsha hawa watani zangu.

Mwaka juzi nilikuwa naishi Dodoma mitaa ya Nkuhungu,nyumba haikuwa na uzio ila kulikuwa na bomba la maji na kisima, nikajingeza kulima bustani ya mboga, chinese, spinach, mchicha, hoho biringanya.

Nilitumia mbolea ya samadi na kupiga booster na dawa za kuua wadudu,mboga zilikubali sana ,kwa vile nilikuwa bachelor sikuwa na njaa, sikuweza kuzimaliza zile mboga, zilikuwa kama maonyesho ya nanenane,

Kila jioni nikirudi kazini nakuta wamama wanasubiri kuomba mboga, na ule ukame wa Dodoma!!
Nilichakata kuanzia wake za watu, wajane, na mahouse girl mtaa mzima, kweli Dodoma wana shida.

Waume zao wakashtukia mchezo siku moja nimelala asubuhi nakuta wahuni wamefyeka bustani yangu yote,nikahama mtaa kabla hawajanifyeka na mimi
[emoji38][emoji38][emoji38], famasiala nini!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakazi wa Dodoma wana asili ya uvivu,asante JPM kuhamisha serikali Dodoma ili kuwachangamsha hawa watani zangu.

Mwaka juzi nilikuwa naishi Dodoma mitaa ya Nkuhungu,nyumba haikuwa na uzio ila kulikuwa na bomba la maji na kisima, nikajingeza kulima bustani ya mboga, chinese, spinach, mchicha, hoho biringanya.

Nilitumia mbolea ya samadi na kupiga booster na dawa za kuua wadudu,mboga zilikubali sana ,kwa vile nilikuwa bachelor sikuwa na njaa, sikuweza kuzimaliza zile mboga, zilikuwa kama maonyesho ya nanenane,

Kila jioni nikirudi kazini nakuta wamama wanasubiri kuomba mboga, na ule ukame wa Dodoma!!
Nilichakata kuanzia wake za watu, wajane, na mahouse girl mtaa mzima, kweli Dodoma wana shida.

Waume zao wakashtukia mchezo siku moja nimelala asubuhi nakuta wahuni wamefyeka bustani yangu yote,nikahama mtaa kabla hawajanifyeka na mimi
JF ukinuna basi umetaka mwenyewe by Greatest Of All Time
 
Wakazi wa Dodoma wana asili ya uvivu,asante JPM kuhamisha serikali Dodoma ili kuwachangamsha hawa watani zangu.

Mwaka juzi nilikuwa naishi Dodoma mitaa ya Nkuhungu,nyumba haikuwa na uzio ila kulikuwa na bomba la maji na kisima, nikajingeza kulima bustani ya mboga, chinese, spinach, mchicha, hoho biringanya.

Nilitumia mbolea ya samadi na kupiga booster na dawa za kuua wadudu,mboga zilikubali sana ,kwa vile nilikuwa bachelor sikuwa na njaa, sikuweza kuzimaliza zile mboga, zilikuwa kama maonyesho ya nanenane,

Kila jioni nikirudi kazini nakuta wamama wanasubiri kuomba mboga, na ule ukame wa Dodoma!!
Nilichakata kuanzia wake za watu, wajane, na mahouse girl mtaa mzima, kweli Dodoma wana shida.

Waume zao wakashtukia mchezo siku moja nimelala asubuhi nakuta wahuni wamefyeka bustani yangu yote,nikahama mtaa kabla hawajanifyeka na mimi
Kumamake nimecheka kinoma....mm naona hilo jambo linaenda nikuta hivi karibuni hapa dodoma.....naomba site nyingine niende hata tabora kwa watusi huko. Dodoma kuna watoto asee
 
Kumamake nimecheka kinoma....mm naona hilo jambo linaenda nikuta hivi karibuni hapa dodoma.....naomba site nyingine niende hata tabora kwa watusi huko. Dodoma kuna watoto asee
Jipange
 
Mboga za majani tu zikufanye utembeze rungu namna hivyo na je ungekuwa tajiri wa kueleweka?
Tajiri anaogopeks, na hana muda,nikwambie ukweli wake zenu hugongwa na bodaboda,wauza nyama,waosha miguu na kucha,wauza mitumba nko ni watu hatari kwa wake zenu kuliko vibosile
 
Wakazi wa Dodoma wana asili ya uvivu,asante JPM kuhamisha serikali Dodoma ili kuwachangamsha hawa watani zangu.

Mwaka juzi nilikuwa naishi Dodoma mitaa ya Nkuhungu,nyumba haikuwa na uzio ila kulikuwa na bomba la maji na kisima, nikajingeza kulima bustani ya mboga, chinese, spinach, mchicha, hoho biringanya.

Nilitumia mbolea ya samadi na kupiga booster na dawa za kuua wadudu,mboga zilikubali sana ,kwa vile nilikuwa bachelor sikuwa na njaa, sikuweza kuzimaliza zile mboga, zilikuwa kama maonyesho ya nanenane,

Kila jioni nikirudi kazini nakuta wamama wanasubiri kuomba mboga, na ule ukame wa Dodoma!!
Nilichakata kuanzia wake za watu, wajane, na mahouse girl mtaa mzima, kweli Dodoma wana shida.

Waume zao wakashtukia mchezo siku moja nimelala asubuhi nakuta wahuni wamefyeka bustani yangu yote,nikahama mtaa kabla hawajanifyeka na mimi

Nimekujua we jamaa ulikuwa unakaa karibu na Duka la mangi, Ile nyia kama unaenda kanisa la mashahidi wa yehova


Ha ha ha
 
Back
Top Bottom