Nikiweza kutoboa hadi mwezi wa pili 2024 basi itakuwa ni kwa neema ya Mungu

Nikiweza kutoboa hadi mwezi wa pili 2024 basi itakuwa ni kwa neema ya Mungu

yaani kiujumla ni hivyo tu kuanzia mwezi wa kwanza ni makadirio ya kupata mtoto wa pili mungu akipenda lakini mpaka sasa bado sijasevu hata 100 ndani leo ndo nimepunguza miezi miwili ya kudaiwa kodi toka miezi minne.

Eeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia wengi wetu tunaotegemea tutoke kila siku ndo tupeleke tonge mdomoni

AMEN.
nipe mtoto wa kwanza huyo nikusaidie kulea.

Niko Mwanza
 
yaani kiujumla ni hivyo tu kuanzia mwezi wa kwanza ni makadirio ya kupata mtoto wa pili mungu akipenda lakini mpaka sasa bado sijasevu hata 100 ndani leo ndo nimepunguza miezi miwili ya kudaiwa kodi toka miezi minne.

Eeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia wengi wetu tunaotegemea tutoke kila siku ndo tupeleke tonge mdomoni

AMEN.
Pole mkuu

Miye sina hela ya gesi,kuna harusi ya mdogo wangu inabidi nikohoe kama 500k,bado madeni kama 2,500,000/= yananisubiria

Nina pakulala,uhakika wa kula upo

Sijui kama nitatoboa

Ila napambana
 
Usikate tamaa na rehma za mwenyezi Mungu maana zingine hata kuzifikiria huwezi.... Kwakua umemtaja Mungu kwenye bandiko lako basi endelea kumtumainia ukiendelea na shughuri zako za kila siku..
Kwa Mwenyezi Mungu Hayo Ni Mepesi.
 
Upo vizuri mbona, badilisha tu mbinu na mikakati ya utafutaji kwa timing utascore vizuri tu.

Kuna vitu vikitokea acha kuwaza kufeli maana vitakutikisa hadi akili yako ikubali kukaa sawa.

Swala la mtoto ni swala ambalo litakata tu umakini na mahesabu ila sio kubwa kama watu wanavyolikuza. Kushindwa kumudu mtoto ni matokeo ya execution mbovu ya mipango na timing pia uzembe wa kusimamia wajibu wa uzazi na ulezi plus kutegeana.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
yaani kiujumla ni hivyo tu kuanzia mwezi wa kwanza ni makadirio ya kupata mtoto wa pili mungu akipenda lakini mpaka sasa bado sijasevu hata 100 ndani leo ndo nimepunguza miezi miwili ya kudaiwa kodi toka miezi minne.

Eeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia wengi wetu tunaotegemea tutoke kila siku ndo tupeleke tonge mdomoni

AMEN.
Akisha zaliwa hutakosa cha kumpatia.
Mwenyewe utashangaa milango itakavyo funguka.
 
Back
Top Bottom