Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Mimi nishakataa kupanga aisee kila nikihamia mkoa mwingine lazima nizame bank nakopa najenga nikiwa na mkopo wa 20mil nyumba inatosha kuhamia vingine napiga mdogo mdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂yaan acha tu bro😔Ukiona chozi la mtu mzima, ujue kuna jambo limemuelemea 😂😂
Uwe unahama na mkeo la sivyo...Mimi nishakataa kupanga aisee kila nikihamia mkoa mwingine lazima nizame bank nakopa najenga nikiwa na mkopo wa 20mil nyumba inatosha kuhamia vingine napiga mdogo mdogo
😂😂😂😂😂 una vituko 😝Aisee auntie wa wanang, hizi comments zako mbili zinaweza kumchekesha maiti aisee 😂😂
nipe mtoto wa kwanza huyo nikusaidie kulea.yaani kiujumla ni hivyo tu kuanzia mwezi wa kwanza ni makadirio ya kupata mtoto wa pili mungu akipenda lakini mpaka sasa bado sijasevu hata 100 ndani leo ndo nimepunguza miezi miwili ya kudaiwa kodi toka miezi minne.
Eeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia wengi wetu tunaotegemea tutoke kila siku ndo tupeleke tonge mdomoni
AMEN.
Pole mkuuyaani kiujumla ni hivyo tu kuanzia mwezi wa kwanza ni makadirio ya kupata mtoto wa pili mungu akipenda lakini mpaka sasa bado sijasevu hata 100 ndani leo ndo nimepunguza miezi miwili ya kudaiwa kodi toka miezi minne.
Eeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia wengi wetu tunaotegemea tutoke kila siku ndo tupeleke tonge mdomoni
AMEN.
Tajiri, msaidie mwanaume mwenzio hata milioni moja, si umeona kajieleza vizuri tuMimi nishakataa kupanga aisee kila nikihamia mkoa mwingine lazima nizame bank nakopa najenga nikiwa na mkopo wa 20mil nyumba inatosha kuhamia vingine napiga mdogo mdogo
🙏🙏🙏 Tupo pamoja ndoa ni laanaKuna wakati mwingine Hawa jamaa 'kataa ndoa' hoja zao huwa Zina make sense Sana hasa kwa watu ka nyie...
Kabisa!
Jamaa apitie hapa kuchukua ushauri wako la sivyo....Uwe unahama na mkeo la sivyo...
😂😂😂akipuuza shauri yakeJamaa apitie hapa kuchukua ushauri wako la sivyo....
🤣🤣
Akisha zaliwa hutakosa cha kumpatia.yaani kiujumla ni hivyo tu kuanzia mwezi wa kwanza ni makadirio ya kupata mtoto wa pili mungu akipenda lakini mpaka sasa bado sijasevu hata 100 ndani leo ndo nimepunguza miezi miwili ya kudaiwa kodi toka miezi minne.
Eeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia wengi wetu tunaotegemea tutoke kila siku ndo tupeleke tonge mdomoni
AMEN.
Eeh we jamaa usimpe stress mleta mada.😄Ukute hata mtoto anayekupa pressure sio wa kwako!
Mungu unamsingizia bure tuEeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia