Nikiweza kutoboa hadi mwezi wa pili 2024 basi itakuwa ni kwa neema ya Mungu

Nikiweza kutoboa hadi mwezi wa pili 2024 basi itakuwa ni kwa neema ya Mungu

Me nategemea kupata watoto wawili mwezi wa nne mpaka sasa sielewi itakuaje pesa imenisaliti Kama bikra kwa changudoa.nlitalajia mmoja but utra sound ubao unasoma two kids in one womb
 
Acha woga wa maisha ,zaa nani alikwambia rizki ya mwanao unaibeba ww???
Nakumbuka nikiwa chuo na mke mtoto wa kwanza nlimpata nikiwa mwaka wa tatu , na alipokuja mambo yalifunguka sana mpaka leo nikipania kitu kibiashara lazma itiki tu ,Mungu yupo mbele na uwe jasiri

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Utatoboa tu
utatoboa tu
ninarudia tena UTATOBOA TU....
 
yaani kiujumla ni hivyo tu kuanzia mwezi wa kwanza ni makadirio ya kupata mtoto wa pili mungu akipenda lakini mpaka sasa bado sijasevu hata 100 ndani leo ndo nimepunguza miezi miwili ya kudaiwa kodi toka miezi minne.

Eeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia wengi wetu tunaotegemea tutoke kila siku ndo tupeleke tonge mdomoni

AMEN.
I wish kuna kitu nkufundishe cha kufanya usiku wa leo sema ndo mvivu wa kutype
 
Mimi mwenyewe nimesubiria wee nipate ela ndio nioe doh kumbe najidanganya bwana nimwambie manzi yangu bwanaee Nina mahari tu apa tena enyewe aitoshi kwaiyo njoo tupeane mimba mengine tutajua mbeleni lakini Cha Muhimu mtoto kwanza maana umri nao unaenda kinoma now 29 years kwaiyo bro tupambane tu akuna kukata tamaa tena Bora Yako wewe ni kid Wa pili hongera sana
 
yaani kiujumla ni hivyo tu kuanzia mwezi wa kwanza ni makadirio ya kupata mtoto wa pili mungu akipenda lakini mpaka sasa bado sijasevu hata 100 ndani leo ndo nimepunguza miezi miwili ya kudaiwa kodi toka miezi minne.

Eeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia wengi wetu tunaotegemea tutoke kila siku ndo tupeleke tonge mdomoni

AMEN.
Kama unaona huna uwezo wa kumtunza mtoto, unamleta dunianinkwa kutegemea nini? Nani amtunze?

Huyo Mungu unayemuomba hayupo.

Angekuwepo, usingehitaji kumuomba.
 
Tunapokosea ndiyo hapo
1.Huna kitu unaoa
2.Huna kitu unazaa
Hii dunia ukiiletea masihara lazima ikuumbue
Ukisema mpaka uwe na kitu ndio uoe au uzae pia unaweza kupoteza muda sana...ukachelewaa halafu ukakuta maisha ndio yaleyale at 25 go to 30, then 35 to 40 ages

Utakuja kujiuliza kuwa ulikuwa unasubiri nini then ukakosa jibu

Saa hizo mtoto anakuita Babu au Bibi [emoji1787]
 
kuna wakati mtu anaamua kujilipua tu akipata wa kusikilizana nae, mana siku zinaenda na hakuna ramani inayoeleweka
Kwa Tanzania watu wengi hawana guarantee ya kuwa na maisha bora baada ya muda flani, so huwezi kuacha kuoa au kuzaa watoto kwa wakati sahihi kisa hujajenga au humiliki GX

Ukiamua kungoja utangoja sana na unaweza usije kufanikiwa pia
 
Don't worry :

God will make a way where it seems to be no way! IJN!
Amen
 
Ukisema mpaka uwe na kitu ndio uoe au uzae pia unaweza kupoteza muda sana...ukachelewaa halafu ukakuta maisha ndio yaleyale

Utakuja kujiuliza kuwa ulikuwa unasubiri nini then ukakosa jibu

Saa hizo mtoto anakuita Babu au Bibi [emoji1787]
Akikuita bibi na unauwezo wa kumpa furaha ya maisha shida nini?
 
Kwanini uzaa ilihali huna kitu unataka kuendeleza uzao wa masikini?
Wewe umejuaje kama alifanya maamuzi ya kuzaa akiwa hana kitu. Unaweza kukuta alifanya maamuzi akiwa na kipato then matokeo ya uamuzi wake yamemkuta kafilisika hana kitu.
 
Back
Top Bottom