Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
πππyaan acha tu broπUkiona chozi la mtu mzima, ujue kuna jambo limemuelemea ππ
Uwe unahama na mkeo la sivyo...Mimi nishakataa kupanga aisee kila nikihamia mkoa mwingine lazima nizame bank nakopa najenga nikiwa na mkopo wa 20mil nyumba inatosha kuhamia vingine napiga mdogo mdogo
πππππ una vituko πAisee auntie wa wanang, hizi comments zako mbili zinaweza kumchekesha maiti aisee ππ
nipe mtoto wa kwanza huyo nikusaidie kulea.yaani kiujumla ni hivyo tu kuanzia mwezi wa kwanza ni makadirio ya kupata mtoto wa pili mungu akipenda lakini mpaka sasa bado sijasevu hata 100 ndani leo ndo nimepunguza miezi miwili ya kudaiwa kodi toka miezi minne.
Eeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia wengi wetu tunaotegemea tutoke kila siku ndo tupeleke tonge mdomoni
AMEN.
Pole mkuuyaani kiujumla ni hivyo tu kuanzia mwezi wa kwanza ni makadirio ya kupata mtoto wa pili mungu akipenda lakini mpaka sasa bado sijasevu hata 100 ndani leo ndo nimepunguza miezi miwili ya kudaiwa kodi toka miezi minne.
Eeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia wengi wetu tunaotegemea tutoke kila siku ndo tupeleke tonge mdomoni
AMEN.
Tajiri, msaidie mwanaume mwenzio hata milioni moja, si umeona kajieleza vizuri tuMimi nishakataa kupanga aisee kila nikihamia mkoa mwingine lazima nizame bank nakopa najenga nikiwa na mkopo wa 20mil nyumba inatosha kuhamia vingine napiga mdogo mdogo
πππ Tupo pamoja ndoa ni laanaKuna wakati mwingine Hawa jamaa 'kataa ndoa' hoja zao huwa Zina make sense Sana hasa kwa watu ka nyie...
Kabisa!
Jamaa apitie hapa kuchukua ushauri wako la sivyo....Uwe unahama na mkeo la sivyo...
πππakipuuza shauri yakeJamaa apitie hapa kuchukua ushauri wako la sivyo....
π€£π€£
Akisha zaliwa hutakosa cha kumpatia.yaani kiujumla ni hivyo tu kuanzia mwezi wa kwanza ni makadirio ya kupata mtoto wa pili mungu akipenda lakini mpaka sasa bado sijasevu hata 100 ndani leo ndo nimepunguza miezi miwili ya kudaiwa kodi toka miezi minne.
Eeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia wengi wetu tunaotegemea tutoke kila siku ndo tupeleke tonge mdomoni
AMEN.
Eeh we jamaa usimpe stress mleta mada.πUkute hata mtoto anayekupa pressure sio wa kwako!
Mungu unamsingizia bure tuEeeh Mwenyezi Mungu tupunguzie hii mizigo na changamoto tunazozipitia