[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apart from Zama tuna Faustina Mfinanga aka Nandy,,,,anambeba sana Billy Nas....wapo wengi mbona[emoji2]
Mmmh Hii bifu ya Mange na Zama ni real,Mange hapendagi mtu atoboe lazima amstress
Unachekelea nini Mrembo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Comments za waja, [emoji23][emoji23]Unachekelea nini Mrembo?
Ni upumbavu kabisa mwanaume kupiga magotiHili swala la kupiga magoti huwa nalipinga sana
Kuna tofauti kati ya mcha Mungu na church goersKwani Monica wa masanja, Christina Shusho,na wengine kibao sio Wacha Mungu?
Walishatemana kitambo mkuu..wanalea tu sasa hiviHongera sana
Cc: Le Professeri jini mkata kambaWalishatemana kitambo mkuu..wanalea tu sasa hivi
so jamaa yupo Single?Walishatemana kitambo mkuu..wanalea tu sasa hivi
Ananuka maziwa, mimi si mdogo kiasi hicho na nipo na mume.
asee kumbeAnanuka maziwa, mimi si mdogo kiasi hicho na nipo na mume.
Hao vijana wanaweza wao kwa wao, kuna yule DC aliyezaa juzi juzi , single mother wanaweza ku-match.
Siku hizi ndoa hazidumu kwa ajili ya kutamaniana tu, sasa kama DC anachapiwa sisi wengine si ndo balaaAnanuka maziwa, mimi si mdogo kiasi hicho na nipo na mume.
Hao vijana wanaweza wao kwa wao, kuna yule DC aliyezaa juzi juzi , single mother wanaweza ku-match.
Hakika, kama wewe mume upo Dar, kipindi hiki ka mvua na december hii mkeo anapewa zawadi za christmas[kuzaliwa kwa mwokozi] , anapewa red roses, anapewa wine, anapewa black chocolate, wanaenda corporate event kempisky wewe umengaa macho tu apo naremote unaangalia mechi ya Man u , sijui yanga na Al Ahly umeliwa, unagongewa kilaini kwakuwa sisi wanawake tunataka mambo madogo madogo ya kimahaba wewe unashinda na mpira.Siku hizi ndoa hazidumu kwa ajili ya kutamaniana tu, sasa kama DC anachapiwa sisi wengine si ndo balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayemchapia sasa!Siku hizi ndoa hazidumu kwa ajili ya kutamaniana tu, sasa kama DC anachapiwa sisi wengine si ndo balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
na mie najitafutia mvaa sendo za manyoya tunaruka majokaHakika, kama wewe mume upo Dar, kipindi hiki ka mvua na december hii mkeo anapewa zawadi za christmas[kuzaliwa kwa mwokozi] , anapewa red roses, anapewa wine, anapewa black chocolate, wanaenda corporate event kempisky wewe umengaa macho tu apo naremote unaangalia mechi ya Man u , sijui yanga na Al Ahly umeliwa, unagongewa kilaini kwakuwa sisi wanawake tunataka mambo madogo madogo ya kimahaba wewe unashinda na mpira.
alooKuna tofauti kati ya mcha Mungu na church goers
Mcha Mungu na mwimbaji wa nyimbo za injili
DC ni binadamu kama wewe, hivyo hakuna cha kushangaza hapo.Siku hizi ndoa hazidumu kwa ajili ya kutamaniana tu, sasa kama DC anachapiwa sisi wengine si ndo balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nawashangaa sana wanaume wanao oa kizazi hiki. Pengine mume wako hata hafahamu kama ameoa kahaba.Hakika, kama wewe mume upo Dar, kipindi hiki ka mvua na december hii mkeo anapewa zawadi za christmas[kuzaliwa kwa mwokozi] , anapewa red roses, anapewa wine, anapewa black chocolate, wanaenda corporate event kempisky wewe umengaa macho tu apo naremote unaangalia mechi ya Man u , sijui yanga na Al Ahly umeliwa, unagongewa kilaini kwakuwa sisi wanawake tunataka mambo madogo madogo ya kimahaba wewe unashinda na mpira.