King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Pete pekee haitoshi, ndoa ndio muhimu:
Ndiyo wanaelekea huko ndoani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pete pekee haitoshi, ndoa ndio muhimu:
Ni ujinga tu, tunaiga tamaduni za watu bila kujitambua akiliHili swala la kupiga magoti huwa nalipinga sana
Hivi huyu Nikki bado yupo na huyu demu, nakumbuka kuna issue fulani jamaa alimwaga humu kuwa demu alikuwa analiwa na kigogo fulani huku akiwa na Nikki bado.Rapa msomi kutoka kiwanda Cha bongo fleva Nikki wa Pili amemvisha Pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi , akitarajia kuaga rasmi kambi ya ukapela
View attachment 960833
WAlimteua Nikki , jamaa badala afanye maamuzi magumu ya kubaki na waifu akacha kifaa nyuma, Mungu ameumba LIBIDO , na kipindi cha yai kupevuka libido hupanda, sasa unategemea nini hapo?Hivi huyu Nikki bado yupo na huyu demu, nakumbuka kuna issue fulani jamaa alimwaga humu kuwa demu alikuwa analiwa na kigogo fulani huku akiwa na Nikki bado.
Hata awe mcha Mungu mwanamke ni kiumbe kisichotabirika wala kueleweka kupigwa tukio ni dakika tuMapenzi hayaeleweki, pata mwanamke mcha Mungu, ninyi mnatafuta sura, tena si sura tu, mnataka rangi nyeupe kama Kajala, Frida, Lulu michael ndio wanawapiga matukio.
Kwani Monica wa masanja, Christina Shusho,na wengine kibao sio Wacha Mungu?Mapenzi hayaeleweki, pata mwanamke mcha Mungu, ninyi mnatafuta sura, tena si sura tu, mnataka rangi nyeupe kama Kajala, Frida, Lulu michael ndio wanawapiga matukio.
Kweli mwanamke hatabiriki Kikubwa akupende hata ukiwa kapuku atakufichia aibu yako pakubwa sana,,mfano hai Zamaradi Mketema😊Hata awe mcha Mungu mwanamke ni kiumbe kisichotabirika wala kueleweka kupigwa tukio ni dakika tu
Umeongea point sana kwenye last line, ukiwa na mwanamke alafu unampost sana, wapo watakao kuchapia tu, hapa mjini kuna watu wana mbumba ndefu kuliko wewe: Imagine una demu wako siku unaumwa upo dom anaenda mlimani city kununua charger ya simu maana tecno yake inamsumbua: Mlimani anakutana na Kajamaa kamepiga viwalo vikali na perfume aina ya DKNY Golden Delicious inanukia , ameswaki vizuri, ame shave vizuri,amevaa smart watch ya apple na ana iphone 14 plus, kapiga simple raba ya Air Jordan, amekunja shati kama Obama na jeans ya Levis, anamwambia demu wako amuelekeze lilipo duka la Apple akanunue ipod maana yake alisahau kwenye ndege jana yake akiwa anatoka serengeti kwenye vaccation .Demu wako anamsindikiza wakiwa wanaongea demu wako anamwambia amekuja mlimani anaangalia kwenye akaunti yake ya MNB kama ametumiwa hela na wazazi ili akanunue chaja ya kobe Kariakoo maana simu hichaji, Mwamba anampa pole alafu wanaenda duka la iphone anamwambia dada achague simu , demu anachagua iphone 13 xr, anamkumbatia jamaa anabaki na harufu ya manukato mazuri sana, anajisahau anatoka dukani kamzungushia mikono kiunoni, wanaenda nje kuna mghahawa wanapata kapuchino, giza linaingia mwamba anaondoa na demu wako mpaka Masaki kwenye Air BnB , anamla na anapewa maokoto:
#Mwanamke wa chuo si mke.
Hujui usemalo, mama wachungaji wenyewe wanaliwa kila uchao.Mapenzi hayaeleweki, pata mwanamke mcha Mungu, ninyi mnatafuta sura, tena si sura tu, mnataka rangi nyeupe kama Kajala, Frida, Lulu michael ndio wanawapiga matukio.
Zamaradi public anamfichia fundi wake madhaifu lkn ndani moto unawaka...Kweli mwanamke hatabiriki Kikubwa akupende hata ukiwa kapuku atakufichia aibu yako pakubwa sana,,mfano hai Zamaradi Mketema😊
Apart from ZamaradiKweli mwanamke hatabiriki Kikubwa akupende hata ukiwa kapuku atakufichia aibu yako pakubwa sana,,mfano hai Zamaradi Mketema😊
Naona ka-Mange na Zama wamepanga story wapate maokoto.Zamaradi public anamfichia fundi wake madhaifu lkn ndani moto unawaka...
Wanawake
Wanawake
Mna undugu mkubwa sana na shetani, sijui mliteta mangapi pale Edeni na Sheta😆😆😆
Joana najua wewe ni mcha Mungu , hivi kweli wanaume namna hawana adabu, yaani unawezaje mvua chupi mtumishi wa Mungu?Kwani Monica wa masanja, Christina Shusho,na wengine kibao sio Wacha Mungu?
🤣🤣🤣🤣Hawana hofu ya Mungu...Joana najua wewe ni mcha Mungu , hivi kweli wanaume namna hawana adabu, yaani unawezaje mvua chupi mtumishi wa Mungu?
At least anawezea mfichia madhaifu mumewe jamani,mnataka awe kama Joyce Kiria alivyokuwa anamuwasha kileo anashindwa kulipa Kodi?😅Zamaradi public anamfichia fundi wake madhaifu lkn ndani moto unawaka...
Wanawake
Wanawake
Mna undugu mkubwa sana na shetani, sijui mliteta mangapi pale Edeni na Sheta😆😆😆
Apart from Zama tuna Faustina Mfinanga aka Nandy,,,,anambeba sana Billy Nas....wapo wengi mbona😃Apart from Zamaradi
Naona ka-Mange na Zama wamepanga story wapate maokoto.
Mshana Jr kaka hapa ulikuwa una maanisha nini au ili kupata majibu mujarabu turudi kwenye ule uzi wa picha zinasema mengi?Kweli vyuma vimekaza... Unapopost kitu kama hicho background ni muhimu sana...hapo ni kama amekurupuka bila maandalizi... Au ndio mambo ya surprise?
Joyce ni genye zilimpanda kichwani...ona amepata mkataji katulia tuliAt least anawezea mfichia madhaifu mumewe jamani,mnataka awe kama Joyce Kiria alivyokuwa anamuwasha kileo anashindwa kulipa Kodi?😅
🤣🤣🤣Dah!kumbe inasaidia eeh?Joyce ni genye zilimpanda kichwani...ona amepata mkataji katulia tuli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume alieumizwa kuliko wote tangu hii nchi iungane na Zanzibar
Hapo nategemea Mimba tu pigwa mbupu shika Mimba na wewe vipi mayai yako yapo active au ndio tayari yameshakua mayai VISA?WAlimteua Nikki , jamaa badala afanye maamuzi magumu ya kubaki na waifu akacha kifaa nyuma, Mungu ameumba LIBIDO , na kipindi cha yai kupevuka libido hupanda, sasa unategemea nini hapo?