Nikki wa Pili amvisha Pete ya uchumba mpenzi wake

Nikki wa Pili amvisha Pete ya uchumba mpenzi wake

Sasa hivi vijana wameamua kuoa mijishangazi tu.
niki.jpeg
niki.jpeg
 
Mwanaune kupiga goti.. huwa wanasema ndio anaomba uchumba.. Walipendezeana, ila wakata umeme sio watu wa mchezo
Of Course mambo ya proposal na kuvalishana Pete tumeiga kwa mabeberu:
Mwanaume ndiye anamuomba mwanamke uchumba, hivyo muombaji ndio anapiga goti na mwombaji akiwa amesimama anakubali:
Sasa, wa Bongo tuna mfumo dume, hasa unyakyusani na Kanda ya Ziwa ambapo hata ukienda kwa wanawake wanapiga magoti basi ikachukuliwa hivyo.
 
Of Course mambo ya proposal na kuvalishana Pete tumeiga kwa mabeberu:
Mwanaume ndiye anamuomba mwanamke uchumba, hivyo muombaji ndio anapiga goti na mwombaji akiwa amesimama anakubali:
Sasa, wa Bongo tuna mfumo dume, hasa unyakyusani na Kanda ya Ziwa ambapo hata ukienda kwa wanawake wanapiga magoti basi ikachukuliwa hivyo.
Walipendezeana, nakumbuka miaka ya nyuma kipindi binti yupo UDSM na mshikaji wake.. mala kadhaa walikuwa wanafata pale mlimano city century cinemax kuangalja movie.. haya mambo banaa.. vijana wanakuwa wa 🔥🔥🔥 kuanzisha mapenzi ila kuya maintain kipengele
 
Walipendezeana, nakumbuka miaka ya nyuma kipindi binti yupo UDSM na mshikaji wake.. mala kadhaa walikuwa wanafata pale mlimano city century cinemax kuangalja movie.. haya mambo banaa.. vijana wanakuwa wa 🔥🔥🔥 kuanzisha mapenzi ila kuya maintain kipengele
Kama upo chuo na una date na class mate wako na unategemea ndoa umepotea: WAtoto wa kike tunakuwa sana.
Mwaka wa 4 UDSM law school ataoa mtoto yupo form 3 Mwembetogwa secondary: Hii ni kwasababu hawa wanakuwa sana na mtoto akimaliza chuo kama ni wa kike anaweza olewa, akiwa kwenye interview or whatever maana wazazi wataandaa send of au kama hawawezi basi mume ataandaaa ila wewe mtoto wa kiume ndio unaandaa harusi na sherehe na mahari.

Ku-date chuo ni kupeana sex tu lakini hakuna ndoa na ni 4% tu ndio wanaoana.
 
Kama upo chuo na una date na class mate wako na unategemea ndoa umepotea: WAtoto wa kike tunakuwa sana.
Mwaka wa 4 UDSM law school ataoa mtoto yupo form 3 Mwembetogwa secondary: Hii ni kwasababu hawa wanakuwa sana na mtoto akimaliza chuo kama ni wa kike anaweza olewa, akiwa kwenye interview or whatever maana wazazi wataandaa send of au kama hawawezi basi mume ataandaaa ila wewe mtoto wa kiume ndio unaandaa harusi na sherehe na mahari.

Ku-date chuo ni kupeana sex tu lakini hakuna ndoa na ni 4% tu ndio wanaoana.
Nafikiri Niki alikuwa amemaliza ila huyo binti ndio alikuwa anasoma, au kama Niki alikuwa anasoma basi alikuwa anafanya PhD au Masters, mala kwa mala alikuwa wanakuja angalia movie na jamaa zangu flani pale wakawa wanasema hao hawawezi fika mbali, maana ana mtangaza sana binti..
 
Nafikiri Niki alikuwa amemaliza ila huyo binti ndio alikuwa anasoma, au kama Niki alikuwa anasoma basi alikuwa anafanya PhD au Masters, mala kwa mala alikuwa wanakuja angalia movie na jamaa zangu flani pale wakawa wanasema hao hawawezi fika mbali, maana ana mtangaza sana binti..
NikKi alikuwa Masters.
 
Nafikiri Niki alikuwa amemaliza ila huyo binti ndio alikuwa anasoma, au kama Niki alikuwa anasoma basi alikuwa anafanya PhD au Masters, mala kwa mala alikuwa wanakuja angalia movie na jamaa zangu flani pale wakawa wanasema hao hawawezi fika mbali, maana ana mtangaza sana binti..
Umeongea point sana kwenye last line, ukiwa na mwanamke alafu unampost sana, wapo watakao kuchapia tu, hapa mjini kuna watu wana mbumba ndefu kuliko wewe: Imagine una demu wako siku unaumwa upo dom anaenda mlimani city kununua charger ya simu maana tecno yake inamsumbua: Mlimani anakutana na Kajamaa kamepiga viwalo vikali na perfume aina ya DKNY Golden Delicious inanukia , ameswaki vizuri, ame shave vizuri,amevaa smart watch ya apple na ana iphone 14 plus, kapiga simple raba ya Air Jordan, amekunja shati kama Obama na jeans ya Levis, anamwambia demu wako amuelekeze lilipo duka la Apple akanunue ipod maana yake alisahau kwenye ndege jana yake akiwa anatoka serengeti kwenye vaccation .Demu wako anamsindikiza wakiwa wanaongea demu wako anamwambia amekuja mlimani anaangalia kwenye akaunti yake ya MNB kama ametumiwa hela na wazazi ili akanunue chaja ya kobe Kariakoo maana simu hichaji, Mwamba anampa pole alafu wanaenda duka la iphone anamwambia dada achague simu , demu anachagua iphone 13 xr, anamkumbatia jamaa anabaki na harufu ya manukato mazuri sana, anajisahau anatoka dukani kamzungushia mikono kiunoni, wanaenda nje kuna mghahawa wanapata kapuchino, giza linaingia mwamba anaondoa na demu wako mpaka Masaki kwenye Air BnB , anamla na anapewa maokoto:
#Mwanamke wa chuo si mke.
 
Back
Top Bottom