kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
SawaPa kuanzia tayari papo Mkuu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaPa kuanzia tayari papo Mkuu😂
Bado yupoyupo sanaaaMwana fa unaoa lini !???
Umesababisha watu waiquote comment yangu ya 2018Sawa
Dah!Rapa msomi kutoka kiwanda Cha bongo fleva Nikki wa Pili amemvisha Pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi , akitarajia kuaga rasmi kambi ya ukapela
View attachment 960833
Ulikuwa kichwani mwanguUmesababisha watu waiquote comment yangu ya 2018
Huu uzi umefukuliwa, ndo nami nikaona hilo..., ngoja niwapigie maids lini wana nafasiKhaaa[emoji23]
Nishavaa .
Yaani comment ya mwaka 2018 watu mnareply leo..
5yrs ago huko ndio niliandika.
Ukipata mwanaume wa kimarangu/m'chaga usujiulize mara mbili, mvulie, hawa wanaume ni watafutaji, wanawaza pesa.Bado bado kidogo
Watu wa kaskazini kweli asilimia kubwa ni watafutaji sana.ukipata mwanaume wa kimarangu/m'chaga usujiulize mara mbili, mvulie, hawa wanaume ni watafutaji , wanawaza pesa.
😂😂😂😂huu uzi umefukuliwa, ndo nami nikaona hilo..., ngoja niwapigie maids lini wana nafasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka 2018?Ulikua kichwani mwangu
Kwa status yake inaonyesha wakati yeye anahangaikia mambo ya editing kuna mpambe kawahi kuirusha...Kweli vyuma vimekaza... Unapopost kitu kama hicho background ni muhimu sana...hapo ni kama amekurupuka bila maandalizi... Au ndio mambo ya surprise?
Umepata hiyo pete au ndio another year gone without one🤣🤣🤣🤣🤣Dah!
Watu wabaya🙌
Mmefukua Uzi🙌
Nimemshukuru aliyeufufua uzi huu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nimecheka.
Nilivyogusa simu naona list ya watu walioniquote,,Nikawaza mbona sijapitia huo uzi walioniquote[emoji38]
Nishaipata MkuuUmepata hiyo pete au ndio another year gone without one🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe ulishakuwa nke ya ntuNishaipata Mkuu
Si unaona wengi wamereply,,
Pete tunayo hatuna??
Dah🤣🤣🤣Kwa status yake inaonyesha wakati yeye anahangaikia mambo ya editing kuna mpambe kawahi kuirusha...
tayari ameshapata mkuu .., pita kule [emoji12][emoji12]Umepata hiyo pete au ndio another year gone without one[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ah wee kwanza ndoa ni utumwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Yeah, ndio hivyoToka 2018?
Ndio uje kureply leo kweli 😂