Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Chuma hicho, kinapatikana wapi 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu umeamua kujiunga na kamati ya roho mbaya ya KATAANDOA?Ah wee kwanza ndoa ni utumwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zamani tulikuwa tunaoa kugundia mbususu. Sasa nowadays unapata mbususu daily so unaoa kugundua nini
Usinywe maziwa ya kila ng'ombe mkuu..Zamani tulikuwa tunaoa kugundia mbususu. Sasa nowadays unapata mbususu daily so unaoa kugundua nini
Huyu aliyeandika hapa ni mwanamkeWanangu hapa myumbani wanaseema "zilipendwa"
NB: Vijana ukioa mrembo jiandae kugongewa tu, iwe kazini, safarini, ukweni popote mrembo atasemeshwa na mtu mwenye hela kuliko wewe na ipo siku utamkwaza nyumbani huku nje kuna mtu anamsemeha vizuri na kumbembeleza, utagongewa tu.
Uliona mishangazi ya ki'chaga/kiboroloni kwenye mkutano na Waziri mkuu?Watu wa kaskazini kweli asilimia kubwa ni watafutaji sana.
MiaUliona mishangazi ya kichaga/ kiboroloni kwenye mkutano na WAziri mkuu? Yani wanapambana hawana mbambamba!
Nitunuku na Mimi hilo tunda la uzima basiUliona mishangazi ya kichaga/ kiboroloni kwenye mkutano na WAziri mkuu? Yani wanapambana hawana mbambamba!
Ndio nini 100?
100 mia...maanake nakubali kw asilimia mia...kwamba wanawake kaskazin wanapambana.....na kama ingekua umetoka kaskazin nikasema 💯 ungeshanielewaNdio nini 100 ?
"mia" ni lugha za "machalii wa Chuga na 'Mo-town" kama vile kusema "haina kwere' , pamoja sana, "poa dingii'Ndio nini 100 ?
HahahaWaow,so nice..I wish one day nivalishwe Pete[emoji3526]
Hadi wewe?😂😂😂Hahaha
Juma1967 Mwana kasoma shahada ya DS, ila Bongo kubebana kinoma, yaani ndio nini sasa hi, si anapitwa na mtu wa VETA aliyesoma astashahada ya ufundi kuchomea?
Shangazi kama shangazi😂Uliona mishangazi ya ki'chaga/ kiboroloni kwenye mkutano na Waziri mkuu?
Yani wanapambana hawana mbambamba!
Ukiona mwanaume anapoga kiti kwa mwanamke juwa mwanaume huyo ameuza uwanaume wake siku ya uchumba usije shangaa kuona mengi mbele ya safari. Ujinga kama huu unawatesa sana vijana hasa wanapo ingia ktk ndoa nakusahau waliuza uwanaume wao siku ya kwanza ya uchumba. Let keep silence and see 🙈Rapa msomi kutoka kiwanda Cha bongo fleva Nikki wa Pili amemvisha Pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi , akitarajia kuaga rasmi kambi ya ukapela
View attachment 960833
Acha kumfokea NIKKIUkiona mwanaume anapoga kiti kwa mwanamke juwa mwanaume huyo ameuza uwanaume wake siku ya uchumba usije shangaa kuona mengi mbele ya safari. Ujinga kama huu unawatesa sana vijana hasa wanapo ingia ktk ndoa nakusahau waliuza uwanaume wao siku ya kwanza ya uchumba. Let keep silence and see 🙈
Kupoga ndo nini mkuuUkiona mwanaume anapoga kiti kwa mwanamke juwa mwanaume huyo ameuza uwanaume wake siku ya uchumba usije shangaa kuona mengi mbele ya safari. Ujinga kama huu unawatesa sana vijana hasa wanapo ingia ktk ndoa nakusahau waliuza uwanaume wao siku ya kwanza ya uchumba. Let keep silence and see 🙈