Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Kwa mara ya kwanza nimekuja Kigoma baada ya miaka 25. Nimeshangaaa sana. Kigoma si mbaya kihivo kama ilivo jina lake, na kama binafsi nilivokuwa naichukulia iko tu kama mikoa mingine Kama Sumbawanga, Lindi, Tabora au Ruvuma na Shinyanga.
Kifupi Kigoma haina sura mbaya hivyo inayoonekana. Ila pia kuna vitu ni gharama haka kamkoa
1. Juice ya muwa 1000. Kaah hiki ni kitu nimeshindwa kushangaa
2. Wali maharage elfu mbili. Nimeshtuka sana
3. Wali mgebuka elf 10 na ziwa tanganika lipo nyuma tu
So labda ukale migahawa ya kajambanani
Mji umepoa kama uji, pia nimepita anapoishi Mwijaku kaaah ni haki watu wa huku wawe na midomo sana!! Kwa bei hizi za vyakula lazma uwe tu mpigania uhuru wa chakula.
Kifupi Kigoma haina sura mbaya hivyo inayoonekana. Ila pia kuna vitu ni gharama haka kamkoa
1. Juice ya muwa 1000. Kaah hiki ni kitu nimeshindwa kushangaa
2. Wali maharage elfu mbili. Nimeshtuka sana
3. Wali mgebuka elf 10 na ziwa tanganika lipo nyuma tu
So labda ukale migahawa ya kajambanani
Mji umepoa kama uji, pia nimepita anapoishi Mwijaku kaaah ni haki watu wa huku wawe na midomo sana!! Kwa bei hizi za vyakula lazma uwe tu mpigania uhuru wa chakula.