Niko Kigoma, kweli sura siyo roho

Niko Kigoma, kweli sura siyo roho

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
2,597
Reaction score
3,965
Kwa mara ya kwanza nimekuja Kigoma baada ya miaka 25. Nimeshangaaa sana. Kigoma si mbaya kihivo kama ilivo jina lake, na kama binafsi nilivokuwa naichukulia iko tu kama mikoa mingine Kama Sumbawanga, Lindi, Tabora au Ruvuma na Shinyanga.

Kifupi Kigoma haina sura mbaya hivyo inayoonekana. Ila pia kuna vitu ni gharama haka kamkoa
1. Juice ya muwa 1000. Kaah hiki ni kitu nimeshindwa kushangaa
2. Wali maharage elfu mbili. Nimeshtuka sana
3. Wali mgebuka elf 10 na ziwa tanganika lipo nyuma tu
So labda ukale migahawa ya kajambanani

Mji umepoa kama uji, pia nimepita anapoishi Mwijaku kaaah ni haki watu wa huku wawe na midomo sana!! Kwa bei hizi za vyakula lazma uwe tu mpigania uhuru wa chakula.
 
JE UMEFIKA HAPA
FB_IMG_1709278860654_1.jpg
 
Back
Top Bottom