muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Nimekusoma lijendi.nenda hapo saba saba bar aisee wanawake wote utawapata hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekusoma lijendi.nenda hapo saba saba bar aisee wanawake wote utawapata hapo
Huko wanawaonea tu kuwaweka Tanzania. Hiyo ni Burundi.
Hata tabia zao za kirundi rundi. Ni mijitu isiyokuwa na staha kama Mwijaku vile.
mmmh hii koment inafikirisha sana mkuuHaya mtwara tuwape mzunguko
Mbeya tuwape zambia
Kigoma tuwape burundi
Kagera tuwape rwanda na uganda
Mara tuwape kenya
Arusha tuwape kenya
Tanga tuwape mombasa
Mtanzania km wewe ni mfano wa watanzania wengi ambao akili zao ni mgando (wamekulia kwenye ufukara wengi wao)
Wewe unataka mtu kigoma afanane tabia na mtu wa morogoro?
...
Nchi zilizoendelea zinawaza kuongeza mpaka wewe fukara wa akili unawaza kuachilia ardhi kwasababu tu waha wanafanana lafudhi na wahindi? Idiot!
Akutoe uchovu au akupe uchovu ili akutoe hela?....Ndugu zangu nipo Tanga, wapi naweza pata bint wa kidigo fundi anitoe uchovu, nijionee hiyo waja leo waondoka mwakani😀😀
Ila hakuna sehemu nimeandika kuwa unapaswa uamini nilichoamini kiasi cha kuleta personal attacks.Mtanzania km wewe ni mfano wa watanzania wengi ambao akili zao ni mgando (wamekulia kwenye ufukara wengi wao)
Wewe unataka mtu kigoma afanane tabia na mtu wa morogoro?
...
Karibia pale Kasulu kuna Bwami hotel nyota 3 hutajuta.Kwa mara ya kwanza nimekuja Kigoma baada ya miaka 25. Nimeshangaaa sana. Kigoma si mbaya kihivo kama ilivo jina lake, na kama binafsi nilivokua naichukulia iko tu kama mikoa mingine Kama sumbawanga, Lindi, Tabora au Ruvuma na shinyanga.
Kifupi kigoma haina sura mbaya hivo inayoonekana. Ila pia kuna vitu ni gharama haka kamkoa
1. Juice ya muwa 1000. Kaah hiki ni kitu nimeshindwa kushangaa
2. Wali maharage elfu mbili. Nimeshtuka sana
3. Wali mgebuka elf 10 naziwa tanganika lipo nyuma tu
So labda ukale migahawa ya kajambanani
Mji umepo kama uji, pia nimepita anapoishi mwijaku kaaah ni haki watu wahuku wawe na midomo sana !! Kwa bei hizi za vyakula lazma uwe tu mpigania uhuru wa chakula.
Kwa hiyo mpaka uanzie wapi maana hata uwe Dodoma bado wagogo wataitwa si watanzania kumbuka hata warundi wa mpakani nao huambiwa ni watanzania,wacongo,wanyarwanda..Huko wanawaonea tu kuwaweka Tanzania. Hiyo ni Burundi.
Hata tabia zao za kirundi rundi. Ni mijitu isiyokuwa na staha kama Mwijaku vile.
Ila hakuna sehemu nimeandika kuwa unapaswa uamini nilichoamini kiasi cha kuleta personal attacks.
Ungeweza kuandika mtazamo wako pasi kudhihaki uelewa wangi.
By the way maisha ni mafupi mno kuchukulia kila jambo seriously hasa mambo ya mtandaoni.
Najua maisha ni magumu chief, jaribu kutohusisha dhiki zako na watu wengine, unaweza jikuta unachukia dunia nzima.
PEACE..................[emoji2731]
Sio watu wote wa kigoma wanatabia za hovyo wenye tabia za hovyo kule ni warundi na baadhi ya waha na baadhi ya watu wa makabila mengine yaliyoko kule na watu wenye tabia za hovyo wapo karibu kila sehemu TanzaniaHuko wanawaonea tu kuwaweka Tanzania. Hiyo ni Burundi.
Hata tabia zao za kirundi rundi. Ni mijitu isiyokuwa na staha kama Mwijaku vile.
Kwahiyo unataka kusema SUMBAWANGA,RUVUMA ni pabaya?Kwa mara ya kwanza nimekuja Kigoma baada ya miaka 25. Nimeshangaaa sana. Kigoma si mbaya kihivo kama ilivo jina lake, na kama binafsi nilivokua naichukulia iko tu kama mikoa mingine Kama sumbawanga, Lindi, Tabora au Ruvuma na shinyanga.
Kifupi kigoma haina sura mbaya hivo inayoonekana. Ila pia kuna vitu ni gharama haka kamkoa
1. Juice ya muwa 1000. Kaah hiki ni kitu nimeshindwa kushangaa
2. Wali maharage elfu mbili. Nimeshtuka sana
3. Wali mgebuka elf 10 naziwa tanganika lipo nyuma tu
So labda ukale migahawa ya kajambanani
Mji umepo kama uji, pia nimepita anapoishi mwijaku kaaah ni haki watu wahuku wawe na midomo sana !! Kwa bei hizi za vyakula lazma uwe tu mpigania uhuru wa chakula.
Huchukua mjinga mmoja kumtambua mwingine, hivyo ni sahihi kwa wewe mjinga mwenzangu kunitambua.Wewe ni mjinga usiyejitambua
Hii iko wapi huku mbeyaJE UMEFIKA HAPAView attachment 2952577
🤣🤣mpigania uhuru wa chakula
Bila navigator, humpati ng'o, labda ukanunue wale wa sabasaba.....Ndugu zangu nipo Tanga, wapi naweza pata bint wa kidigo fundi anitoe uchovu, nijionee hiyo waja leo waondoka mwakani[emoji3][emoji3]
Nipe maujanja mzee wa kazi.Bila navigator, humpati ng'o, labda ukanunue wale wa sabasaba.