Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Tanzania hatuendesha magari upande wa kulia..!! Nina mashaka hii siyo Mbeya.JE UMEFIKA HAPAView attachment 2952577
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania hatuendesha magari upande wa kulia..!! Nina mashaka hii siyo Mbeya.JE UMEFIKA HAPAView attachment 2952577
Asante kwa taarifa ni kunoa Mjegejenenda hapo saba saba bar aisee wanawake wote utawapata hapo
Hapa naona changamoto ni kutoka kigoma kwenda Burundi kujiunga kifurushi.Aisee au kwa sababu migebuka ni mitamu sana ndio maana ni buku teni ila nachopendea mkoa wa kigoma ukiwa na laini Burundi ukiwa na buku 2 unapata gb 3 mchana na usiku ukiwa na buku 3 internet ni bure kuanzia saa 6 usiku hadi asubuhi kuliko vifurushi vya bongo ambavyo ni kausha damu
Kwa kina mwijaku center yao bush sana mambo ya ulozi mengi Sanaa ukipanda hiace za kwenda Uvinza ikifika kazuramimba gari huwa inakaaa sanFunguka zaidi hapa. Kunanini huko!
Utawaona basi?Si walisema kigoma ya Sasa sio kma ya zamani endelea kufurahia watoto wa kimanyema na kirundi
Ukiondoa dar mwanza Arusha na kidooogo Mbeya mikoa yote iko hivyo hivyo kama kigomaUtawaona basi?
Hadi uende club za usiku.
Kigoma mmmh
Watu wa kule wana roho ngumu mbaya na sio wakarimuHuko wanawaonea tu kuwaweka Tanzania. Hiyo ni Burundi.
Hata tabia zao za kirundi rundi. Ni mijitu isiyokuwa na staha kama Mwijaku vile.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa mara ya kwanza nimekuja Kigoma baada ya miaka 25. Nimeshangaaa sana. Kigoma si mbaya kihivo kama ilivo jina lake, na kama binafsi nilivokua naichukulia iko tu kama mikoa mingine Kama sumbawanga, Lindi, Tabora au Ruvuma na shinyanga.
Kifupi kigoma haina sura mbaya hivo inayoonekana. Ila pia kuna vitu ni gharama haka kamkoa
1. Juice ya muwa 1000. Kaah hiki ni kitu nimeshindwa kushangaa
2. Wali maharage elfu mbili. Nimeshtuka sana
3. Wali mgebuka elf 10 naziwa tanganika lipo nyuma tu
So labda ukale migahawa ya kajambanani
Mji umepo kama uji, pia nimepita anapoishi mwijaku kaaah ni haki watu wahuku wawe na midomo sana !! Kwa bei hizi za vyakula lazma uwe tu mpigania uhuru wa chakula.
Nenda hapo barabara ya 14 na Majani Mapana wapo wakutosha. Ushindwe mwenyewe....Ndugu zangu nipo Tanga, wapi naweza pata bint wa kidigo fundi anitoe uchovu, nijionee hiyo waja leo waondoka mwakani😀😀
Naona umeupaka mkoa mafuta kwa mgongo wa chupa.Kwa mara ya kwanza nimekuja Kigoma baada ya miaka 25. Nimeshangaaa sana. Kigoma si mbaya kihivo kama ilivo jina lake, na kama binafsi nilivokua naichukulia iko tu kama mikoa mingine Kama sumbawanga, Lindi, Tabora au Ruvuma na shinyanga.
Kifupi kigoma haina sura mbaya hivo inayoonekana. Ila pia kuna vitu ni gharama haka kamkoa
1. Juice ya muwa 1000. Kaah hiki ni kitu nimeshindwa kushangaa
2. Wali maharage elfu mbili. Nimeshtuka sana
3. Wali mgebuka elf 10 naziwa tanganika lipo nyuma tu
So labda ukale migahawa ya kajambanani
Mji umepo kama uji, pia nimepita anapoishi mwijaku kaaah ni haki watu wahuku wawe na midomo sana !! Kwa bei hizi za vyakula lazma uwe tu mpigania uhuru wa chakula.
Nakataaa warundi Wana heshima Na wanyenyekevu Sana Yan East Africa hakuna watu humble Wenye heshima kama warundiHuko wanawaonea tu kuwaweka Tanzania. Hiyo ni Burundi.
Hata tabia zao za kirundi rundi. Ni mijitu isiyokuwa na staha kama Mwijaku vile.
Wewe Mwananchi B umenichekesha sana eti au sio mbali? Unajua ukiwa Tunduma boda ya Tz na Zambia network ya airtel Zambia inasoma, likewise iko possiblity ya network ya Burundi kusoma baadhi ya maeneo Kigoma.Hapa naona changamoto ni kutoka kigoma kwenda Burundi kujiunga kifurushi.
Au sio mbali?
Hapa ushindwe mwenyewe kula....JE UMEFIKA HAPAView attachment 2952577
Hata ukiwa kigoma unajiunga tu si unaweka hela kwa airtel moneyHapa naona changamoto ni kutoka kigoma kwenda Burundi kujiunga kifurushi.
Au sio mbali?
Stupid unaacha kuulizia fursa za kiuchumi unataka malaya....Ndugu zangu nipo Tanga, wapi naweza pata bint wa kidigo fundi anitoe uchovu, nijionee hiyo waja leo waondoka mwakani😀😀
Aisee! Kijana tulia watu tule vyetu. We pambana kutafuta ugali wa familia huko, huko watu tushatoka kitambo.Stupid unaacha kuulizia fursa za kiuchumi
nasema nilichokua nacho kichwani na nilichokionaNaona umeupaka mkoa mafuta kwa mgongo wa chupa.
😂😂level tofautiAisee! Kijana tulia watu tule vyetu. We pambana kutafuta ugali wa familia huko, huko watu tushatoka kitambo.