Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Vipi pisi kali zipo? Au sura sio roho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mgombea mmoja wa urais mwaka 2010 alituahidi kuigeuza Kigoma kuwa Dubai. Mpaka leo huwa nikimuona, huwa natamani kunywa pombe, maana huwa najicheka sana. Niliamini sana alichokuwa akisema. Hata sasa hivi najipiga kifua na ninasema mimi FALA kwa kuamini wanasiasa! 😅😅😅😅Kwa mara ya kwanza nimekuja Kigoma baada ya miaka 25. Nimeshangaaa sana. Kigoma si mbaya kihivo kama ilivo jina lake, na kama binafsi nilivokua naichukulia iko tu kama mikoa mingine Kama sumbawanga, Lindi, Tabora au Ruvuma na shinyanga.
Kifupi kigoma haina sura mbaya hivo inayoonekana. Ila pia kuna vitu ni gharama haka kamkoa
1. Juice ya muwa 1000. Kaah hiki ni kitu nimeshindwa kushangaa
2. Wali maharage elfu mbili. Nimeshtuka sana
3. Wali mgebuka elf 10 naziwa tanganika lipo nyuma tu
So labda ukale migahawa ya kajambanani
Mji umepo kama uji, pia nimepita anapoishi mwijaku kaaah ni haki watu wahuku wawe na midomo sana !! Kwa bei hizi za vyakula lazma uwe tu mpigania uhuru wa chakula.
Gharama za maisha ziko chini ukilinganisha na wapi? Maskini gani anaweza kulipia migebuka kwa 25000 hotelini? Nguo dukani ziko juu sana tofauti na kwingine. Kifupi,gharama za maisha Kigoma ziko juu sana isipokuwa nauli za treni daraja la tatu CAcha kuwatisha watu wewe kigoma ni moja ya mikoa ya Tanzania ambako gharama za maisha bado ziko chini hata mtu wa kipato Cha kawaida anaweza kuingia kwenye hoteli kubwa na maarufu za pale kigoma akapata chakula na akaweza kulipia gharama za chakula bado ziko chini kigoma usiwaongopee watu, alafu alikotokea chawa wa taifa mwijaku ni Kijijini ulitegemea kwamba huko Kijijini kwao pawe kama "daslama"
Kaka ungeingia uvue,ulishindwa Nini ! ? Waonyeshe waha wewe ni jeuliWali mgebuka elf 10 na ziwa tanganika lipo nyuma tu
So labda ukale migahawa ya kajambanani
Ila kwa kweli waha ni wabishiWe chakula gharama kwann usiwe mbishi
Hutojutia, maji ya ziwa Tanganyika ni masafi sana Hadi unaweza kuona samaki wakiogeleaNawaza sana kwenda kutembea kigoma.
Mhhh! Taratibu mkuu. Ya kweli hayo? Au ndie zile story za wakina Juma Njemba ?Kigoma kuna mama alijifungua kifaranga cha kuku
Watu waliokufa na kuzikwa kurudi nyumbani baada ya muda au kuonekana tena mtaani hayo ndiyo mambo kigoma
Sijawahi kuupenda uwo kwa namna yoyote.
Nawaza sana kwenda kutembea kigoma
Hapana kabisaVipi pisi kali zipo? Au sura sio roho?
Huku kumepoaJiandae vema,si pazuri sana kama tunavyosimuliwa. Nilikaa siku nne tu Mwitongo Hotel nikakimbilia zangu Mwanza kumalizia mapumziko yangu
Hizo bei ulizozishangaa, kwa mfano, juisi ya muwa, hiyo 1,000/- ni kwa lita ngapi?Kwa mara ya kwanza nimekuja Kigoma baada ya miaka 25. Nimeshangaaa sana. Kigoma si mbaya kihivo kama ilivo jina lake, na kama binafsi nilivokuwa naichukulia iko tu kama mikoa mingine Kama Sumbawanga, Lindi, Tabora au Ruvuma na Shinyanga.
Kifupi Kigoma haina sura mbaya hivyo inayoonekana. Ila pia kuna vitu ni gharama haka kamkoa
1. Juice ya muwa 1000. Kaah hiki ni kitu nimeshindwa kushangaa
2. Wali maharage elfu mbili. Nimeshtuka sana
3. Wali mgebuka elf 10 na ziwa tanganika lipo nyuma tu
So labda ukale migahawa ya kajambanani
Mji umepoa kama uji, pia nimepita anapoishi Mwijaku kaaah ni haki watu wa huku wawe na midomo sana!! Kwa bei hizi za vyakula lazma uwe tu mpigania uhuru wa chakula.
Vp kuhusu mipalangeeKwa mara ya kwanza nimekuja Kigoma baada ya miaka 25. Nimeshangaaa sana. Kigoma si mbaya kihivo kama ilivo jina lake, na kama binafsi nilivokuwa naichukulia iko tu kama mikoa mingine Kama Sumbawanga, Lindi, Tabora au Ruvuma na Shinyanga.
Kifupi Kigoma haina sura mbaya hivyo inayoonekana. Ila pia kuna vitu ni gharama haka kamkoa
1. Juice ya muwa 1000. Kaah hiki ni kitu nimeshindwa kushangaa
2. Wali maharage elfu mbili. Nimeshtuka sana
3. Wali mgebuka elf 10 na ziwa tanganika lipo nyuma tu
So labda ukale migahawa ya kajambanani
Mji umepoa kama uji, pia nimepita anapoishi Mwijaku kaaah ni haki watu wa huku wawe na midomo sana!! Kwa bei hizi za vyakula lazma uwe tu mpigania uhuru wa chakula.
Nitafikia huko kwa masister, huwa sina mambo mengiJiandae vema,si pazuri sana kama tunavyosimuliwa. Nilikaa siku nne tu Mwitongo Hotel nikakimbilia zangu Mwanza kumalizia mapumziko yangu
Ni kweli mkuu hayo mambo yapo ata vyombo mbalimbali za habari viliripotiMhhh! Taratibu mkuu. Ya kweli hayo? Au ndie zile story za wakina Juma Njemba ?
Mkuu sina uzoefu na hayo mambo yako!!Vp kuhusu mipalangee
Mambo yepi?Mkuu sina uzoefu na hayo mambo yako!!
Hayo ya mpalangeMambo yepi?
Tupe mifano mkuu😃Mikoa mingine NI ngumu Sana kutafuta maisha kihalali..
mashallahHayo ya mpalange