malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Kah!iwe naulaji mzuri wamafuta pia iwe na muonekano mzur na pia uimara wa body
RAV 4 inauzwa million 13?!Chukua RAV 4 old au new model
Suzuk escudoMsaaada wenu Niko mkoani barabara za vumbi naitaji kununua gari kwa ajili ya familia na binafsi gari iwe naulaji mzuri wamafuta pia iwe na muonekano mzur na pia uimara wa body.
Forester ya cc ngap na nin tx au ipiChukua Subaru foresta autajuta kwani utafuraiya maisha, Ila Ila isiwe na turbo
Kumbuka ameandika ana milion 13, hizo gari unapata kwa bei hiyo.Hizi RAV 4 new model ni nzuri kinoma![emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 1709384View attachment 1709385View attachment 1709386View attachment 1709387View attachment 1709388View attachment 1709389View attachment 1709390View attachment 1709391
Model ya 2011 ni million 15,aongeze million 2Kumbuka ameandika ana milion 13, hizo gari unapata kwa bei hiyo.
Your not serious, show room gani hiyo wanauza Rav 4 ya mwaka 2011 kwa milion 15? Labda hiyo ni bei ya kununulia Japan bado hujasafirisha na ushuruModel ya 2011 ni million 15,aongeze million 2
BeforwardYour not serious, show room gani hiyo wanauza Rav 4 ya mwaka 2011 kwa milion 15? Labda hiyo ni bei ya kununulia Japan bado hujasafirisha na ushuru