Daa ndugu yangu CIF dola 6000+ maana yake ni zaidi ya 13,000,000.
Kuna uwezekano mkubwa hiyo gari kodi na mambo mengine ya bandari ikafika 17,000,000. Kwa hiyo, gari hiyo hadi ikae barabani, ni million 30+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daa ndugu yangu CIF dola 6000+ maana yake ni zaidi ya 13,000,000.
Hii gari ukichukua kwa mtu zina range m ngapiToyota Voltz ipo poa
Kwa mtu ni milioni 8 Hadi 9 na nusu ya kuagiza Japan ni milioni 13 Hadi 15, ila ni vyema uagize utaifurahia zaidi kuliko kumvua mtu.Hii gari ukichukua kwa mtu zina range m ngapi
Uimara wa terios ukoje mkuu?Huwa napnda sana muonekano wake ila na dought sana uwezo wake wakwenda safari ndefu naomba unipe mawili matatu kuhusu hii gari kiongozUshauri wangu: kama unataka SUV kwa bei rahisi basi kimbilia RAV4, na kama unataka kuagiza Japan mwenywe chukua Rav4 zile za zamani ndo SUV nzuri kwako...lakini kama unanunua hapa hapa bongo mkononi kwa mtu basi chukua Rav4 kilitime unapata na hata Miss Tanzania pia unapata japo inaweza kuwa namba B au A...ukitaka namba D ongeza ufike angalau 15M... (Japokama hizo plate namba hazina uhusiano na ubora au upya wa gari kiuhalisia). Tofauti na Rav 4 kuna gari zingine nzuri sana ila watu wanazi-underrate kama Terios, Suzuki Escudo, Spacio na IST...hizi pia zinavumilia sana rough road!! Chaguo ni lako mkuu
Hapa umeeka hadi kodi zote au bila kodiKwa mtu ni milioni 8 Hadi 9 na nusu ya kuagiza Japan ni milioni 13 Hadi 15, ila ni vyema uagize utaifurahia zaidi kuliko kumvua mtu.
Hii gari naipa heshima yake.Suzuk escudo
kaka wapi huko nikupe hiyo 15m nowModel ya 2011 ni million 15,aongeze million 2
Kwanini isiwe na turbo?Chukua Subaru foresta autajuta kwani utafuraiya maisha, Ila Ila isiwe na turbo
Gari sio FOB mziki upo kwa TRA na Inspection ya kibongo-bongo
🤣🤣🤣kaka wapi huko nikupe hiyo 15m now
Atafute Toyota succeed Tx G packageVuta Toyota Probox utakuja kunishukuru
Kumekucha
ChukuaMsaaada wenu,
Niko mkoani barabara za vumbi naitaji kununua gari kwa ajili ya familia na binafsi gari iwe naulaji mzuri wamafuta pia iwe na muonekano mzur na pia uimara wa body.