Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Chukua hii mashine na utanishukuru bila shuruti!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Terios ni gari imara sana zipo aina 2 ya kwanza ni 1200cc na ingine ni 650cc. Gari hizi zote zinahimili njia za vumbi ila 650 cc kidogo usiwe na ruti za mbali sana sababu ni ndogo sana ila ina 4wdUimara wa terios ukoje mkuu?Huwa napnda sana muonekano wake ila na dought sana uwezo wake wakwenda safari ndefu naomba unipe mawili matatu kuhusu hii gari kiongoz
Forester SG5 2005Msaaada wenu,
Niko mkoani barabara za vumbi naitaji kununua gari kwa ajili ya familia na binafsi gari iwe naulaji mzuri wamafuta pia iwe na muonekano mzur na pia uimara wa body.
Kwann isiwe na turbo mkuu?Chukua Subaru foresta autajuta kwani utafuraiya maisha, Ila Ila isiwe na turbo
Hujui magari wwHiyo design ni tamu kinyama.Design nzuri halafu gari ina nguvu.Sitaki tena kusikia juu ya BMW,zina design mbaya sana!
Unamaanisha nini?Unataka design unayoipenda wewe pia niipende mimi?Hujui magari ww
Mkuu ya 2011 kwa bei hiyo au 2012 nahitaji pia unaweza funguka kidogoOngeza million mbili iwe million 15 ununue Rav4 model ya mwaka 2011
Hiyo siyo bei halisi mkuu,hiyo ni C&F peke yake!Mkuu ya 2011 kwa bei hiyo au 2012 nahitaji pia unaweza funguka kidogo
Sawa mkuu nasikia wahindi wanakuwa na gari nzuri zenye ubora kwa bei poaHiyo siyo bei halisi mkuu,hiyo ni C&F peke yake!
Wanaziuzaga wapi?Sawa mkuu nasikia wahindi wanakuwa na gari nzuri zenye ubora kwa bei poa
Ngoja nitamuliza jamaa alinunua Corolla kwaoWanaziuzaga wapi?
Umeisoma bajeti yake mkuu!?Hizi RAV 4 new model ni nzuri kinoma![emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 1709384View attachment 1709385View attachment 1709386View attachment 1709387View attachment 1709388View attachment 1709389View attachment 1709390View attachment 1709391
Voltz ni pasua kichwa kwenye spare tu na shida nyingine hiyo gari siyo pure toyota hivyo kuna vitu vitakugharimu sana ingawa ni gari nzuri kimuonekano na kiufanisi piaKwa mtu ni milioni 8 Hadi 9 na nusu ya kuagiza Japan ni milioni 13 Hadi 15, ila ni vyema uagize utaifurahia zaidi kuliko kumvua mtu.
Rav 4 ya 2011 iwe bei rahisi hivyo au ananunua mkononi kwa mtuOngeza million mbili iwe million 15 ununue Rav4 model ya mwaka 2011
Voltz imetengenezewa plant ya marekani wakati Toyota ana ubia na General Motors hivyo ina umarekani flani lazma spear ziwe ghali😂😂😂!Voltz ni pasua kichwa kwenye spare tu na shida nyingine hiyo gari siyo pure toyota hivyo kuna vitu vitakugharimu sana ingawa ni gari nzuri kimuonekano na kiufanisi pia
Na PAJERO IOChukua
1. Nissan xtrail
2. Toyota cami/terious kid
3. Toyota probox
4.