Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Kiufupi baada ya kupata mtoto wangu 2021 nilimpa Jina la Samia kutokana na mafanikia ya bi mkubwa mmoja mtaani ambaye alikuwa mwanamke wa kwanza pale mtaani kuwa na Master of Science in Computer Science, lakini namna alivyokuwa ghafla hizi siku za karibuni, siamini kama anaweza kuwa mfano mzuri kwa mwangu tena na najilaumu kwa kurupuka kufanya maamuzi hayo.
Ningeomba mtu mwenye uelewa wa namna za kubadilisha majina la mwanangu kutoka Samia kwenda Amina.
ni muhimu sana huyo mubaba akaanzia mirembe hospital dodoma kabla ya kupelekwa sobar house iliyokaribu nae, kwa msaada zaidi wa kisaikojia π
Nenda mahakamani utaapa na kubadili jina.Kiufupi baada ya kupata mtoto wangu 2021 nilimpa Jina la Samia kutokana na mafanikia ya bi mkubwa mmoja mtaani ambaye alikuwa mwanamke wa kwanza pale mtaani kuwa na Master of Science in Computer Science, lakini namna alivyokuwa ghafla hizi siku za karibuni, siamini kama anaweza kuwa mfano mzuri kwa mwangu tena na najilaumu kwa kurupuka kufanya maamuzi hayo.
Ningeomba mtu mwenye uelewa wa namna za kubadilisha majina la mwanangu kutoka Samia kwenda Amina.
mambo daddieπ Kwahy ulikurupuka π
Nenda mahakamani utaapa na kubadili jina.
Ila sidhani jina linaumba hulka ya mtu kwani Steve Nyerere angekuwa na akili nje ya uchawa.
Daddie ya nyoko πmambo daddie
afu weweeee πππDaddie ya nyoko π
ππππππ€£π€£πππNi sababu ya Pajama ya mzee Magu au kuna jingine?