Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Nambie chimama umeamkj huko?afu weweeee 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nambie chimama umeamkj huko?afu weweeee 😂😂😂
Niache 😂mambo daddie
Sawa nitafanyia kaziUtaratibu ni kwenda kuapa mahakamani kwa niaba yake, ili aweze kutumia jina hilo la Amina kisheria.
By the way, hivi akija Rais mwingine mwenye jina la Amina utaomba tena kumbadirisha jina tena iwapo ataanza kuboronga?
Muite chausiku ndio zuri zaidiKiufupi baada ya kupata mtoto wangu 2021 nilimpa Jina la Samia kutokana na mafanikia ya bi mkubwa mmoja mtaani ambaye alikuwa mwanamke wa kwanza pale mtaani kuwa na Master of Science in Computer Science, lakini namna alivyokuwa ghafla hizi siku za karibuni, siamini kama anaweza kuwa mfano mzuri kwa mwangu tena na najilaumu kwa kurupuka kufanya maamuzi hayo.
Ningeomba mtu mwenye uelewa wa namna za kubadilisha majina la mwanangu kutoka Samia kwenda Amina.
Sawa, nitafanyia kazi mkuuni muhimu sana huyo mubaba akaanzia mirembe hospital dodoma kabla ya kupelekwa sobar house iliyokaribu nae, kwa msaada zaidi wa kisaikojia 🐒
NdiyoMtoto anacho cheti cha kuzaliwa?
Nitazingatia hiliKama ana umri chini ya miaka mitano wewe nenda tu RITA kabadilishe jina kwenye cheti chake.
Siku nyingine kuwa makini na uchaguzi wa majina. Majina mengine yana laana.
Inakuwa ni mihemko tu mkuu.Ila Kuna wazazi sijua hua anawaza nini, kuna yule shabiki wa yanga kipindi kile kamuita mtoto mayele
Yule ni Steve mengereNenda mahakamani utaapa na kubadili jina.
Ila sidhani jina linaumba hulka ya mtu kwani Steve Nyerere angekuwa na akili nje ya uchawa.
Sawa mkuu nitafanyia kazi
Ukiachana Na Ukweli wa Mawazo Yako Kwa Mtoto Wako Mi Nakutaka pia Kuangalia Tabia Za Mkeo Wakati yuko Kwenye Prime Yake.Kiufupi baada ya kupata mtoto wangu 2021 nilimpa Jina la Samia kutokana na mafanikia ya bi mkubwa mmoja mtaani ambaye alikuwa mwanamke wa kwanza pale mtaani kuwa na Master of Science in Computer Science, lakini namna alivyokuwa ghafla hizi siku za karibuni, siamini kama anaweza kuwa mfano mzuri kwa mwangu tena na najilaumu kwa kurupuka kufanya maamuzi hayo.
Ningeomba mtu mwenye uelewa wa namna za kubadilisha majina la mwanangu kutoka Samia kwenda Amina.
nitazingatiaUkiachana Na Ukweli wa Mawazo Yako Kwa Mtoto Wako Mi Nakutaka pia Kuangalia Tabia Za Mkeo Wakati yuko Kwenye Prime Yake.
Umemuina lakini mwenzio Slaa?,Kiufupi baada ya kupata mtoto wangu 2021 nilimpa Jina la Samia kutokana na mafanikia ya bi mkubwa mmoja mtaani ambaye alikuwa mwanamke wa kwanza pale mtaani kuwa na Master of Science in Computer Science, lakini namna alivyokuwa ghafla hizi siku za karibuni, siamini kama anaweza kuwa mfano mzuri kwa mwangu tena na najilaumu kwa kurupuka kufanya maamuzi hayo.
Ningeomba mtu mwenye uelewa wa namna za kubadilisha majina la mwanangu kutoka Samia kwenda Amina.
Una maana gani mkuu? Hutaki mwanangu awe na jina tofauti?Umemuina lakini mwenzio Slaa?,
Au unataka nini?.
Hapana mkuuUna maana gani mkuu? Hutaki mwanangu awe na jina tofauti?
Kwahiyo, Amina naye akichemsha utambadili jina uanze kumuita ya kiume?Kiufupi baada ya kupata mtoto wangu 2021 nilimpa Jina la Samia kutokana na mafanikia ya bi mkubwa mmoja mtaani ambaye alikuwa mwanamke wa kwanza pale mtaani kuwa na Master of Science in Computer Science, lakini namna alivyokuwa ghafla hizi siku za karibuni, siamini kama anaweza kuwa mfano mzuri kwa mwangu tena na najilaumu kwa kurupuka kufanya maamuzi hayo.
Ningeomba mtu mwenye uelewa wa namna za kubadilisha majina la mwanangu kutoka Samia kwenda Amina.
Amina jina la mama mkweKwahiyo, Amina naye akichemsha utambadili jina uanze kumuita ya kiume?
Hilo Jina zuri sana muache nalo litamsaidia sana mbeleni.Kiufupi baada ya kupata mtoto wangu 2021 nilimpa Jina la Samia kutokana na mafanikia ya bi mkubwa mmoja mtaani ambaye alikuwa mwanamke wa kwanza pale mtaani kuwa na Master of Science in Computer Science, lakini namna alivyokuwa ghafla hizi siku za karibuni, siamini kama anaweza kuwa mfano mzuri kwa mwangu tena na najilaumu kwa kurupuka kufanya maamuzi hayo.
Ningeomba mtu mwenye uelewa wa namna za kubadilisha majina la mwanangu kutoka Samia kwenda Amina.