Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
- Thread starter
- #41
Lipi? Mina?Hilo Jina zuri sana muache nalo litamsaidia sana mbeleni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipi? Mina?Hilo Jina zuri sana muache nalo litamsaidia sana mbeleni.
Huyo mtoto kwa bahati mbaya utampa malezi awe na debe tupu kichwani kama wewe.Kiufupi baada ya kupata mtoto wangu 2021 nilimpa Jina la Samia kutokana na mafanikia ya bi mkubwa mmoja mtaani ambaye alikuwa mwanamke wa kwanza pale mtaani kuwa na Master of Science in Computer Science, lakini namna alivyokuwa ghafla hizi siku za karibuni, siamini kama anaweza kuwa mfano mzuri kwa mwangu tena na najilaumu kwa kurupuka kufanya maamuzi hayo.
Ningeomba mtu mwenye uelewa wa namna za kubadilisha majina la mwanangu kutoka Samia kwenda Amina.
Samia ni zuri, hii badilisha majina itamtesa mtoto mbeleniLipi? Mina?
Kwanini mkuu, nielekeze?Huyo mtoto kwa bahati mbaya utampa malezi awe na debe tupu kichwani kama wewe.
Nenda naye kwa advocate akudaidieKiufupi baada ya kupata mtoto wangu 2021 nilimpa Jina la Samia kutokana na mafanikia ya bi mkubwa mmoja mtaani ambaye alikuwa mwanamke wa kwanza pale mtaani kuwa na Master of Science in Computer Science, lakini namna alivyokuwa ghafla hizi siku za karibuni, siamini kama anaweza kuwa mfano mzuri kwa mwangu tena na najilaumu kwa kurupuka kufanya maamuzi hayo.
Ningeomba mtu mwenye uelewa wa namna za kubadilisha majina la mwanangu kutoka Samia kwenda Amina.
Alikuwa tayari ana jina la kilugha na hilo Samia, inabidi tu nipige chini hilo Samia. Libaki Amina na Atuganile.Samia ni zuri, hii badilisha majina itamtesa mtoto mbeleni
ndala zirefuuuuuuAmina huyu huyu wa mtaani kwangu au kuna amna mwingne ndo atakuwa kioo cha mwanao?
Poa poa kumbe ni bei ya kizalendo tu, nazingatia. Yanga atanipa hiyo.Nenda naye kea advocate akudaidie
Andaa kama 30k
Kumbe mnyaki Mwenzangu 😝 umekwama wapi 😅😅😅😅Alikuwa tayari ana jina la kilugha na hilo Samia, inabidi tu nipige chini hilo Samia. Libaki Amina na Atuganile.
Hawezi chemka? Hata huyo Samia kuna mtu anamwita mama mkwe..!!Amina jina la mama mkwe
Niko Nami-beer mkuuUnaweza ukapotezwa kama yule aliyeuchoma picha ya mwanao.
😂😂😂afu weweeee 😂😂😂
yap yapPoa poa kumbe ni bei ya kizalendo tu, nazingatia. Yanga atanipa hiyo.
Yeah litakuwa pia jina la bibi yakeUnataka mkeo aitwe "MAMA AMIINA.......
Hapana kwa kweliLakini si ana "suluhu" angalau???