Niko njia panda msaada

Niko njia panda msaada

Niliwaambieni.
Oa rafiki yako unayemjua siku nyingi.
Oa mtu msiezidiana Sana kiuchumi.
Oa mtu msiezidiana Sana kiumri.
Oa mwanamke anaye kuheshimu. If you can marry your childhood friend, please do. Ikibidi oa mtu wa kwenu, sio umetokea Rombo huko ndaaani ndani unakutana na pisi lakimakonde au hata kimachame unatañgaza ndoa.
Umekutana na jimwanamke Lina tako unatañgaza ndoa unadhani umeoa?
Kwanza Ile mitako hua Ni mavi tu yamejaa mle, hakuna kitu.
 
Mkuu kwanz sidhani kama uyo mwanamke, anakupenda mpaka alipofikia shukuru kwa hiyo roho ya uvumilivu ulonayo toa copy hilo kadi linatosha kuwa ushahidi mpeleke kwao kwa amani tu mwaga kila kitu hadharani na umuache hapo atakuja kukupa kesi uyo.
 
Kama unaishi kwenye nyumba yako mtimue bila kupepesa macho. Kama ni nyumba ya kupanga kimbia mwache hapo bila kumwambia chochote. Usimuonee huruma.
 
Neno Moja tu bro, pole. Ila usilale nae ndani. Unaweza kuua bila kukusudia. Ondoka nyumbani kimya kimya. Tuliza akili. Ikishatulia sasa tafuta mshenga mpe ushahidi wote. Mkifika utaamua ufanyeje ila usimconfront ukiwa peke yako. Utajikuta na case ya triple murder.
Busara hii.
Azingatie huu ushauri.
 
Ona mwenyewe kama unaweza kuvumilia hali hiyo (mtu mwingine asikuingizie mawazo yake).
Hili nalo ni Jambo la msingi.
Lakini huoni huyo mwanamke amejiandaa kutaka kuishi na mchepuko wake?

Kwanini asikie wivu mchepuko kubariki ndoa na mwanamke mwingine wakati yeye yupo kwenye ndoa na mtu mwingine?

Kwanini kadi ya clinic aandike jina la mchepuko Kama lengo kulikuwa kupata mtoto sababu mumewe hatungishi mimba?
 
Imekuaje Hadi impeleke mkeo kutafuta mtu wa kumbebesha mimba ?¿. Ebu angalia na huyo first born isije ikawa nalo ni goal la kupewa.
 
NJIAPANDA: Mke wangu alileta mchepuko wake kwangu wiki mbili wakitafuta mtoto, sasa anakaribia kujifungua!

Sina kawaida ya kushika simu ya mke wangu kwani nilikuwa namuamini kiasi kwamba sijawahi hata kufikiria kama atakuja kunisaliti. Nimeoa na ndoa yangu ina miaka 3 sasa, na Mungu ametujalia mtoto mmoja. Sasa hivi mke wangu ni mjamzito na ana mapacha wawili tumboni.

Wiki mbili zilizopita niliona kama mke wangu amebadilika. Alikuwa hana raha na kila nikitaka kuongea naye, anakuwa mkali, na hata kunifokea hadi kunitukana mbele za watu. Mimi nilijua ni ujauzito kwani ana mimba ya miezi nane, hivyo nilijishusha na kukaa kimya.

Lakini kuna kitu kilinichanganya, alikuwa karibu sana na simu yake. Alikuwa bize nayo kiasi kwamba hata chakula alikuwa hali. Ilionekana kama kuna mtu anachati naye. Kilichonishtua zaidi ni kwamba hakutaka mtu kugusa simu yake, hata mtoto akigusa simu, anakuwa mkali, anatukana hadi basi.

Mimi password yake nilijua muda mrefu, ila sikujisumbua naye kwani alijua siijui. Nilipoona mabadiliko, nikaamua kufuatilia kujua ni nini. Nikakuta analalamika kwenye meseji nyingi tu anazotuma kwa mtu mmoja, ambaye hajahifadhiwa kwenye simu. Mwanzoni, meseji zilikuwa zinazungumzia mambo ya ujauzito, baadhi zilikuwa zimefutwa, lakini ni kama alikuwa anamwambia kuhusu watoto wake na mambo kibao, ikionyesha kuwa yeye ndiye baba wa watoto na walionysha kuwa vizuri sana.

Baadaye nikaona Mke wangu alikuwa analalamika, "Utambarikije ndoa na mke wako wakati uliniambia umemuacha? Kwanini uliniambia nibebe mimba kama ulikua na mpango wa kumuacha huyo mwanamke?" Mwanaume alikuwa hajibu, hivyo anatuma meseji tu zaidi ya mia mbili analalamika ila hajajibiwa.

Kwa kweli nilipaniki, nikaamua kufuatilia, nikagundua kuwa hata kadi ya kliniki sijaandikwa mimi kama baba wa mtoto, amemuandika huyo mtu ambaye nilipofuatilia ni mtu namjua. Alishawahi kuja mpaka kwangu kipindi fulani, akaniambia ni baba wa rafiki yake. Aliniomba huyo baba aje kulala kwangu kwa sababu alikuja yuko kwenye matibabu, mpaka rafiki ayke ananipigia simu kunishukuru, akakaa kwangu wiki mbili. Najua alikuwa anaenda hospitalini Muhimbili kumbe ndiyo walikuwa wanatafuta mtoto.

Kwa maana kuwa kumbe walishangaika kupata mtoto kwa muda mrefu kwa sababu mwanaume yuko mkoani. Mke wangu ndiye aliamua kumkaribisha nyumbani ili iwe rahisi kwake kubeba mimba, kwamba wakati mimi niko kazini wao wanahangaika kupata mtoto. Na kwa kweli nilipoangalia tarehe, zinalingana na kipindia licjhobeba mimba.

Sijamuuliza mke wangu kitu chochote, bado nipo kimya. Wiki ijayo ndiyo nampeleka kwao kwa ajili ya kujifungua kwani alisisitiza sana kuhusu mimi kumpeleka. Sasa najiuliza nifanye nini? Sina amani, sina raha, bado nimeshangaa. Hii mimba imenisumbua sana, amenitukana sana na kunidhalilisha sana, nilijua ni kisirani cha mimba kumbe hata si mimba yangu. Naomba ushauri, nifanye nini?
Siku ya kwenda kumpeleka kwao ambatana na fuso la vitu vyake vyote mpaka kwao
 
kua mpole ukimpleleka kwao peleka na vitoto vyote then hukohuko muite mama yake na ukooo onesha ushahidi then sepa tafuta mwingine n.b km simu ulinunua wewe mpokonye
 
NJIAPANDA: Mke wangu alileta mchepuko wake kwangu wiki mbili wakitafuta mtoto, sasa anakaribia kujifungua!

Sina kawaida ya kushika simu ya mke wangu kwani nilikuwa namuamini kiasi kwamba sijawahi hata kufikiria kama atakuja kunisaliti. Nimeoa na ndoa yangu ina miaka 3 sasa, na Mungu ametujalia mtoto mmoja. Sasa hivi mke wangu ni mjamzito na ana mapacha wawili tumboni.

Wiki mbili zilizopita niliona kama mke wangu amebadilika. Alikuwa hana raha na kila nikitaka kuongea naye, anakuwa mkali, na hata kunifokea hadi kunitukana mbele za watu. Mimi nilijua ni ujauzito kwani ana mimba ya miezi nane, hivyo nilijishusha na kukaa kimya.

Lakini kuna kitu kilinichanganya, alikuwa karibu sana na simu yake. Alikuwa bize nayo kiasi kwamba hata chakula alikuwa hali. Ilionekana kama kuna mtu anachati naye. Kilichonishtua zaidi ni kwamba hakutaka mtu kugusa simu yake, hata mtoto akigusa simu, anakuwa mkali, anatukana hadi basi.

Mimi password yake nilijua muda mrefu, ila sikujisumbua naye kwani alijua siijui. Nilipoona mabadiliko, nikaamua kufuatilia kujua ni nini. Nikakuta analalamika kwenye meseji nyingi tu anazotuma kwa mtu mmoja, ambaye hajahifadhiwa kwenye simu. Mwanzoni, meseji zilikuwa zinazungumzia mambo ya ujauzito, baadhi zilikuwa zimefutwa, lakini ni kama alikuwa anamwambia kuhusu watoto wake na mambo kibao, ikionyesha kuwa yeye ndiye baba wa watoto na walionysha kuwa vizuri sana.

Baadaye nikaona Mke wangu alikuwa analalamika, "Utambarikije ndoa na mke wako wakati uliniambia umemuacha? Kwanini uliniambia nibebe mimba kama ulikua na mpango wa kumuacha huyo mwanamke?" Mwanaume alikuwa hajibu, hivyo anatuma meseji tu zaidi ya mia mbili analalamika ila hajajibiwa.

Kwa kweli nilipaniki, nikaamua kufuatilia, nikagundua kuwa hata kadi ya kliniki sijaandikwa mimi kama baba wa mtoto, amemuandika huyo mtu ambaye nilipofuatilia ni mtu namjua. Alishawahi kuja mpaka kwangu kipindi fulani, akaniambia ni baba wa rafiki yake. Aliniomba huyo baba aje kulala kwangu kwa sababu alikuja yuko kwenye matibabu, mpaka rafiki ayke ananipigia simu kunishukuru, akakaa kwangu wiki mbili. Najua alikuwa anaenda hospitalini Muhimbili kumbe ndiyo walikuwa wanatafuta mtoto.

Kwa maana kuwa kumbe walishangaika kupata mtoto kwa muda mrefu kwa sababu mwanaume yuko mkoani. Mke wangu ndiye aliamua kumkaribisha nyumbani ili iwe rahisi kwake kubeba mimba, kwamba wakati mimi niko kazini wao wanahangaika kupata mtoto. Na kwa kweli nilipoangalia tarehe, zinalingana na kipindia licjhobeba mimba.

Sijamuuliza mke wangu kitu chochote, bado nipo kimya. Wiki ijayo ndiyo nampeleka kwao kwa ajili ya kujifungua kwani alisisitiza sana kuhusu mimi kumpeleka. Sasa najiuliza nifanye nini? Sina amani, sina raha, bado nimeshangaa. Hii mimba imenisumbua sana, amenitukana sana na kunidhalilisha sana, nilijua ni kisirani cha mimba kumbe hata si mimba yangu. Naomba ushauri, nifanye nini?
Piga chini.
 
Kapime DNA huyo wa kwanza...
Alafu fukuza huyo mwanamke haraka sana,
Anza kutafuta watoto na wanawake wengine, fanya maamuzi ya kiume
 
NJIAPANDA: Mke wangu alileta mchepuko wake kwangu wiki mbili wakitafuta mtoto, sasa anakaribia kujifungua!

Sina kawaida ya kushika simu ya mke wangu kwani nilikuwa namuamini kiasi kwamba sijawahi hata kufikiria kama atakuja kunisaliti. Nimeoa na ndoa yangu ina miaka 3 sasa, na Mungu ametujalia mtoto mmoja. Sasa hivi mke wangu ni mjamzito na ana mapacha wawili tumboni.

Wiki mbili zilizopita niliona kama mke wangu amebadilika. Alikuwa hana raha na kila nikitaka kuongea naye, anakuwa mkali, na hata kunifokea hadi kunitukana mbele za watu. Mimi nilijua ni ujauzito kwani ana mimba ya miezi nane, hivyo nilijishusha na kukaa kimya.

Lakini kuna kitu kilinichanganya, alikuwa karibu sana na simu yake. Alikuwa bize nayo kiasi kwamba hata chakula alikuwa hali. Ilionekana kama kuna mtu anachati naye. Kilichonishtua zaidi ni kwamba hakutaka mtu kugusa simu yake, hata mtoto akigusa simu, anakuwa mkali, anatukana hadi basi.

Mimi password yake nilijua muda mrefu, ila sikujisumbua naye kwani alijua siijui. Nilipoona mabadiliko, nikaamua kufuatilia kujua ni nini. Nikakuta analalamika kwenye meseji nyingi tu anazotuma kwa mtu mmoja, ambaye hajahifadhiwa kwenye simu. Mwanzoni, meseji zilikuwa zinazungumzia mambo ya ujauzito, baadhi zilikuwa zimefutwa, lakini ni kama alikuwa anamwambia kuhusu watoto wake na mambo kibao, ikionyesha kuwa yeye ndiye baba wa watoto na walionysha kuwa vizuri sana.

Baadaye nikaona Mke wangu alikuwa analalamika, "Utambarikije ndoa na mke wako wakati uliniambia umemuacha? Kwanini uliniambia nibebe mimba kama ulikua na mpango wa kumuacha huyo mwanamke?" Mwanaume alikuwa hajibu, hivyo anatuma meseji tu zaidi ya mia mbili analalamika ila hajajibiwa.

Kwa kweli nilipaniki, nikaamua kufuatilia, nikagundua kuwa hata kadi ya kliniki sijaandikwa mimi kama baba wa mtoto, amemuandika huyo mtu ambaye nilipofuatilia ni mtu namjua. Alishawahi kuja mpaka kwangu kipindi fulani, akaniambia ni baba wa rafiki yake. Aliniomba huyo baba aje kulala kwangu kwa sababu alikuja yuko kwenye matibabu, mpaka rafiki ayke ananipigia simu kunishukuru, akakaa kwangu wiki mbili. Najua alikuwa anaenda hospitalini Muhimbili kumbe ndiyo walikuwa wanatafuta mtoto.

Kwa maana kuwa kumbe walishangaika kupata mtoto kwa muda mrefu kwa sababu mwanaume yuko mkoani. Mke wangu ndiye aliamua kumkaribisha nyumbani ili iwe rahisi kwake kubeba mimba, kwamba wakati mimi niko kazini wao wanahangaika kupata mtoto. Na kwa kweli nilipoangalia tarehe, zinalingana na kipindia licjhobeba mimba.

Sijamuuliza mke wangu kitu chochote, bado nipo kimya. Wiki ijayo ndiyo nampeleka kwao kwa ajili ya kujifungua kwani alisisitiza sana kuhusu mimi kumpeleka. Sasa najiuliza nifanye nini? Sina amani, sina raha, bado nimeshangaa. Hii mimba imenisumbua sana, amenitukana sana na kunidhalilisha sana, nilijua ni kisirani cha mimba kumbe hata si mimba yangu. Naomba ushauri, nifanye nini?
pole sana,hili suala usisubiri kitu ni hatari sana,mpeleke kwao kwa wazazi wake,ita viongozi wa dini,limwage na uwaambie hapo ndio mwisho nae.Anza life upya,nisikilize mdogo wangu,hili ni jambo hatari sana
 
Hili nalo ni Jambo la msingi.
Lakini huoni huyo mwanamke amejiandaa kutaka kuishi na mchepuko wake?

Kwanini asikie wivu mchepuko kubariki ndoa na mwanamke mwingine wakati yeye yupo kwenye ndoa na mtu mwingine?

Kwanini kadi ya clinic aandike jina la mchepuko Kama lengo kulikuwa kupata mtoto sababu mumewe hatungishi mimba?
Mimi nimetoa ushauri wangu na ushauri uko based on taaluma ya "counselling". Kwamba unapomshauri mtu lengo lake siyo kumwambia aamue nini kuhusu, mfano, ndoa yake. Yeye ndiye mwenye ndoa na ndiye anayeamua. Kama lengo si hilo ushauri maana yake ni nini? Ni kwamba, mwomba ushauri kuna mambo yamemchanganya (yamechanganyikana), mshauri anatakiwa amchanganulie/ayachambue. Ni kama kusema alphabets A-Z zimechangantikana na mtu anaomba uziweke vizuri tena ili apate kuona mpangilio wake. Mimi nilichokifanya ni kuweka katika utaratibu huu: A,B,C,D, etc na kumwachia mhusika achague alphabets anazotaka. Wewe unachotaka ni mimi nimwambie "chagua C, X na Y ndizo zinazokufaa." Sasa huu siyo ushauri, bali ni kumchagulia mtu afanye nini katika shida yake. Hilo si jukumu la mshauri, jukumu la mshauri ni kutoa mwanga na kumwacha mhusika achague mwenyewe. Ukisoma counselling utapata counselling skills na utawasaidia watu wengi namna ya ku'deal' na matatizo yao na siyo kuamua wayatatue namna gani. Kwani nani huwa anakuamlia wewe namna ya kutatua matatizo yako? Huwa unayatatua wewe mwenyewe au watu wengine ndio huwa wanakutatulia matatizo yako? Kama huwa unayatatua mwenyewe, kwa nini unataka huyu ndugu umtatulie wewe tatizo lake? Linakuhusu? Umesikia pia upande wa pili unasemaje au umeamini for granted alichosema huyu ndugu? Haya ni maswali ya kujiuliza unapotoa au ombwa kutoa ushauri na usiegemee upande mmoja to the detriment of the other side. Huo ndio ujumbe wangu.
 
Pole sana Brother. Hongera pia kwa utulivu na uvumilivu.

Huyo mwanamke wako amefikia Kiwango cha juu kabisa cha dharau kwako, amekushusha kuliko unavyofikiria.

Cha kufanya kwa sasa nakushauri mpe muda ajifungue mpeleke kwao na ukishamfikisha huko hakikisha akishajifungua humhudumii tena kwa chochote.

Kwa sababu ushahidi unao mwambie tu ulikua unajua tangu siku ya kwanza ila uliona usimbugudhi , mfungukie kwa uwazi kisha achana nae kwa manai. USIJE UKAMWELEZA MTU YEYOTE SABABU YA KUACHANA NAE, HATA MAMA YAKO AU AMMA YAKE WALA MSHENGA.
 
Sijamuuliza mke wangu kitu chochote, bado nipo kimya. Wiki ijayo ndiyo nampeleka kwao kwa ajili ya kujifungua kwani alisisitiza sana kuhusu mimi kumpeleka. Sasa najiuliza nifanye nini? Sina amani, sina raha, bado nimeshangaa. Hii mimba imenisumbua sana, amenitukana sana na kunidhalilisha sana, nilijua ni kisirani cha mimba kumbe hata si mimba yangu. Naomba ushauri, nifanye nini?

Ukimpeleka huko kwao ndio iwe talaka yake hiyo, aishie huko huko...
 
Kuanzia hapo no 4 na 5 umepuyanga aisee,hivi unaanzaje kuishi na mwanamke wa hivyo?,hata kama unampenda
Wewe usiyepunyanga, nikuulize: je, umesikia pia upande unaolalamikiwa na kusikia unasemaje au unatoa hukumu kwa kusikia tu upande mmoja na kuamini kwamba mke wake ndiye kakosea? Kwenye ishauri wangu, nimeamua kuwa neutral, nimejaribu kuweka hivyo kumwachia mhusika aamue mwenyewe na siyo nimwambie mimi. Kama ambavyo sikumwamlia amwoe mke wake, hivyo pia siwezi kumwamlia amwache mke wake. Uamuzi ubaki kwake - aamue afanye nini (isipokuwa asiamue kumdhuru mke wake).
 
Pole sana Brother. Hongera pia kwa utulivu na uvumilivu.

Huyo mwanamke wako amefikia Kiwango cha juu kabisa cha dharau kwako, amekushusha kuliko unavyofikiria.

Cha kufanya kwa sasa nakushauri mpe muda ajifungue mpeleke kwao na ukishamfikisha huko hakikisha akishajifungua humhudumii tena kwa chochote.

Kwa sababu ushahidi unao mwambie tu ulikua unajua tangu siku ya kwanza ila uliona usimbugudhi , mfungukie kwa uwazi kisha achana nae kwa manai. USIJE UKAMWELEZA MTU YEYOTE SABABU YA KUACHANA NAE, HATA MAMA YAKO AU AMMA YAKE WALA MSHENGA.
Ndugu, kama huna ushauri kaa kimya. Usimhukumu mtu. Umesikia tu maneno ya upande, ni unfair kudhani mke wake kakosea kabla ya kumsikiliza. This is unethical!
 
Ndugu, kama huna ushauri kaa kimya. Usimhukumu mtu. Umesikia tu maneno ya upande, ni unfair kudhani mke wake kakosea kabla ya kumsikiliza. This is unethical!
Mkuu yeye alisema amepata ushahidi kwenye simu yake na kila kitu kiko wazi wapi mimi nimemhukumu? huo ndio ushauri wangu toa na wa kwako
 
Back
Top Bottom