nina kuuliza maswali matatu...
swali la kwanza, nini maana ya uzalendo?
swali la pili kati ya marekani ni tanzania unaipenda nchi gani?
Swali tatu, Ukiambiwa uishi tanzania na marekani utachagua nchi gani?
Nabashiri majibu yako.
1. sijui
2. marekani
3.marekani
kama majibu yako ni hivyo, basi ndio maana umefungua uzi wa kipuuzi namna hii ewe mtanzania usieheshimu nchi yako.