Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Unasimama for motherland, ni alama ya taifa hio
Nitasimama leo
Kesho
Na kesho kutwa.
This is motherland.
Kama ulifundishwa na umesahau rudi shule, au omba madogo wa darasa hilo wakupige msasa.
HUU UTARATIBU ULILETWA NA NANI?Ni protocol...bendera ya Taifa ni alama ya Taifa,heshima kwa bendera ni heshima kwa Taifa lako. Ni sheria kusimama wakati bendera inashushwa,kupandishwa au kama inapita mbele yako.