Niko Singida hapa, nimeshangaa hadi leo hii huu mkoa sio jiji

Niko Singida hapa, nimeshangaa hadi leo hii huu mkoa sio jiji

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja, mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.

Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.

Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.

Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.

Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.

Natanguliza shukrani.
 
Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu.
Hali ya hewa nzuri balaa
Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa.
Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami.
Kila nyumba huku ni ya kisasa.
Umeme na maji mpaka vijijini.
Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho.
Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf unicef, who, Icap,nk.
Huu mkoa Ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania .
Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.
Natanguliza shukrani.
Itakuwa wewe umetokea Lindi... Na hujawahi fika mjini kabisa
 
Kuna
Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.

Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.

Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.

Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.

Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.

Natanguliza shukrani.
Kitu kimoja hujakitaja. Singida wanawake Wana mapenzi matamu sana.

Shepu zao za kufa mtu
 
Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.

Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.

Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.

Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.

Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.

Natanguliza shukrani.
Singida hii hii ama nyingine, bado sana tena sana
 
Back
Top Bottom