Basi wafanye ku update pia kwenye website yao hayo mabadiliko, coz watu wanasoma yaliyoandikwa kwenye website ili kuwapa muongozo ni mfuko gani ni sahihi kwa kuwekezaNadhani ni ukata wa fedha sina uhakika, mwaka jana katikati rafiki yangu aliambiwa na rafiki yake kua sasahivi UTT hawana fedha unakaa hadi siku kumi ndio upate hela, mimi nikapuuza nikadhani ni uzushi, mwaka jana November had December nilitoa kama mara tano, zote nilipata hela baada ya siku tano had wiki
Huo ukata wa fedha kivipi wakati mfuko unaona thamani yake inaongezeka. Mfano Liquid kwa sasa ina value ya 1 Tillion TZS. Au hii value haina uhusiano wa moja kwa moja na pesa zilizowekezwa?Nadhani ni ukata wa fedha sina uhakika, mwaka jana katikati rafiki yangu aliambiwa na rafiki yake kua sasahivi UTT hawana fedha unakaa hadi siku kumi ndio upate hela, mimi nikapuuza nikadhani ni uzushi, mwaka jana November had December nilitoa kama mara tano, zote nilipata hela baada ya siku tano had wiki
Uwekezaji wa mda mfupiUnahitaji uwekezaji wa aina gani??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Unafatilia angalia UTT performance ya mwaka 2022-2023Mutual fund kukupa 14% RIR halafu bongo badoooo.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Hauko serious UTT waandike “ndugu’ Kwa kifupi “ndg”View attachment 3195471
Hii ni transaction ya jana (07/jan) saa kumi jioni.
Sema jengine.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Nimeitunga braza.Hauko serious UTT waandike “ndugu’ Kwa kifupi “ndg”
Ilete hapaUnafatilia angalia UTT performance ya mwaka 2022-2023
Hapo vipiIlete hapa
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Hakuna, mm nilitoa wa 12 ilikaa siku 3 tuNadhani ni ukata wa fedha sina uhakika, mwaka jana katikati rafiki yangu aliambiwa na rafiki yake kua sasahivi UTT hawana fedha unakaa hadi siku kumi ndio upate hela, mimi nikapuuza nikadhani ni uzushi, mwaka jana November had December nilitoa kama mara tano, zote nilipata hela baada ya siku tano had wiki
Acheni kupandishiana hasira, mbona kama mnaongea sawa sawa tu, ...mmepishana kidogo Sana,.....Ila wote tumewaelewa....... Asante kwa ufafanuziHujui kitu!
Kwahiyo naweka mara moja puuuu, let's say 10m alafu nakuwa nalamba faida? Maana nilivyomsoma mleta uzi unaweza ukaweka kidogo kidogo na ukitaka kutoa unaweza ukachukua ela yako. (Hapa kwenye kuweka kidogo kidogo nikajiuliza calculation ya faida inakuaje kwenye ela iliyowekwa vipindi tofauti tofauti)Mkuu..siyo lazima uwe na mtaji mkubwa. Unaweza kuanza hata na mil 10. Na hilo gawiwo la kila mwezi unaweza kuamua usiwe unalichukua...mtaji wako ukaendelea kukua kwa Formula inaitwa Compound Interest..baada ya miaka 10 ukakuta zaidi ya mil 30.
Hapo utaona Faida ya Utt..lakini siyo kuchukua gawiwo kila mwezi.,
Umeniwahi tu mkuuMkuu, Mimi nakukosoa kidogo, hapo uliposema kuweka hela ni bure. Inategemea unatumia njia gani, Kama ni kupitia CRDB au NMB ni sahihi ni Bure,
Ila kama utatumia mitandao ya simu (Vodacom, Tigo, Airtel) kuweka hela UTT kuna makato tena makubwa tuu
Unaona sasa ya 100k unakatwa 1500, Sasa iyo 100k huko utt mpaka ije kuzaa hiyo 1500 ni miezi miwili,Umeniwahi tu mkuu
Uko sahihi, Mimi nilianza kuweka kuanzia Liquid, 100k nilikatwa kama 1500+
Kuweka pesa kwa njia ya bank ni bure kwa njia ya simu lazima ijumuishe makato ya kulipia hudumaUnaona sasa ya 100k unakatwa 1500, Sasa iyo 100k huko utt mpaka ije kuzaa hiyo 1500 ni miezi miwili,
inabidi tuwe makini sana
Huo niuwekezaji mkuu sio biashara hiyoYawezekana sijakuelewa mkuu yaani niweke m100 halafu kwa mwezi nipate gawio la m1 tu? akili gani hii?
Au una mapesa hadi hujui pa kupaleka sio?
Gharama za uendeshaji hukatwa jumla kwenye mfuko husika mfano mfuko una jumla ya trilion 1 wakikata 2% kwenye account yako huenda ikapita 0.00007% ambapo kimsingi huwezi kuiona au kuigunduaUkisoma terms za UTT utaona kuna charges na kimsingi kwenye MF charges hazitaki kuzidi 2.5% ya gharama za jumle za uendeshaji
Kuuza vipande ndio free sio gharama za kukuwekezea pesa yako.. kumbuka mwisho wa siku UTT sio saving ccount ile ni biashara kama biashara zingine ndio maana unatengebeza faida .. so meneja wa mfuko ambaye kimsingi ndio ana mamage investment yako kuna gharama ataingia ambazo ni lazima uchangie.. haiwezekani wakafanya free .. gharama atazikava nani haina.. UTT sio service ambayo serikali inatoa kusema wanapata ruzuku..