Lugoda lwa chuma
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 202
- 379
WE PIGA PUNYETO UJINGA UKUTOKE!!Kwaya Master 😂😂
comment no 21 ingia na hiyo link... kiboko ni pale nguzo inapozamishwa kwenye shimo ardhini! ... nani ana CLIPS ZAKE? 🤣
Matusi huburudisha..Kazi ngumu hiyo Babu,waache wajiburudishe
Mbona wasanii hufungiwqa nyimbo zao?Ndio coz zinaleta morare
Ungewasogelea uwaambie hivyo wenyeweUkweli mnatutia aibu sana hasa tukiwa na familia zetu.
Ndiyo,kama kifungua kinywaMatusi huburudisha..
Jadili
Hizo ndio zinahamasisha vizuri na kijikuta wanapata nguvu ya ajabu ya kuanza kubeba hayo magogo (nguzo).Wakuu kheri kwenu nyote.
Naandika haya ikiwa siyo mara ya kwanza wala ya pili kuwasikia hawa wafanyakazi wa Tanesco wanaweka nguzo za umeme pamoja na nyaya zake(cable).
Vijana hawa haijarishi wapo kwenye makazi ya watu au maporini nyimbo zao ni zilele za matusi.Nauliza kwenu ninyi TANESCO hizi nyimbo zimo kwenye katiba ama mikataba ya wafanyakazi wenu?
Maana hata kama maboss wao wapo tena Hao maboss ndo huchukua jukumu la kuwa rekodi video wakiimba hizi nyimbo. Ukweli mnatutia aibu sana hasa tukiwa na familia zetu.
Kuna siku niliitwa kwenda sehemu kwa kaka kabla sihafika kwake nilisikia nyimbo zikiimbwa kwa nguvu zote nazo zile nyimbo zilikuwa za mtusi mtupu. Mfano wa nyimbo hizo ni kama " Zaina zaina (zaina) mtoto wa kifalme (zaina )
mwenye k ndogo zainaaa. Hii nyimbo ilirudiwa mara kadhaa kiasi kwamba hata watoto walianza kuiimba.
Visa ni vingi sana nilivyowahi sikia. Ajabu ni kwamba wakikuona unapita karibu yao na una mtu wa jinsia ya kike hapo sasa utasindikizwa na miruzi huku nyimbo ile ikirudiwa rudiwa kwa nguvu zaidi.
Naombeni sana muwambie vijana wenu hizi nyimbo zao waimbe wakiwa maporini huko na sio kwenye makazi ya watu. wanatutia aibu sana kwenye family zetu asee.
Kwani hamna nyimbo zingine za kuimba nje na matusi?
Tafadhari inatosha sasa na mbadirike. AHSANTENI SANA.
View attachment 3173294
SijakuelewaImba kidogo kitombetombe twende kitombetombe
Inshort matusi yaruhusiwe iwapo tu kuna kazi ngumu na haijarishi ni mahali gani ilipo si ndio mkuu?Hizo ndio zinahamasisha vizuri na kijikuta wanapata nguvu ya ajabu ya kuanza kubeba hayo magogo (nguzo).
Wakiimba gospel hata nguvu haziji, kazi zina delay
Hii ni maajabuNdiyo,kama kifungua kinywa
Nchi tuna amani ndio maana huwa tunachukuliana tu. kuna jamaa aliwatimua mbio bahati nzuri ile nguzo ilikuwa inaenda kwa mfanyakazi wao mkubwa mbona hawakuimba na kazi ilienda vizuri tu? jamaa alikuwa mfanyakazi wa mahakama sijui cheo alichokuwa nachoUngewasogelea uwaambie hivyo wenyewe
🤣🤣🤣Kama nakuona ulivyokuwa unawewesekaHii ni maajabu
Nakumbuka mwaka 1992 umeme ndio ulikuwa unaingia kwa Mara ya kwanza kwenye viwanda vya chai. Kwakweli tulishuhudia mengi ikiwa ni pamoja na haya matusi ya rehareja
Mmh kuhusu nyimbo za matusi kukatazwa hapana,kuna nyimbo zinaimba matusi sana naziskia kila siku..Hujanielewa nacho Manisha ni nyimbo kuimbwa ukiwa na familia yako nyumbani sijesema hata sikia je ni sawa kusikiliza nyimbo za matusi kama Hivi ukiwa na familia yako?
Mbona basata Kila kukicha nyimbo zenye mlengo wa matusi hufungiwa?
MFANO wa nyimbo ya diamond Ile ya Nyegezi?
Mama AminaaSijakuelewa
Yaan ili kazi ziende Kwa haraka,Inshort matusi yaruhusiwe iwapo tu kuna kazi ngumu na haijarishi ni mahali gani ilipo si ndio mkuu?
Ndio maana unasema. wao hata nguzo inasimikwa kando ya kiwanja chako na wanaweza kuja kuomba maji hapo kwako wanakuona unawaona unawasikia wanakusikia lkn wataimba matusi yote hadi kazi iishe! mara nyingi huwa tunakimbia miji yetu kuwapisha yaani ukiwaona hao hapo wee toka kwako kama ulikuwepo tuMmh kuhusu nyimbo za matusi kukatazwa hapana,kuna nyimbo zinaimba matusi sana naziskia kila siku..
Na kuhusu kuja kuimba nikiwa na familia sijawahi kuwasikia mtaani nawaonaga wanapita tu kwenye roll limeandikwa Tanesco wako vifua wazi
Wananyimbo Zao kila sehemu mkuu huku wanaimba hadi kisukumu asee. usiombe wakukute nyumbaniMama Aminaa
Imba tena
Mama Aminaa
Haya kitombetombe twende kitombetombe
Au wewe nyimbo huzijui umefungua tu uzi hapa?