Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #61
Hii imejengeka kama tabia ndio maana hata humu watu wanasapot kwa nguvu zote kuwa ni sawa. nafurahishwa na baadhi ya michango ya wadau inakubidi tu react kwa kuchekaHii thread nimecheka mno, nakiri nilikuwa siyajui haya.
Lakini mtoa mada mbona kama nawe unafurahia hayo matusi? Unalalamika huku unatoa full details.