Niliacha kushabikia mpira nilipobaini Mpira unageuza Watu Wachawi!

Niliacha kushabikia mpira nilipobaini Mpira unageuza Watu Wachawi!

Umefanya uamuzi mzuri ,maana michezo ambayo kuna kushindanishwa ni katili sana.Lazima upande mmoja utasikitika na mwingine utalia. Sasa ukiwa upande uliopoteza hapo imekula kwako,inabidi ujue tu kuwa ni mchezo tu,kusikitika yes,ila kusichukue furaha yako.Kuna maisha zaidi ya ushabiki.Kwanza pia Ushabiki hata team ikishinda haufaidiki lolote kimaslahi.

Hapo kwenye MASLAHI ni kweli. Bora ningekuwa siumii😂😂 lakini haiwezekani Pesa nimetoa mwenyewe, muda wangu nimetoa mwenyewe alafu mje mniumize. Hiyo siwezi kuvumilia 😂😂
 
Mtu anaweza akabadili dini au hata kabila vitu ambavyo ulichaguliwa na wengine ila sio Timu ya Mpira…

Wewe hapo ulipo ni kama sisi Mashabiki wa Arsenal wa tangu enzi za kina Nicolas Anelka, Yaani hapo unaweza usiumie Yanga akishinda ila
Unafurahi zaidi Simba akishinda…
 
Huwezi kuwa mshabiki wa mpira alafu ukaacha kushabikia mpira. Hiyo haiwezekani hata siku moja.

Siku timu yako ikishinda ndiyo unagundua Kumbe bado mpira upo moyoni maana Kuna Hali fulani hivi ya Raha unajisikia. Na siku timu uliyokuwa unaishabikia alafu ukajifanya kuacha kushabikia,ikipoteza dhidi ya ile timu uliyokuwa unaichukia,Kuna ka hali fulani ka maumivu unakafeel. Yaani wewe ulikuwa mshabiki wa Simba alafu siku Simba icheze na Yanga Kisha Simba ikashinda alafu usijisikie Raha!!!?? Uwongo.

Binafsi ushindi wa Yanga naufurahia kwa sababu ya utanzania ila kimoyomoyo inaniuma Sana,huo ndiyo ukweli,na ndiyo mpira ulivyo. Namshangaa Sana Manara alijejifanya kuhama timu,ule ni uongo na unafiki mkubwa sana. Jamaa ana mapambano makubwa Sana ya yeye na nafsi yake.
 
Asalamu alyekum!

Niliacha kushabikia mpira miaka 10 iliyopita Baada ya kugundua kuwa Mpira unanigeuza kuwa wanga, mchawi na mwenye Roho ya husda.

Nilikuwa Mshabiki wa Simba Kwa timu za ndani, Huko Ulimwenguni nilikuwa Mshabiki wa Liverpool. Lakini nikaja kugundua kila timu pinzani(namaanisha Yanga) ikishinda Roho inaniuma Sana, Kwa kweli Ile hali haikunivutia kama kijana mdogo enzi zile.
Haiwezekani Mafanikio ya mwingine ATI roho iniume, inafikia hatua ninaomba kabisa Wasishinde na wasiende Mbele.

Haiwezekani Yanga akishindwa ati ninafurahi, ninachekelea na Kupata Amani ya Moyo. Tayari niliona ugeni Mpya katika moyo wangu ambao nilipojitathmini niliamua kuwa ni lazima nichukue hatua ya kuondokana na Uchawi(kutofurahia Mafanikio ya wengine)
Nikaamua kuachana na kushabikia mipira, haikuwa kazi rahisi Kutokana na mazoea lakini niliweza.

Nilikuwa Huru, sio mchawi tena. Simba ashinde au Yanga ashinde kwangu ni pouwa! Ninaangalia Mpira kama burudani na sio kama Mshabiki.

Yanini Kujiumiza? Yanini kuwa Mchawi na umri huu. Kiufupi Mpira haunisumbui asilani. Ninaweza kulala Kwa raha na wala sio mtu wa kufuatilia mipira kabisa, yapo mambo ya kuninyima usingizi, yapo mambo ya kuutesa moyo wangu. Lakini Kwa Mpira nilikataa.
Yaani mwingine afanikiwe Mimi nitumie, hiyo nilikataa.

Nimemaliza,
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mkuu umeshaokoka? kama jibu NDIO basi hongeraaa umeepukana na uchawi..
 
Nimejitahidi kuwa shabiki nimeshindwa mpira nafatilia mno, mechi natazama ila mpaka leo sishabikii simba au Yanga huwa kabla ya mechi naangalia nani ana kikosi kizuri basi huyo ndo namfagilia ashinde so leo utanikuta yanga kesho simba sieleweki na sivai jezi yoyote
 
Mtu anaweza akabadili dini au hata kabila vitu ambavyo ulichaguliwa na wengine ila sio Timu ya Mpira…

Wewe hapo ulipo ni kama sisi Mashabiki wa Arsenal wa tangu enzi za kina Nicolas Anelka, Yaani hapo unaweza usiumie Yanga akishinda ila
Unafurahi zaidi Simba akishinda…

😂😂😂
 
Huwezi kuwa mshabiki wa mpira alafu ukaacha kushabikia mpira. Hiyo haiwezekani hata siku moja.

Siku timu yako ikishinda ndiyo unagundua Kumbe bado mpira upo moyoni maana Kuna Hali fulani hivi ya Raha unajisikia. Na siku timu uliyokuwa unaishabikia alafu ukajifanya kuacha kushabikia,ikipoteza dhidi ya ile timu uliyokuwa unaichukia,Kuna ka hali fulani ka maumivu unakafeel. Yaani wewe ulikuwa mshabiki wa Simba alafu siku Simba icheze na Yanga Kisha Simba ikashinda alafu usijisikie Raha!!!?? Uwongo.

Binafsi ushindi wa Yanga naufurahia kwa sababu ya utanzania ila kimoyomoyo inaniuma Sana,huo ndiyo ukweli,na ndiyo mpira ulivyo. Namshangaa Sana Manara alijejifanya kuhama timu,ule ni uongo na unafiki mkubwa sana. Jamaa ana mapambano makubwa Sana ya yeye na nafsi yake.

😂😂😂
Haya mambo sijui tutafanyaje, maana hata ukijifanya umeyapuuza lakini yanakuumiza
 
Nimejitahidi kuwa shabiki nimeshindwa mpira nafatilia mno, mechi natazama ila mpaka leo sishabikii simba au Yanga huwa kabla ya mechi naangalia nani ana kikosi kizuri basi huyo ndo namfagilia ashinde so leo utanikuta yanga kesho simba sieleweki na sivai jezi yoyote

😂😂😂
 
Huwezi kuwa neutral kwenye mpira
Hata ukiwa mchezo wa kugombanisha jogoo utanikuta umepata upande
 
Asalamu alyekum!

Niliacha kushabikia mpira miaka 10 iliyopita Baada ya kugundua kuwa Mpira unanigeuza kuwa wanga, mchawi na mwenye Roho ya husda.

Nilikuwa Mshabiki wa Simba Kwa timu za ndani, Huko Ulimwenguni nilikuwa Mshabiki wa Liverpool. Lakini nikaja kugundua kila timu pinzani(namaanisha Yanga) ikishinda Roho inaniuma Sana, Kwa kweli Ile hali haikunivutia kama kijana mdogo enzi zile.
Haiwezekani Mafanikio ya mwingine ATI roho iniume, inafikia hatua ninaomba kabisa Wasishinde na wasiende Mbele.

Haiwezekani Yanga akishindwa ati ninafurahi, ninachekelea na Kupata Amani ya Moyo. Tayari niliona ugeni Mpya katika moyo wangu ambao nilipojitathmini niliamua kuwa ni lazima nichukue hatua ya kuondokana na Uchawi(kutofurahia Mafanikio ya wengine)
Nikaamua kuachana na kushabikia mipira, haikuwa kazi rahisi Kutokana na mazoea lakini niliweza.

Nilikuwa Huru, sio mchawi tena. Simba ashinde au Yanga ashinde kwangu ni pouwa! Ninaangalia Mpira kama burudani na sio kama Mshabiki.

Yanini Kujiumiza? Yanini kuwa Mchawi na umri huu. Kiufupi Mpira haunisumbui asilani. Ninaweza kulala Kwa raha na wala sio mtu wa kufuatilia mipira kabisa, yapo mambo ya kuninyima usingizi, yapo mambo ya kuutesa moyo wangu. Lakini Kwa Mpira nilikataa.
Yaani mwingine afanikiwe Mimi nitumie, hiyo nilikataa.

Nimemaliza,
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Iwafikie wachawi wote wa JF wakiongozwa na Mshana Jr

Kalpana, GENTAMYCINE, Scars, Teko Modise, Carrasco putinn, danymTZ, mbongo_halisi, Emmahu, et el
 
Huwezi kuwa mshabiki wa mpira alafu ukaacha kushabikia mpira. Hiyo haiwezekani hata siku moja.

Siku timu yako ikishinda ndiyo unagundua Kumbe bado mpira upo moyoni maana Kuna Hali fulani hivi ya Raha unajisikia. Na siku timu uliyokuwa unaishabikia alafu ukajifanya kuacha kushabikia,ikipoteza dhidi ya ile timu uliyokuwa unaichukia,Kuna ka hali fulani ka maumivu unakafeel. Yaani wewe ulikuwa mshabiki wa Simba alafu siku Simba icheze na Yanga Kisha Simba ikashinda alafu usijisikie Raha!!!?? Uwongo.

Binafsi ushindi wa Yanga naufurahia kwa sababu ya utanzania ila kimoyomoyo inaniuma Sana,huo ndiyo ukweli,na ndiyo mpira ulivyo. Namshangaa Sana Manara alijejifanya kuhama timu,ule ni uongo na unafiki mkubwa sana. Jamaa ana mapambano makubwa Sana ya yeye na nafsi yake.
Huyu bado hakuwa mshabiki wa hivyo.

Amuulize Chaliifrancisco aliwahi kuja na uzi hapa wa kuacha kushabikia Simba, leo yuko wapi na msimamo wake?

Hii ishu ni ngumu addiction yake bora puli yani hii unakuwa offline kwa muda mfupi tu siku timi yako ikifanya makubwa watu watabisha kuwa sio wewe yule uliyeweka viapo vya kuacha ushabiki
 
Km ni hv bc mimi ni mchawi hili halina ubishi na siwezi kuacha mpka kombe la shirikisho lipotelee huko
 
Huyu bado hakuwa mshabiki wa hivyo.

Amuulize Chaliifrancisco aliwahi kuja na uzi hapa wa kuacha kushabikia Simba, leo yuko wapi na msimamo wake?

Hii ishu ni ngumu addiction yake bora puli yani hii unakuwa offline kwa muda mfupi tu siku timi yako ikifanya makubwa watu watabisha kuwa sio wewe yule uliyeweka viapo vya kuacha ushabiki
Mkuu kwani uliwahi kuniona tena kwenye jukwaa la sports nikishabikia Simba 🤣
 
mimi niliacha kushabikia mpira miaka 11 iliyopita
 
Ila ushabiki wa mpira unataka roho ya chuma jamani, ukiwa na moyo mwepesi unaweza kufa kwa presha.

Mi nakumbuka mwaka fulani nilikuwa na rafiki yangu tukaenda kibanda umiza kuangalia mechi ya Man Utd Vs Tottenham, jamaa alikuwa shabiki sugu wa Man Utd.Ile siku Manchester ilichapwa kichapo kizote. na Tottenham jamaa akalia machozi Hadi nikamhurumia.
 
Ila ushabiki wa mpira unataka roho ya chuma jamani, ukiwa na moyo mwepesi unaweza kufa kwa presha.

Mi nakumbuka mwaka fulani nilikuwa na rafiki yangu tukaenda kibanda umiza kuangalia mechi ya Man Utd Vs Tottenham, jamaa alikuwa shabiki sugu wa Man Utd.Ile siku Manchester ilichapwa kichapo kizote. na Tottenham jamaa akalia machozi Hadi nikamhurumia.
 
Back
Top Bottom