Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kutoka nduki nayo ni option mojawapo kati ya zilizopo..!!Vita unayoitafuta utaipata nakuambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka nduki nayo ni option mojawapo kati ya zilizopo..!!Vita unayoitafuta utaipata nakuambia
Mwenyekiti wa Wanaume Shababy walioko Dar.
Tumekukosea nini sisi Simba we mtoto??[emoji38][emoji38][emoji38]
Wafanye bas makolo wapate mishe hapa mjini maana mnazurura tuu
Nipite vipi? Angalia sana dogo... Utakimbia humu. Tena angalia sana.... Shauri yako.Sawasawa.
Ujumbe kama haukuhusu tafsiri yake pita hivi
Nipite vipi? Angalia sana dogo... Utakimbia humu. Tena angalia sana.... Shauri yako.
Dogo angalia sana.... Nakuambia angalia sana hapo ulipo kaa. Umeka vibaya.Huna uwezo wala vigezo vya kunitisha Kwa chochote kile, hata Kwa ujinga au uchizi bado haunitishi. Eti angalia.. shauri langu unalijua?
Dogo angalia sana.... Nakuambia angalia sana hapo ulipo kaa. Umeka vibaya.
Acha gongo!Acha bangi!
Acha gongo!
Basi umefanya vizuri akili na afya itakurudia.Nilishaacha!
Basi umefanya vizuri akili na afya itakurudia.
nina wasiwasi na wanaopoteza fahamu kwa kivuli cha mapenzi ya mpirasina shida na mashabiki, ila kiukweli wanpofeli ni kwenye kubet
Kwa members wa jf wenyw IQ ndogo sana wewe ndiye unaye ongozaNataka kuwa Mkuu wa wachawi.
Na nitakuwangia mpka nyumbani kwako...Iwafikie wachawi wote wa JF wakiongozwa na Mshana Jr
Kalpana, GENTAMYCINE, Scars, Teko Modise, Carrasco putinn, danymTZ, mbongo_halisi, Emmahu, et
Kumbe mwigilu ndo anae ihujumu Simba sukari yaoKipindi hiki kwa wanasimba mpira ni haram
Yanga na mara chache tim nyingine zitabeba hadi 2030, Simba kuja kubeba kombe ni hadi 2031 Mwigulu akiwarudisha kina makonda wataomsumbua GSM.
Hauajawai kuwa shabiki wa mpira ww