Niliacha kushabikia mpira nilipobaini Mpira unageuza Watu Wachawi!

Niliacha kushabikia mpira nilipobaini Mpira unageuza Watu Wachawi!

1684483707558.png
 
Mimi pia sioni faida ya kuwa shabiki.. Ushabiki ni uchawa, ushabiki ni kufuata mkumbo, shabiki ana sifa zote za uchawi, ushabiki ni uchawi!
 
Kipindi hiki kwa wanasimba mpira ni haram

Yanga na mara chache tim nyingine zitabeba hadi 2030, Simba kuja kubeba kombe ni hadi 2031 Mwigulu akiwarudisha kina makonda wataomsumbua GSM.
Kumbe mwigilu ndo anae ihujumu Simba sukari yao
 
Hauajawai kuwa shabiki wa mpira ww
 
Back
Top Bottom