Niliacha kwenda kanisani baada ya kuona makanisa yanafungisha ndoa za jinsia moja kwa kigezo cha human rights, huku yakipinga ndoa za mitala

KIPI KIFANYIKE NIYO SWALI LA KUJIULIZA......HALAFU MBONA WAHINDI WAMETAWALIWAMIAKAZAII YA WAAFRIKA , MBONA WAO BADOWAPO NA TAMADUNI NA DINI ZAO? WHY SISI?
Hinduism ni dini ya kale sana kuliko ukristo, na wahindu wamekuwa wakirithishana vizazi na vizazi kwa kuwa ilikuwa na maandishi.

Mkoa wa Mbeya una makabila ya Wasafwa, Wanyakyusa, Wandali, Wamalila, Wakimbu, Wasangu, Wabungu, Wanyiha, Walambya, Wanyamwanga na mengine mengi, lakini hawaongei lugha moja, pia mila na tamaduni zao ziko tofauti kabisa.

Walipokuja wazungu ikawa ni rahisi kuwatenganisha, kisha kuwaunganisha pamoja chini ya kivuli cha dini.

Dini zetu hazikuwa taasisi imara
 
Mashehe wengi ni wapenzi wa kula jicho...eti suna

Tofauti na hao wanaofunga ndoa ni usiri(misikiti) na uwazi(makanisa).

Wewe mwabudu Mungu usifuate watu.
 
Kwamba hili si kanisa?!?!
View attachment 2083561

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
duh!!! nimeona hapo kuna mademu wakali kwa pembeni wanafurahia majamaa kwenda kulana vyoo badala wao ndo wangeolewa.

Yani watu wote hapo hadi wachungaji walowafungashia ndoa wanajua kabisa hayo madume yanakwenda kufukuana matope, aisee!!! hatari na nusu.
 
Hili swali zuri sana,Mungu hapatikani ktk nyumba za ibada pekee,yupo kila mahali.

Kwa wakristo mwili wako ndilo hekalu ivyo popote Mungu yupo,hakuna ulazima wa kwenda kanisani labda km unataka ukaibiwe hela kwa kudanganywa kuwa ni sadaka
Kama Yesu alijitoa sadaka kwa ajili yetu, kwanini makanisani tulazimishwe kutoa sadaka?
 
Mbaya sana
 
Labda anglican bro lakini moto wa injili bado upo n kwa sasa ndio unazidi kukolea mataifa yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…