[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anasagia kunguni au anateseka yeye? Sasa km yeye anaweza au ana uwezo mbna kanisa lake limefungisha ndoa mashoga, hajafanya kizuizi au pingamizi, dhidi ya kususa kwenda ibadani kanisani kwake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inaonesha wazi hana uwezo wa kupambana na ushoga/mashoga, tena yeye kwa kutambua hilo kaamua akae pembeni, apishe mashoga wafungishwe ndoa zaidi na zaidi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushoga ni taasisi pana na iliyojivhimbia chini zaidi, hapa ndo kwanza unaanza kutoa majani, bado kuzaa matunda mbna watu watapooza miili km sio kufa kwa pressure. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye km anataka ndoa za mitala zihalalishwe, aanze mchakato wa kupigania hilo sio kuanza kuukandia ushoga, lol, km anaona haiwezekan bas akae kwa kutulia. Vinginevyo atateseka sana na hatapata ahueni yeyote, tena nimemsifu kwa kuacha kufuatilia ibada ya kanisa lake, na kuamua kujikita ktk imani nyingine. Hapo amepiga hatua kubwa sana kwake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]