Niliacha kwenda kanisani baada ya kuona makanisa yanafungisha ndoa za jinsia moja kwa kigezo cha human rights, huku yakipinga ndoa za mitala

Niliacha kwenda kanisani baada ya kuona makanisa yanafungisha ndoa za jinsia moja kwa kigezo cha human rights, huku yakipinga ndoa za mitala

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anasagia kunguni au anateseka yeye? Sasa km yeye anaweza au ana uwezo mbna kanisa lake limefungisha ndoa mashoga, hajafanya kizuizi au pingamizi, dhidi ya kususa kwenda ibadani kanisani kwake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Inaonesha wazi hana uwezo wa kupambana na ushoga/mashoga, tena yeye kwa kutambua hilo kaamua akae pembeni, apishe mashoga wafungishwe ndoa zaidi na zaidi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ushoga ni taasisi pana na iliyojivhimbia chini zaidi, hapa ndo kwanza unaanza kutoa majani, bado kuzaa matunda mbna watu watapooza miili km sio kufa kwa pressure. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yeye km anataka ndoa za mitala zihalalishwe, aanze mchakato wa kupigania hilo sio kuanza kuukandia ushoga, lol, km anaona haiwezekan bas akae kwa kutulia. Vinginevyo atateseka sana na hatapata ahueni yeyote, tena nimemsifu kwa kuacha kufuatilia ibada ya kanisa lake, na kuamua kujikita ktk imani nyingine. Hapo amepiga hatua kubwa sana kwake.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ama kweli unaupenda uharufu wa 💩💩💩
 
Mashehe wengi ni wapenzi wa kula jicho...eti suna

Tofauti na hao wanaofunga ndoa ni usiri(misikiti) na uwazi(makanisa).

Wewe mwabudu Mungu usifuate watu.
hivi hiyo kitu huwa ni suna kweli au masighara? na kama ni suna inakuwa vp suna, embu tupe muongozo sheighe.
 
Ama kweli unaupenda uharufu wa [emoji90][emoji90][emoji90]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] harufu ya nn? Kupenda kwangu haimaanishi wote wapende, au kutopenda kwako haimaanishi wote wasipende.

Kila mtu afanye vile atakavyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi unaumia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] harufu ya nn? Kupenda kwangu haimaanishi wote wapende, au kutopenda kwako haimaanishi wote wasipende.

Kila mtu afanye vile atakavyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi unaumia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weee lazima ni Gilgashi au Myebusi
 
Mambo kama hayo ndiyo yaliyosababisha Malcolm X kufikiri upya kuhusu ukristo, maana mambo mengi maovu viongozi wa dini wanayaacha na hayapewi uzito una stahiki na kanisa linashiriki kusapoti.
 
Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.


Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.

Huku kwetu Tanzania , wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.

Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.

Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.

Nikaona tusikwazane, yusikerane.
Ukristo si dini tumia akili yako vyema
 
Kanisa ni jengo tu, imani yako ndio itakayokuponya siku zote soma biblia.
 
Hilo unasema wee, mtoto atakua very proud kuwa na hao wazazi wake.
Kwani wengine wanazaaje, au kuna aina ngapi za uzaaji? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wewe acha utoto, hata mimi nilipokuwa mtoto asilimia 100% nilijua mwanamke anazalia matakoni.

Nilikuja kugundua ukweli baada ya kuingia darasa la sita kwenye topic ya mfumo wa uzalishaji (reproduction system).

Wewe ni utoto unakusumbua, ukikua ndo utaelewa vzr.
 
Wazungu wametuvurugia maisha yetu asili,ambayo yalikuwa Safi sana.mm huwa sitaki kuskia huu upuuzi wao !!! dini zetu za asili zilitufanya tuwe na upendo,heshima na adabu .
Usihofu jamaa, European race iko ktk stage ya depopulation,,, na iko hivo sababu civilization yao inawapeleka huko,,
Black race iko ktk stage ya +ve population growth,,, in the long run kutatokea natural colonization of Europe

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.


Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.

Huku kwetu Tanzania , wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.

Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.

Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.

Nikaona tusikwazane, yusikerane.
Inafikirisha sana. Mpaka mwisho binafsi naona dini ni sehemu ya utamaduni wa pahala fulani, Kwanini wakatae ndoa za mitara ila wakubali ndoa za jinsia moja. Jibu rahisi kiutamaduni ubeberuni utamaduni wao ni mke na mume mmoja.
Ni lazima na sisi tukubali kuishi kwenye uhalisia wetu. Tuzingatie tamaduni zetu nzuri
 
Kwa hiyo tukusaidiaje???!!sema wewe ni din nyingine sio mkristo unajiongelesha uonekane upo??!! Je ukiulizwa ulishuhudia kanisa gani linafungisha ndoa hizo utajibu, wewe ni kilaza bila chenga kabisa tunamashaka na IQ yako hebu kanye kwanza umeshiba makange
choko dari
 
Back
Top Bottom