Nchi hii tunapenda sa shortcut. Hatutaki kutokwa jashoYote kwa yote mimi naondoka na nukta moja tu hapo nayo ni ya kumtaka Mzee Bakhresa apewe timu basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii tunapenda sa shortcut. Hatutaki kutokwa jashoYote kwa yote mimi naondoka na nukta moja tu hapo nayo ni ya kumtaka Mzee Bakhresa apewe timu basi
Hana utusi wowote uyu ni jobless tu,ambae amefanikiwa kumiliki simu,huoni mada zake ni za vijiwe
Level yako ya kujua ninayoyajua kuhusu Masuala ( Issues ) Mtambuka ni mdogo sana hivyo acha Kunipotezea muda na kwa taarifa tena kwa Kujiamini niliyoyaandika hapa ni sahihi ( kweli ) 100% zote.Wewe ulikuwa wa kwanza kutuambia Barbra ana uhusiano na Mo, leo tena umehamia kwa Hersi, sijui kesho utaenda kwa nani...
Kwamba 'Unabanduliwa' na huyo Jamaa ni Shoga' Mwenzako au?Upo sahihi mkuu🤣🤣🤣
Mkuu hapa GENTAMYCINE nimepiga Bomu la Mwisho Vitani na sasa huko Msimbazi ( SSC ) wanatafutana.Nakubaliana na Gentamycine 100%, ishu ya Morrison ni mipango tu ya hao jamaa
Ajiajiri wapi mkuu wakati kwao ni Colombia kwenye biashara ya ngada & utekajiNawaza tu kwa shule aliyonayo na sehemu alizosoma Gonzalez kwanini anafanya kazi zenye kelele kelele hivi...
"Siba guvu moya" by moTuleteeeeeni Bakhressa tuleteeeee Bakhressa....!!
Ila kiukweli Mimi sijawahi mkubali Mo sio kwamba hajaisaidia Simba Ila sio MTU sahihi wa kuifikisha Simba level za Al Ahly na wengine.... Mpira unahitaji uwekezaji endelevu na kujitoa sio wa kulambwa miguu.
Muulize sina Ajira ( Kazi ) nakula Kwake au Bata ninazokula ananipa chochote au hizi Safari mbalimbali za Tanzania za kutumia Barabara ( Uso wa Kima ) au Anga ( Bung'o ) au Hela za Kununua 'Bando' za 'Internet' ananipa Yeye?Ajiajiri wapi mkuu wakati kwao ni Colombia kwenye biashara ya ngada & utekaji
Hii imewezekanaje mkubwa wakati wanasimba malijari na wenye $$$ za kutosha &kutisha mpo?CEO wa Simba SC anatuzuga tu wana Simba SC ila ukweli ni kwamba ana Mahusiano ya 'Kibaiolojia' na Rais ajaye wa Yanga SC Injinia Hersi Said
Hata Mimi nadahamu hivo,Wewe ulikuwa wa kwanza kutuambia Barbra ana uhusiano na Mo, leo tena umehamia kwa Hersi, sijui kesho utaenda kwa nani, unamgeuza binti wa watu kitenesi cha wanaume.
Tatizo hauna kumbukumbu, ulishatuambia sababu ya ugomvi kati ya Manara na Barbra ilikuwa ni u-snitch wa Manara aliowafanyia Simba SC kwa GSM na Hersi kule Kigamboni, Avic Town, naona leo umekurupuka tena kuja na ngonjera zako za uongo.
Kuhusu ile Press Conference iliyoahirishwa, tatizo lilikuwa ni Barbra hakutaka kuendelea kufanya kazi na Dewji aliyerudishwa Simba SC, huyu Dewji alimsema vibaya Barbra kwenye kituo kimoja cha radio, na yale yalikuwa majungu tu, nothing else.
Kama kweli Mo alikuwa anataka kuondoka Simba SC asingewaachia mapesa ya usajili akaenda zake Sudan, Dewji yuko poa na Simba, tatizo kidogo lilikuwepo kwa Barbra na Dewji ambalo nalo limeshamalizwa.
Kama umetumwa kuja kuzima ule ujinga aliofanya Manara juzi pale Sheikh Amri Abeid Stadium mwambie aliekutuma huku hakuna mapopoma wa sampuli yako.
Nishukuru kwa hii Taarifa vinginevyo Simba SC yako ingeendelea 'Kuhujumiwa' na Watu mnaowaamini 100% wakati kumbe ndiyo Wanawaharibia.Hii imewezekanaje mkubwa wakati wanasimba malijari na wenye $$$ za kutosha &kutisha mpo?
Huyu GENTAMYCINE ni mpuuzi tu! Kwa hiyo huo uhusiano walionao Hersi na Barbra ni Hersi kusaidiwa tu? Kwa nini na yeye asimsadie huyo ndugu yake, na yeye Simba yake ishinde?Sasa ndiyo napata picha ya ugomvi wa Haji Manara na Barbra kumbe wote wana mahusiano ya kibailojia na Msomali.
Aliyekuzaa ameshaupona?Ugonjwa wa akili kweli upo.....