Niliahidi kuja na 'Exclusives' Saba (7) Saa 3 hii sasa naweka Mambo yote hadharani...

Mo hawezi kuondoka Simba mwenyewe,,labda kama kuna uwezekano wa kufukuzwa, lakini siyo kujiondoa mwenyewe.
 
Bakharesa mwana ndugu na Mo huyu huyu au mwingine?
NB Mo hajawekeza peke yake Simba Mo= Bakheresa
 
Absolute Nonsense.
 
Huo ni utunzi mahiri ambao facts zake,zimejengwa kinafiki na kwa nia ya kiua simba maana gentamycine ni shabiki mkubwa yanga
 
Ngoja nikuulize inawezakana vip bakressa awekeze Azam na pia awe ni mmliki wa Simba kwa pamoja?
 
Popoma ni kubwa jinga
 
sluggish!
 
Ngoja nikuulize inawezakana vip bakressa awekeze Azam na pia awe ni mmliki wa Simba kwa pamoja?
Muwe mnatumia Akili aliyewekeza Azam FC ni Mwanae Yusuf ila Baba Mwenyewe Mzee Said Salim Bakhressa ni mwana Simba SC mzuri tu kiasi kwamba hata Pesa za Kuisaidia huwa anatoa ( anachangia )
 
wewe huwa haujtambui ...kuptia viandiko vyako wewe unajiona kama unajtambua
 

Umemaliza mkuu.
 
Muwe mnatumia Akili aliyewekeza Azam FC ni Mwanae Yusuf ila Baba Mwenyewe Mzee Said Salim Bakhressa ni mwana Simba SC mzuri tu kiasi kwamba hata Pesa za Kuisaidia huwa anatoa ( anachangia )
Lini alichangia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…