Huenda mbele pale anaweka two star generalUmewaza kama mm mkuu kwenye kusimamishwa na traffic it's means kuna maswali na maongez yawepo mpaka ww kuwaonga sio chini ya dakika kumi na zaid maana haiji akili usimamishwe na traffic ww ushatoa pesa unawapa ni hard Lazma wakuhoji na kwa kiasi alichotumia inamaana alisimamishwa Sana barabarani na huko ni wastage of Time , je kivipi aliweza kucover huo mda mpaka anafika Dar inahitaji kufikiri kwa kina umetuacha na alama ya kuuliza na Nissan Dualis
Unamiliki Nissan ya aina gani na unaimiliki kwa miaka mingapi mpka sasa..?Nissan huzijui.kuwa mpole time will tell. Itatufanya uchukue mkopo bank au uliache porini. Nissan ni mziki mkubwa, hata spear zake kuzipata ni shida.
Kabisaa mkuu...Wengi wanaolalamikia Nissan hasa X-Trail, wanafanyia service za engine na gear box kwenye garage bubu za mtaani ambako oil fake ni nyingi sana. Nissan ukiilisha oil fake unaiua fasta sana. Angalau Toyota zina uvumilivu fulani, but na yenyewe kuna siku engine na gear box zitaanza kusumbua.
hahahah Major Gen. Ndani ya nyumba.Huenda mbele pale anaweka two star general
Nakubali.In short ni kwamba,Nissan dualis haiwezi ku perform better than crown in any way possible.In practice or Even in a theoretical way-Nissan dualis haiwez kuwa na muscle za kupambana na Nissan patrol-Any logical person atakushangaa based on your arguments.
Based on the distance between Dar & Singida,kuweza kucover hyo distance inahitaji a constant speed of not less than 100km/hr plus ambayo kwa mchana its nearly impossible unless unaendeshea kwenye barabara za Ulaya.
Kama ulitumia 100'000 out of 150'000 it means ulisimamishwa sana road na traffic na maongezi ya kuhonga yalikuwepo ambayo infact ni sehemu ya kupoteza muda,achilia mbali ubovu wa barabara na jam ndogondogo barabaran,Swali ni Je,Ulikuwa unawarushia traffic hela hewan bila kusimama ili usipoteze muda njiani na kuweza ku maintain hiyo 100+km/hr?
In practice-unachokiongelea ni habari za kufikirika kwa yeyote mwenye akili timamu,How on earth dualis limekuwa a muscular can on the road? 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁
😃😃😃.. ile hakuna anae kusimamisha hata ukitembea 260hahahah Major Gen. Ndani ya nyumba.
Hahahah sijui hata kuipiga mkono ile kitu mtu anaanzia wapi.😃😃😃.. ile hakuna anae kusimamisha hata ukitembea 260
Mimi ndio kiboko cha V8. Naendesha Mercedes S Class. Top Speed 320. Engine 5L. Nikikupita usijaribu kuleta ligi, utapasua engine ya gari yako.Kwa kumalizia gari yangu ina number za kibalozi, kwa hiyo sehemu mnapotembea 50km/hr mimi natembeaga 100km/hr.Hujakutana na VX V8 mkuu? Hawa jamaa wanatembea aise. Unaichapa mashine 190kph halafu bado wanakuchapa kama umesimama sina ham nao. Unakaza pedal mpaka tako lakini ndio kwanza inazidi kupotea
Nilikua natembea nalo mjini
Hujakutana na VX V8 mkuu? Hawa jamaa wanatembea aise. Unaichapa mashine 190kph halafu bado wanakuchapa kama umesimama sina ham nao. Unakaza pedal mpaka tako lakini ndio kwanza inazidi kupotea
Haina shida ninatumia zaidi ya mwaka na nimepiga nayo Mara bila shida yoyote..Gari tamu sana ukimulia uliza mafundi wa mbeke achana na wa vichocho
Saluti kwako mkuu, bahati mbaya huwa hatukutani nazo za hivyo, mpo 1 in a million. Ila imekuwaje gari yako binafsi ina namba za kibalozi?Mimi ndio kiboko cha V8. Naendesha Mercedes S Class. Top Speed 320. Engine 5L. Nikikupita usijaribu kuleta ligi, utapasua engine ya gari yako.Kwa kumalizia gari yangu ina number za kibalozi, kwa hiyo sehemu mnapotembea 50km/hr mimi natembeaga 100km/hr.
Hii gari naifaidi njia ya Arusha - Singida. Huwa naivuta na kuchezea 200-280km/hr. Barabara zilizobaki huwa nachezea 180-200.
1.wabunge na baadhi ya watumishi wa eac huwa wanatumia namba za kibaloziSaluti kwako mkuu, bahati mbaya huwa hatukutani nazo za hivyo, mpo 1 in a million. Ila imekuwaje gari yako binafsi ina namba za kibalozi?
Subaru ni beast wa haja,kuna watu tu uwa wanaikosea heshimaIla Subaru zinajitahidi sana..[emoji28][emoji28]
Angalia Jqmaa wa Mark X kamaliza kisahani lakini anapitwa kama vile kasimama..
Kama ni hivyo basi ametisha..
Dualis Qashqai sio gari. Endeleeni kujadili ujinga huo
Huo mnyama nlishatoka nao dar saa 10 alfajir dom nkafika saa 3 asubh anajitahid kiukwel
Mimi ni balozi mkuuSaluti kwako mkuu, bahati mbaya huwa hatukutani nazo za hivyo, mpo 1 in a million. Ila imekuwaje gari yako binafsi ina namba za kibalozi?