Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Umewaza kama mm mkuu kwenye kusimamishwa na traffic it's means kuna maswali na maongez yawepo mpaka ww kuwaonga sio chini ya dakika kumi na zaid maana haiji akili usimamishwe na traffic ww ushatoa pesa unawapa ni hard Lazma wakuhoji na kwa kiasi alichotumia inamaana alisimamishwa Sana barabarani na huko ni wastage of Time , je kivipi aliweza kucover huo mda mpaka anafika Dar inahitaji kufikiri kwa kina umetuacha na alama ya kuuliza na Nissan Dualis
Huenda mbele pale anaweka two star general
 
Nissan huzijui.kuwa mpole time will tell. Itatufanya uchukue mkopo bank au uliache porini. Nissan ni mziki mkubwa, hata spear zake kuzipata ni shida.
Unamiliki Nissan ya aina gani na unaimiliki kwa miaka mingapi mpka sasa..?
Tufafanulie kidogo huo mziki mnene wa Nissan uko wapi..?


VW,Benz,BMW watu wameziweka barabarani miaka na miaka, ndiyo Nissan ije kushinda watu..?
 
Wengi wanaolalamikia Nissan hasa X-Trail, wanafanyia service za engine na gear box kwenye garage bubu za mtaani ambako oil fake ni nyingi sana. Nissan ukiilisha oil fake unaiua fasta sana. Angalau Toyota zina uvumilivu fulani, but na yenyewe kuna siku engine na gear box zitaanza kusumbua.
Kabisaa mkuu...
 
In short ni kwamba,Nissan dualis haiwezi ku perform better than crown in any way possible.In practice or Even in a theoretical way-Nissan dualis haiwez kuwa na muscle za kupambana na Nissan patrol-Any logical person atakushangaa based on your arguments.
Based on the distance between Dar & Singida,kuweza kucover hyo distance inahitaji a constant speed of not less than 100km/hr plus ambayo kwa mchana its nearly impossible unless unaendeshea kwenye barabara za Ulaya.
Kama ulitumia 100'000 out of 150'000 it means ulisimamishwa sana road na traffic na maongezi ya kuhonga yalikuwepo ambayo infact ni sehemu ya kupoteza muda,achilia mbali ubovu wa barabara na jam ndogondogo barabaran,Swali ni Je,Ulikuwa unawarushia traffic hela hewan bila kusimama ili usipoteze muda njiani na kuweza ku maintain hiyo 100+km/hr?
In practice-unachokiongelea ni habari za kufikirika kwa yeyote mwenye akili timamu,How on earth dualis limekuwa a muscular can on the road? 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁
Nakubali.
 
Hujakutana na VX V8 mkuu? Hawa jamaa wanatembea aise. Unaichapa mashine 190kph halafu bado wanakuchapa kama umesimama sina ham nao. Unakaza pedal mpaka tako lakini ndio kwanza inazidi kupotea
Mimi ndio kiboko cha V8. Naendesha Mercedes S Class. Top Speed 320. Engine 5L. Nikikupita usijaribu kuleta ligi, utapasua engine ya gari yako.Kwa kumalizia gari yangu ina number za kibalozi, kwa hiyo sehemu mnapotembea 50km/hr mimi natembeaga 100km/hr.

Hii gari naifaidi njia ya Arusha - Singida. Huwa naivuta na kuchezea 200-280km/hr. Barabara zilizobaki huwa nachezea 180-200.
 
Hujakutana na VX V8 mkuu? Hawa jamaa wanatembea aise. Unaichapa mashine 190kph halafu bado wanakuchapa kama umesimama sina ham nao. Unakaza pedal mpaka tako lakini ndio kwanza inazidi kupotea

[emoji23][emoji23][emoji23]hizo ndinga ni kwere asee
 
Mimi ndio kiboko cha V8. Naendesha Mercedes S Class. Top Speed 320. Engine 5L. Nikikupita usijaribu kuleta ligi, utapasua engine ya gari yako.Kwa kumalizia gari yangu ina number za kibalozi, kwa hiyo sehemu mnapotembea 50km/hr mimi natembeaga 100km/hr.

Hii gari naifaidi njia ya Arusha - Singida. Huwa naivuta na kuchezea 200-280km/hr. Barabara zilizobaki huwa nachezea 180-200.
Saluti kwako mkuu, bahati mbaya huwa hatukutani nazo za hivyo, mpo 1 in a million. Ila imekuwaje gari yako binafsi ina namba za kibalozi?
 
Saluti kwako mkuu, bahati mbaya huwa hatukutani nazo za hivyo, mpo 1 in a million. Ila imekuwaje gari yako binafsi ina namba za kibalozi?
1.wabunge na baadhi ya watumishi wa eac huwa wanatumia namba za kibalozi
2.wafanyakazi wa ubalozi na un wana 'utaratibu' fulani wa kusajili 'magari yao' kwa namba za kazini kwao.
 
Back
Top Bottom