Ukiingia youtube kuna jamaa anajiita AutotopPnL.
Huyu jamaa ana balaa si kitoto. Anaendesha gari zake Autobhan.
Mjinga speed zake kuanzia 180kph kuna wakati anafikisha mpaka 300kph comfortably.
Aliwahi maliza kisahani cha Bentley Flying Spur zaidi ya 330kph.
Ukiwa na pesa ya mawazo ndio utasema hivyox trail gari moja ya kijinga sana.....kaulizie mafundi
Yaani cc 1990 umuache wa Vanguard, labda hakuwa kwenye ligi yako wewe ukadhani mko kwenye ligi.1990
Yaani cc 1990 umuache wa Vanguard, labda hakuwa kwenye ligi yako wewe ukadhani mko kwenye ligi.
ah ah ushaingia cha kike siyo mwe pesa za kulala....kunywa maji ya baridi mkuu..ushapigwaUkiwa na pesa ya mawazo ndio utasema hivyo
Sijawahi ona pikipiki inakimbia kama Kawasaki Ninja h2h.Cheki video moja jamaa wa audi r8 akisumbuana na 1l bike kulikuwa na yamaha R1 nahisi na honda cbr 1000 ....ile audi iko njema wanamwagika sana
Au cheki video za ule uwanja nurbugring ni hatar
Cc sio sababu pekee ya gari kukimbia.Yaani cc 1990 umuache wa Vanguard, labda hakuwa kwenye ligi yako wewe ukadhani mko kwenye ligi.
Cc sio sababu pekee ya gari kukimbia.
Kuna watu wengine wamejiwekea limit ya speed wanayoendesha maana wana uelewa wa hali zao na magari yao pia. Hivyo kuna wakati we unaweza kumuwekea ligi mtu ambaye yeye hana habari hizo.CC sio sababu ila Dualis hawezi kumuacha Vanguard. 2AZ ina nguvu sana, angalau kwenye Vanguard naweza kushuhudia, na gearbox yake gia 7 si mchezo
Hiyo 1series mzee, hiyo mashine kwenye road nzuri usifanye nayo ligi.Ile nilikua 140, ikapita kama nimesimama, ni vile kama vi Imprezza
Hiyo 1series mzee, hiyo mashine kwenye road nzuri usifanye nayo ligi.
Asee hii generation ya 3 iko poa sanaMafundi wabongo ndiyo wakijinga...kawaulize Wajapani......wakishindwa kutengeneza kitu hawataki kukubali kuwa wameshindwa...wanaaza kusingizia kuwa hakifai.....
Ingekuwa ni gari ya kijinga ungeshasikia recall huko kiwandani na leo hii kusingekuwepo na Xtrail Generation ya tatu..
Mkuu hiyo HZ 4.2 L nenda kimahesabu usishabikie magari yajue na kuyaelewa.Huyo ni tahira sasa hz linafika hata 180 kweli[emoji848] mwenye hz anaachwa na noah lami vizuri tu ...
Tushatoka na noah DT ...tulikuwa nane ile tumesimama sehemu ikapita cruza ule upepo hadi gari ikayumba ..huwezi amin less than a minute dere wa noah akaanza iomba cruza tukaipita
Babu hii M5 4.4L V8 ina 523 HP hakuna bwiga yoyote mwny landcruiser ataekushika ukinyosha goti....
Hongera mkuu mana bei ya hyo kitu used tu inaeza fika milion 200 kuileta bongo
Hahah aiseee basi basi mkuu inatosha.Binadamu ni kiumbe anayependa sana kujikweza!
Mi toka nimevunja ungo hawanipi shida kabisa[emoji848]
Hapa huyu mwanaume alikuwa amechill taliban naona mkuu wa wapi tukurushe huku tulipo uyajue magari kidogo bongo nyoso hii hii[emoji23][emoji23]Kwanza hiyo gari bongo ipo?? M5 nyingi bongo sio V8..nyingi Cc 2500 engine ya kawaida saana..bongo ata nne V8 hazifiki.
Hii ndo inapita Crown cc 2960,acha utani wewe.1990