Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Wameelewa
Hapo sawaa....😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameelewa
Mafuta yenyewe ya kidumu Afu unataka kupambana na vxSubi. STI.. yaani hapo hizo vx v8 tunasumbuama sio zinanisumbuaView attachment 1643021
Haha, duh!Taaqrooo....😅😅
we ulikuwa unatembea na average ya km/h ngapi mbona kama hukuwa na ligiIle nilikua 140, ikapita kama nimesimama, ni vile kama vi Imprezza
watu wengine wanasemaga vitu fikirikwa....! uhalisia 0Mimi nimemwelewa kuwa alitoka Dar saa 12 asubuhi akafika Singida saa 7.45 mchana.
hii gari Nissan Subi. STI nimeitafuta yenye gear 6 hata nijue cc zake za kupita barabara zetu za bumps sijaipata kote, labda nipe cc na kapicha tuIpo barabarani mkuu mafuta ni kweli haina na ni manua 6 speed gearbox .ni nzima kabisa hyo gari haina tatizo safari popote kama una gari yako ya uhakika ifate
Mkuu embu waulize wanaomiliki subaru impreza sti.wakupe sifa za hi gari maana unaichukulia poahii gari Nissan Subi. STI nimeitafuta yenye gear 6 hata nijue cc zake za kupita barabara zetu za bumps sijaipata kote, labda nipe cc na kapicha tu
View attachment 1644632
nasema hivyo kwa sababu nimeiona gari yako kwenye dashboard tu inavibrate km ipo juu ya vigogo gereji kumbe unaelekea kituo cha mafuta, nakuja nawatafuta sana Nissan maana siwakubali popote
ona mnyama Mark X unavyotulia barabarani Moro Dom Singida
View attachment 1644635
Chini kabisaSisi wazee wa IST tuna comment wapi mkuu.
Mda wenu bado.Sisi wazee wa IST tuna comment wapi mkuu.
watu wengine wanasemaga vitu fikirikwa....! uhalisia 0
Sisi wazee wa IST tuna comment wapi mkuu.
muebrania wewe ni kiboko, maana madereva wazoefu wa hiyo barabara kwa mchana mkali hawawezi kufika Singida kwa muda huko, kuna vizuizi kibao bumps 50kmp/h road block km za Dumila Gairo Kintikunk, bado barabara ni mbovu si mkeka.Sasa boss unabisha wakati mimi ndio dereva
Jamni...[emoji16][emoji16]Mafuta yenyewe ya kidumu Afu unataka kupambana na vx
Gari tamu sana ukimulia uliza mafundi wa mbeke achana na wa vichochox trail gari moja ya kijinga sana.....kaulizie mafundi
V8 za kawaida 4.5L huwa ni 267 au 269hp kwa uzito ule hamna maajabu ni body ndo tishioAudi mliokuwa nayo inawezekana ina horses ndogo sana, probably chini ya 200hp. Wakati LC 200 VX V8 ana 300hp na kuendelea. Lazima awanyanyase.
Mngekuwa na Audi yenye 400hp na kuendelea lazima mngemsumbua huyo jamaa.
Ila hizo VX V8 zikikutana na wababe wenzao wanakuwa wapole tu.
Overrated Cheap Car.Mkuu embu waulize wanaomiliki subaru impreza sti.wakupe sifa za hi gari maana unaichukulia poa
Ni kweli.V8 za kawaida 4.5L huwa ni 267 au 269hp kwa uzito ule hamna maajabu ni body ndo tishio