Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Hahahah mzee GX110 hua nazikata kinoma mzee..na Mnyama SXE10😁😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dualis anaipita croun jamaa mi gx110 hunipiti na dualis maisha maana mi mtu wa ligi kinouma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah mzee GX110 hua nazikata kinoma mzee..na Mnyama SXE10😁😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dualis anaipita croun jamaa mi gx110 hunipiti na dualis maisha maana mi mtu wa ligi kinouma
Hujui tu watu wanatumia sanaPrinciple ni huwezi kuenjoy diplomatic privileges in your own country...
Upo siriasi[emoji34]Hahahah mzee GX110 hua nazikata kinoma mzee..na Mnyama SXE10[emoji16][emoji16][emoji16]
Sirius mzee 😁😁😁 mara ya mwisho ilikua Mikumi-Doma-MoroUpo siriasi[emoji34]
Jamaa mwezi huu nalikizo ntakutafuta tufanye ligi na hako ka dualis[emoji604][emoji609]Sirius mzee [emoji16][emoji16][emoji16] mara ya mwisho ilikua Mikumi-Doma-Moro
Hahaha mkuu mimi sina dualis nina altezza ndo hio niliku nakwambia naziachaga GX110 vibaya mno...Jamaa mwezi huu nalikizo ntakutafuta tufanye ligi na hako ka dualis[emoji604][emoji609]
Mkuu alteza ya injini gani?Hahaha mkuu mimi sina dualis nina altezza ndo hio niliku nakwambia naziachaga GX110 vibaya mno...
3S-GE mkuu...Mkuu alteza ya injini gani?
Unahisi inaweza kukimbiza 1jz ya Brevis3S-GE mkuu...
1JZ FSE haina maajabu mkuu walau ingekua 1JZ GTE..niongeonaUnahisi inaweza kukimbiza 1jz ya Brevis
Tuonane next week tutaelewana1JZ FSE haina maajabu mkuu walau ingekua 1JZ GTE..niongeona
Toa location...Tuonane next week tutaelewana
Nipo Dom next week nipo Dar ntakucheck tufanye ligi hadi msata vis bagamoyoToa location...
Kwani hiyo ajali ilitokea wapi???😳Heshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
Upadates:
Dar es Salaam to Dodoma_( Masaa 5 net) mafuta yaliyotumika 3/4 tank
Sie tumepita hapo Msamvu muda si mrefu tumekuta Dualis ipo mtaroni nikajua ni yeyeMtu kujisifu kukimbizana mabarabarani huko ni kituko hasa.
Tulioponea chupuchupu tukarudi duniani kwa kudra za Mungu tunakwambia ongeza mwendo tu.
Iko siku,
wenzio hata leo ukiuliza mke wangu nani ntamuuliza 'eti mwanjaa wewe unaitwaje vile? kama mzee Mwinyi.
Mimi Dar ni either tarehe 20 au 21, mimi natokea kyela..mara nyingi moro napita night kimtindo...Nipo Dom next week nipo Dar ntakucheck tufanye ligi hadi msata vis bagamoyo
Kilizo yangu inaanza kuanzia next week ila bado haijaidhinshwaMimi Dar ni either tarehe 20 au 21, mimi natokea kyela..mara nyingi moro napita night kimtindo...
Piga mdogomdogo tu unafika kilaini,sio mambio yasio na msingi wakati huwahi abiria.Mimi Dar ni either tarehe 20 au 21, mimi natokea kyela..mara nyingi moro napita night kimtindo...
Sie tuliopo porini huku hua kuna off za kimtindo unaweza ukachomoka wiki nzima kula misele mjini bila kuidhinishiwaKilizo yangu inaanza kuanzia next week ila bado haijaidhinshwa