Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni kitu fulani hivi cha kurithi

Wanaume masikini kuachwa ruksa ila wanawake masikini kuacha utaambiwa ni kukufuru Mungu...

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mbinguni moja kwa moja
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.
Akawa abakuja gheto anapika,anafua,usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu,akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida ,kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita,kata inaitwaje sijui ila ni kabila la wanyisanzu,nilichokiona sikuamini,kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni,maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa,choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze,
Kitanda cha kamba,kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.
Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni ufala

Sitaki wanangu wazaliwe kwenye familia yenye laana ya umasikini au ufala .

Wanawake tafuteni hela.
Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mna akili kweli,watoto wa kishua hamuwaoni?
Wewe sio muoaji..
 
Na ikitokea ndani ya wiki ukapata ajali ukavunjika mikono au miguu, utaanza kulialia?,hakuna anayependa kuzaliwa kwenye hali ya chini inatokea tu.

Kama bado upo duniani usikufuru Kwa lolote shukuru Mungu kwa hali uliyonayo, halafu unaonekana na wewe ni maskini tu. Watoto wa kishua huwa hawana akili za kipumbavu kama hizi zako.
 
Back
Top Bottom