Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.
Akawa abakuja gheto anapika,anafua,usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu,akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida ,kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita,kata inaitwaje sijui ila ni kabila la wanyisanzu,nilichokiona sikuamini,kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni,maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa,choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze,
Kitanda cha kamba,kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.
Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni ufala

Sitaki wanangu wazaliwe kwenye familia yenye laana ya umasikini au ufala .

Wanawake tafuteni hela.
Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mna akili kweli,watoto wa kishua hamuwaoni?
Ww ndo ungekuwa mkomboz wa familia yao
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.
Akawa abakuja gheto anapika,anafua,usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu,akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida ,kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita,kata inaitwaje sijui ila ni kabila la wanyisanzu,nilichokiona sikuamini,kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni,maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa,choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze,
Kitanda cha kamba,kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.
Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni ufala

Sitaki wanangu wazaliwe kwenye familia yenye laana ya umasikini au ufala .

Wanawake tafuteni hela.
Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mna akili kweli,watoto wa kishua hamuwaoni?
OMBAA MUNGU ASIBETI NDUGU
KENYA KUNA MWAANAUME KALMBA M1.3 KSH JANA..ANADAI ALIACHWA KISA UMASIKINI AKADILI NA KUBET...MUNGU ANAWAPAGA NEEMA HAWA
UKIMWONA ANAPOKEA CHEKI HATA HUITAJI KUJUA DNA YA UMASKINI...IMEMWACHA RASMIII
 
Ipo shida
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.
Akawa abakuja gheto anapika,anafua,usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu,akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida ,kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita,kata inaitwaje sijui ila ni kabila la wanyisanzu,nilichokiona sikuamini,kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni,maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa,choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze,
Kitanda cha kamba,kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.
Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni ufala

Sitaki wanangu wazaliwe kwenye familia yenye laana ya umasikini au ufala .

Wanawake tafuteni hela.
Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mna akili kweli,watoto wa kishua hamuwaoni?
Ipo shida kubwa sana kuoa kwenye familia maskini sana kweli.Sababu ziko nyingi,ila tatu kubwa outstanding ni uelewa mdogo,kutojiamini na kuwa na maono madogo ambayo huwa nayaita ya Kuku.Kila kitu yeye sijui,it is so boring,Haya matatizo matatu yanawafanya Wanawake wanaotoka kwenye familia maskini kushindwa kabisa kuwa na msaada kimaisha kwenye familia zao.Mara nyingi wanabaki kuwa tegemezi na mzigo mkubwa kwenye familia.Ila wakiwa wamesoma inapunguza tatizo kwa kiwango kikubwa sana.
 
Mkuu huyo mwanamke ungepambana naemwanzo mwisho umeshindwa kumalizia hicho choo au kupeleka kitanda..
Hata mibaraka ingekufata na labda mafanikio yao yanapitia kwako..
Unaoa tajiri ila wewe ndio unaolewa na ukoo mzima
Mshukuru mungu sana hamna aliyeomba kuwa maskini
 
Ukimwona
Akishikaa cheki siku utakojoaa usaa wa damuu..anza kuwarudia..alafu maombi yao hawa makali sana Mungu anawasikia hataree

utabadilsha njuru upate mtooto kumbe aaashaondoka na vichajio vyako...
 
Huo ni mtazamo pia sikupingi.
Ila mi naamini umasikini ni pepo
Yesu ana pepo!?

"Amin amin nakuambia mimi hamnami siku zote lakini maskini watakuwepo hata ukamilifu wa dahari"

Maskini WAPO watakuwepo Hadi Mwisho wa Dunia!

CHUKUA hiyo itakusaidia!

Halafu kuna HUU ujinga unaitwa "tafuta pesa" kana kwamba ukipata pesa utapata ridhiko la nafsi na Roho ni ujinga sana mkuu!!

Unajisikiaje unapotambua Kuwa huyo mwenzi ulienae alikupendea pesa au uwezo fulani!unajisikiaje!?kwani we ni roboti la kuchapisha noti!?yaani WEWE huna cha maana ulichomvutia huyo ulienae ni pesa tu,yaani pesa ina thamani kuliko muonekano na utu wako!?

Binafsi huwa nahisi mnyonge Sana nikigundua Kuwa nakubalika kwasababu ya materials badala ya my uniqueness!

Naumia sana mkuu, SIPATI ridhiko kwa mvuto wa materials!
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.
Akawa abakuja gheto anapika,anafua,usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu,akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida ,kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita,kata inaitwaje sijui ila ni kabila la wanyisanzu,nilichokiona sikuamini,kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni,maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa,choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze,
Kitanda cha kamba,kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.
Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni ufala

Sitaki wanangu wazaliwe kwenye familia yenye laana ya umasikini au ufala .

Wanawake tafuteni hela.
Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mna akili kweli,watoto wa kishua hamuwaoni?
Mungu aliyekupa utajiri,ndio aliyewapa umaskini wengine. As long as tupo duniani,huwa tunalia kwa kupokezana. Kwa kufuru hizo,ipo siku....me nna mke,mke wangu kwao ni masikini lkn tunafurahia maisha na tunakaribia utajiri sasa alihamndulilah...na kwao tunasaidia naamini ndio maana Mungu anatubariki. Utubu ndugu,ni bora ukae kimya.
 
Mungu aliyekupa utajiri,ndio aliyewapa umaskini wengine. As long as tupo duniani,huwa tunalia kwa kupokezana. Kwa kufuru hizo,ipo siku....me nna mke,mke wangu kwao ni masikini lkn tunafurahia maisha na tunakaribia utajiri sasa alihamndulilah...na kwao tunasaidia naamini ndio maana Mungu anatubariki. Utubu ndugu,ni bora ukae kimya.
Kama ni hivyo wanawake wote watubu,kuna wanaume wengi duniani wamekosa kuoa wake wa ndoto zao sababu ya umasikini wao,kwa nini iwe sawa kuoa mke masikini ila isiwe sawa mke kuolewa na mume masikini,
 
Back
Top Bottom